Majaliwa hana mamlaka Zanzibar

Majaliwa hana mamlaka Zanzibar

safi sana, huo ujinga ujinga wa bara ubaki bara, msituletee Zenji
 
Mkuu Bobwe, kuhusu mambo ya muungano, kama kwa kutukana watu humu vichwa maji, makes you happy, be happy!, Tanganyika haipo iliishakufa siku nyingi, sasa Tanzania ni nchi moja, huwezi kuwa mkoloni kwa jambo unalolimiliki wewe mwenyewe!.

Ni kama binti wa watu, ukimtamani na kumtaka kwa nguvu bila ya ridhaa yake ni kumbaka hilo ni kosa la jinai!, lakini ukimhonga, akakubali kuolewa, ukamlipia mahari, ukamua, akawa mke wako, utakapohitaji zile huduma, hizo sasa ni mali yako, iwe kwa ridhaa yake au bila ya ridhaa yake, ni rukhsa kwa wewe kupata huduma kutoka na mali zako unazomiliki kihalali!.

Baada ya muungano wetu adhimu, uliotokana na yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ya 1964, Zanzibar sasa ni sehemu ya JMT, ili kuudumisha muungano, ni muhimu kwa Tanzania kuhakikisha anayeshika uongozi wa sehemu yake ya Zanzibar, ni mzalendo na atadumisha muungano!. Hakuna ubaya wowote kwa mwenza mmoja kumchagulia jambo jema mwenza wake!.
Huwezi kuwa mkoloni wa eneo ambalo ni mali yako mwenyewe!.
P

IMG_2448.JPG
IMG_2449.JPG
IMG_2450.JPG
 
Atulie kimya, Zanzibar uchumi wake ni kodi import na export tulitegemea sukari kuuza tanganyika mkaizuiya sukari huko huko, Maajaaliwa ataka awalaximishe wazanzibari wanunue , impossible

Hana mamlaka kuingilia mambo yasio kuwa ya muungano hata rais wa muungano vile vile kwa mujibu wa katiba .
Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoka chama tawala(ccm),kuna ilani ya chama cha mapinduzi(ccm),katibu mkuu wa chama cha mapinduzi anafanya ziara visiwa vya PEMBA na Unguja kukiimalisha chama na mwisho Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kuzindua ofisi ya usalama wa taifa Zanzibar.

Naomba uunganisha dot dot dot maana nimeshakutafunia kila kitu then uje na majibu sahihi.
 
Kwa nini mnawagomea kuingiza sukari bara wakati tunashida ya sukari na bei ipo juu mgewaacha waingize akili ya mwafrica mungu anajua
Majaliwa ni Waziri Mkuu wa JMT, Zanzibar ni sehemu ya JMT, hivyo ana mamlaka yote kuhusu Zanzibar kwa jambo lolote hata la Zanzibar as far as JMT itahusika.

Biashara sio jambo la muungano, lakini biashara ya sukari ya Zanzibar imekuwa na siasa ambazo serikali ya JMT inahusika direct, hivyo Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa yulo very right kuingilia kati.

Zanzibar inakiwanda cha sukari kinazalisha sukari ya kutosheleza soko la Zanzibar, huku wafanyabiashara ya uagizaji sukari, wakiagiza sukari kutoka nje at cheaper prices kuliko hiyo sukari ya Zanzibar na matokeo yake ni sukari ya Zanzibar imedodea kiwandani wakataka kuiingiza bara, tukawagomea!.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo na majaliwa nae kaanza kuikanyaga katiba kama yule mwendamahoka wa chato
Chokochoko mchokoe pwezaaaaa!! Tunao ufa wa muungano. Nani kuwa rais wa zbz by Nov.?? Let's wait n c
 
Leo Paschal hauko vizuri! Pole sana. Your head needs a check up by a specialist. Kuwa Sheni alikuwa anajifurahisha kukagua gwaride mbele ya Magu? You can't be serious! Halafu unalinganisha mwanao kushka usukani na ukaguzi wa gwaride linaloongozwa na kanal wa jesho! Ajabu....

Sent using Jamii Forums mobile app
Paschal mbaguzi na hana maarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini mnawagomea kuingiza sukari bara wakati tunashida ya sukari na bei ipo juu mgewaacha waingize akili ya mwafrica mungu anajua

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo sukari inayozalishwa hapo Zanzibar haitoshelezi, unataka ku export nini?

Kwa taarifa yako kama ulikuwa ujui Murzah(Zakaria) na yule ndugu yake mwenye Golden tulip dar es salaam jina limenitoka kidogo wanataka kutumia janja janja kuingiza sukari Tanzania bara.
 
