mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,075
- 4,111
Jeshi la Polisi la Mkoani Kigoma limethibitisha kuwa, Watu watano wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha wamevamia nyumba tatu katika Kijiji cha Nyamidaho wilayani Kasulu Mkoani Kigoma na kumuua kwa kumpiga risasi Mfanyabiashara Daglas Kingunyi, na kupora fedha na bidhaa mbalimbali kwenye maduka mawili katika Kijiji hicho.
Kamanda wa Polisi mkoani humo Kamishana Msaidizi wa Polisi, James Manyama amebainisha kuwa Mfanyabiashara huyo alifariki wakati akipelekwa hospitali na wanaendelea na oparesheni ya kuwasaka wahalifu hao.
Kamishana Msaidizi wa Polisi, James Manyama
Kamanda wa Polisi mkoani humo Kamishana Msaidizi wa Polisi, James Manyama amebainisha kuwa Mfanyabiashara huyo alifariki wakati akipelekwa hospitali na wanaendelea na oparesheni ya kuwasaka wahalifu hao.
Kamishana Msaidizi wa Polisi, James Manyama