OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,244
- 103,937
Habari zilizonifikia hivi sasa ni kwamba huko katika kijiji cha Nsimbo Kaliua majambazi watatu wenye silaha za moto wamevamia nyumba ya kadhaa na kupora mali na fedha
Katika nyumba moja majambazi hayo yamefanikiwa kuambulia pesa taslim Shilingi elfu tu. Muadhirika ameeleza chanzo changu kwamba majambazi yalimlazimisha kwa kumuwekea bunduki kichwani awapatie pesa zote alizonazo. " Niliwaeleza wazi kuwa sasa hivi hali ni ngumu,biashara hazitoki,ninayo elfu 3 tu"
Majambazi hayo yenye silaha yalichukua fedha hizo na kuvamia nyumba zingine
Katika nyumba moja majambazi hayo yamefanikiwa kuambulia pesa taslim Shilingi elfu tu. Muadhirika ameeleza chanzo changu kwamba majambazi yalimlazimisha kwa kumuwekea bunduki kichwani awapatie pesa zote alizonazo. " Niliwaeleza wazi kuwa sasa hivi hali ni ngumu,biashara hazitoki,ninayo elfu 3 tu"
Majambazi hayo yenye silaha yalichukua fedha hizo na kuvamia nyumba zingine