Hilo jina huwa nalishangaa sana wakati yeye ni escott 4 na Rais wa SMZ ni escott 3..Kiuhalisia vyeo vya serikali kuu vimekaa shaghala baghala tu ilimradi liende. Sasa escott 3 hana mamlaka na Tanganyika wakati escott 4 ana mamlaka na Zanzibar. Pia kwenye cabinet makamu wa Rais na Rais wa SMZ wanakaa next to president wakati waziri mkuu anakaa next to VP.
Ni vyema tudumisue muungano wetu naona kufananisha itakutesa tuu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majaliwa ni Waziri Mkuu wa JMT, Zanzibar ni sehemu ya JMT, hivyo ana mamlaka yote kuhusu Zanzibar kwa jambo lolote hata la Zanzibar as far as JMT itahusika.

Biashara sio jambo la muungano, lakini biashara ya sukari ya Zanzibar imekuwa na siasa ambazo serikali ya JMT inahusika direct, hivyo Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa yulo very right kuingilia kati.

Zanzibar inakiwanda cha sukari kinazalisha sukari ya kutosheleza soko la Zanzibar, huku wafanyabiashara ya uagizaji sukari, wakiagiza sukari kutoka nje at cheaper prices kuliko hiyo sukari ya Zanzibar na matokeo yake ni sukari ya Zanzibar imedodea kiwandani wakataka kuiingiza bara, tukawagomea!.
P
Naunga mkono hoja yy Ni waziri mkuu wa JMT na sio waziri mkuu wa Tanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania ni nchi moja tuu ya JMT, ina rais mmoja, rais wa JMT, ina jeshi moja la JWTZ na Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu, nani anakagua gwaride sio hoja hata ma RC wanakagua magwaride, issue ni unakagua gwaride kama nani?.

Siku za weekends, natoka na my small kid, namkalisha mbele yangu nimembeba yeye ana shika stearing na kuendesha, anafurahi na kujiona yeye ndiye anayeendesha!. Hivyo mtu kukagua gwaride mbele ya CinC kuna mpa furaha ya kujiona na yeye ni CinC, wakati in reality CinC ni mmoja tuu, the one and only!.
Kujifurahisha kwa u CinC rukhsa!.
P
Mkuu. Ndani ya baraza la mawaziri huyo Ni mjumbe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Bobwe, kuhusu mambo ya muungano, kama kwa kutukana watu humu vichwa maji, makes you happy, be happy!, Tanganyika haipo iliishakufa siku nyingi, sasa Tanzania ni nchi moja, huwezi kuwa mkoloni kwa jambo unalolimiliki wewe mwenyewe!.

Ni kama binti wa watu, ukimtamani na kumtaka kwa nguvu bila ya ridhaa yake ni kumbaka hilo ni kosa la jinai!, lakini ukimhonga, akakubali kuolewa, ukamlipia mahari, ukamua, akawa mke wako, utakapohitaji zile huduma, hizo sasa ni mali yako, iwe kwa ridhaa yake au bila ya ridhaa yake, ni rukhsa kwa wewe kupata huduma kutoka na mali zako unazomiliki kihalali!.

Baada ya muungano wetu adhimu, uliotokana na yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ya 1964, Zanzibar sasa ni sehemu ya JMT, ili kuudumisha muungano, ni muhimu kwa Tanzania kuhakikisha anayeshika uongozi wa sehemu yake ya Zanzibar, ni mzalendo na atadumisha muungano!. Hakuna ubaya wowote kwa mwenza mmoja kumchagulia jambo jema mwenza wake!.
Huwezi kuwa mkoloni wa eneo ambalo ni mali yako mwenyewe!.
P
Jifurahishe ZANZIBAR hutoiweza ww wala baba yako ZANZIBAR nikubwa kuliko akili za watanganyika wote ukiwemo wewe mwenyewe km unataka ukuu wa WILAYA kuupata kupitia ZANZIBAR umechelewa nenda kujenga Chatoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
52(1) umeelewaje mkuu?

Jaribu kurudia kusoma na kusoma tena

Na 52(3) rudia kusoma tena huku uki refer Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania alikuwa visiwani hivi karibuni
Mtabishana mpaka kesho, kuna mkanganyiko mkubwa kwenye katiba kwa kutoitaja Tanganyika/Tanzania bara.

Yupo sahihi Majaliwa ni waziri mkuu wa Tanzania bara. Kule Mawaziri wao wanawajibika kwa Baraza la Mapinduzi na Rais wao. Usisahau Zanzibar wana katiba yao inayoitambua kama nchi, na sijawahi kusikia Tanganyika wakiipinga.

