Majaliwa ni Waziri Mkuu wa JMT, Zanzibar ni sehemu ya JMT, hivyo ana mamlaka yote kuhusu Zanzibar kwa jambo lolote hata la Zanzibar as far as JMT itahusika.
Biashara sio jambo la muungano, lakini biashara ya sukari ya Zanzibar imekuwa na siasa ambazo serikali ya JMT inahusika direct, hivyo Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa yulo very right kuingilia kati.
Zanzibar inakiwanda cha sukari kinazalisha sukari ya kutosheleza soko la Zanzibar, huku wafanyabiashara ya uagizaji sukari, wakiagiza sukari kutoka nje at cheaper prices kuliko hiyo sukari ya Zanzibar na matokeo yake ni sukari ya Zanzibar imedodea kiwandani wakataka kuiingiza bara, tukawagomea!.
Mawaziri wa bara na zanzibar wa biashara na viwanda wameshindwa kuafikiana kuhusu kununua sukari ya zanzibar. Wamekubaliana swala lipelekwe mamlaka za juu. Bidhaa nyingine zote zitasafirishwa isipokuwa sukari tu. Charles Mwijage amesema hawajasitisha bali taratibu sheria na viwango lazima...
www.jamiiforums.com
P