Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,560
- 7,914
Majambazi yame uwa alafu yamejiundia tume kujichunguza wananchi mlipsaswa kuandamana mkesha wa mwaka mpya kupinga huu upuuzi
Kwanza lhilo jopo zima ni wauaji, accomplicesMajambazi yame uwa alafu yamejiundia tume kujichunguza wananchi mlipsaswa kuandamana mkesha wa mwaka mpya kupinga huu upuuzi
ICC imefikia wapi?Majambazi yame uwa alafu yamejiundia tume kujichunguza wananchi mlipsaswa kuandamana mkesha wa mwaka mpya kupinga huu upuuzi
Vipi kama hayo mauaji yalisababishwa na waasi wa kutoka ndani na nje ya nchi?.Na yanatuma mesej kila siku, et tume tume, tume au genge la wauaji. Yaan uue halaf uunde tume ya kukuchunguza wew muuaji, mauaj ulifanya wew halaf ujiundie tume ya kukuchunguza! Watanzania sio vilaza kias hicho!
Unaowaita wauaji wapo kikatiba, jeshi lipo kikatiba na polisi wapo kikatiba, vibaka waliokuwa wanaleta machafuko huko mtaani wanajulikana kikatiba?.Kuwambia watu waandamane kuwapinga wauwaji wakati hao wauwaji waliuwa watu kwa sababu ya kuandamana!!!!. Nikama kuwambia wanainchi waende wakauwawe tena. Maana wauwaji bado wapo na siraha zilezile bado zipo pengine wameongeza mbinu nyingine ya kuyafanya hayo mauaji