Unakumbuka mjadala wa Pinda bungeni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hana mamlaka ya kuingilia na kutoa maagizo kwa mambo ya #Zanzibar yasiyo mambo ya Muungano. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 na Katiba ya Zanzibar ya 1984 imeainisha waziwazi mamlaka ya Serikali mbili zilizopo." @MazruiNasso
View attachment 1329197

====
Madaraka ya Zanzibar wamejikulia tokea Ile siku walipoamua kuachana na chaguo la wananchi na kuleta majeshi kutoka bara kumuweka mtu wao kwa nguvu za kijeshi sasa hapo utegemee nini Kwa mtu ambaye amefadhiliwa kiasi hicho aseme nini yotte hayo mmeyataka nyiyi Kwanza kutaka mazungumzo feki halafu kuwazuiya watu wasiingie barabarani kudai ushindi wao wakati mataifa yote yalikuwa hapo ndugu zangu msifikirie kabisa kwamba ccm itakubali matokeo hata siku moja huo uchaguzi unaokuja ndio kabisa.
 
Mtabishana mpaka kesho, kuna mkanganyiko mkubwa kwenye katiba kwa kutoitaja Tanganyika/Tanzania bara.

Yupo sahihi Majaliwa ni waziri mkuu wa Tanzania bara. Kule Mawaziri wao wanawajibika kwa Baraza la Mapinduzi na Rais wao. Usisahau Zanzibar wana katiba yao inayoitambua kama nchi, na sijawahi kusikia Tanganyika wakiipinga.

Unakumbuka mjadala wa Pinda bungeni?

Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri mkuu wa Tanzania bara au jamhuri ya muungano wa Tanzania?
 
Zanzibar. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Viwanda, Juma Hassan Reli ahakikishe anazuia utoaji wa vibali vya kuingiza sukari kutoka nje hadi sukari inayozalishwa na kiwanda cha sukari cha Zanzibar kilichopo Mahonda iishe.

Amesema haiwezekani kiwanda hicho cha pekee kinachozalisha tani 6,000 za sukari kwa mwaka kikakosa wateja wakati mahitaji ya sukari Zanzibar ni tani 36,000 kwa mwaka.

Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Jumamosi, Januari 18, 2020 wakati alipotembelea kiwanda cha kuzalisha sukari cha Zanzibar kilichopo katika eneo la Mahonda wilaya ya Kaskazini ‘A’ mkoa wa Kaskazini Unguja.

Amesema ni vizuri wizara ikahakikisha sukari inayozalishwa na kiwanda hicho inapewa kipaumbele cha kwanza kwa kununuliwa kwa sababu wana uhakika na ubora wake kwa kuwa wameshuhudia uzalishaji wake kuanzia hatua ya awali miwa ikiwa shambani.

“Wizara ya viwanda lazima mbadilike na muweke utaratibu mzuri wa kusimamia uingizwaji wa sukari kutoka nje. Haiwezekani sukari inayozalishwa ndani ikakosa soko kutokana na uingizwaji wa sukari kutoka nje. Hatuwezi kumfurahisha mtu mmoja huku wengi wakiumia.”

Mwananchi
Production 6000 demand 36000 halafu ushindwe kuuza hiyo 6000? Ni maajabu ya watu wa masoko kushindwa kupenya sokoni hata kwa kuwa na retail customers wao
 
Zanzibar inakiwanda cha sukari kinazalisha sukari ya kutosheleza soko la Zanzibar,

Supply ya kiwanda ni 6,000 tons.

Consumption ni 36,000 tons.

Kiwanda hakiwezi kukidhi soko, it is that crystal clear.

Hukusoma taarifa, umevamia mada kwa mhemko wa siasa za Muungano.

You are dead wrong. So is Premier Majaliwa. Hajajipanga anatoa matamko ridiculously.

Anajua kuna supply shortfall of 30,000 tons, mara sita ya supply iliyopo! Halafu anasema tuipe ile 6,000 tons kipaumbele eti tuna uhakika na ubora na usalama wake. Kwa hiyo, import, which is 83% of consumption, ambayo anajua tunakula, serikali haina uhakika na usalama wake!

Effectively he is saying TBS Zanzibar s a bullshit institution! Huwezi kuiamini TBS Zanzibar kwenye imported food commodities!

How preposterous and dangerous is that statement from a prime minister who poked his nose in a region which is constitutionally outside his portfolio???
 
Waziri mkuu wa Tanzania bara au jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Katiba Inatambua vyombo viwili vya utendaji vyenye mamlaka, Serekali ya Jamuhuri na Serekali ya Zanzibar. Mpaka hapa unaamini Serekali ya Zanzibar ina mamlaka na mambo yake? Tena bila kuingiliwa na Jamuhuri (bara!!).

Katiba mpaka hapa ilibidi iweke na Tanganyika kutenganisha na Zanzibar ili kuondoa mkanganyiko. Mfano Waziri wa Michezo wa bara hausiki na Zanzibar, sasa Waziri mkuu wa bara anahusika vipi na Waziri wa michezo wa Zanzibar?

Ndio maana Jissu kaweka kifungu toka katiba ya Zanzibar kinachopinga Majaliwa kumuagiza Waziri wa Zanzibar.

Kifupi huu mjadala hauna majibu sababu tatizo linaanzia kwenye Katiba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom