Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,744
- 5,769
Sitakiwi kukujibuHizo ndio kero za muungano mnaita changamoto
Sitakiwi kukujibuHizo ndio kero za muungano mnaita changamoto
Huku kujipendekeza kumevuka mipaka, mpaka unafikia kuongea utumbo wa namna hii. Magufuli hatakupa cheo hata ulambe miguu yake.Tanzania ni nchi moja tuu ya JMT, ina rais mmoja, rais wa JMT, ina jeshi moja la JWTZ na Amiri Jeshi Mkuu mmoja tuu, nani anakagua gwaride sio hoja hata ma RC wanakagua magwaride, issue ni unakagua gwaride kama nani?.
Siku za weekends, natoka na my small kid, namkalisha mbele yangu nimembeba yeye ana shika stearing na kuendesha, anafurahi na kujiona yeye ndiye anayeendesha!. Hivyo mtu kukagua gwaride mbele ya CinC kuna mpa furaha ya kujiona na yeye ni CinC, wakati in reality CinC ni mmoja tuu, the one and only!.
Kujifurahisha kwa u CinC rukhsa!.
P
Alikuwa hajaja mjini huyo!Siku hizi wazanzibari mnamashamba ya miwa?
Ulishawahi kumsikia komandoo enzi zake wewe?
Ohooolikiazishwa la somali hapo dar patakalika
Okay mr fckfaceSave your madness for someone else before u get destructed
Mmmmmmmm, We hamnazo kumbe, ndio unahoji kingesengese hivyo. Unatia kichefchef cha rohoHata hadhi ya mkoa haina, kati ya Ukerewe na Unguja ipi kubwa?
kichefuchefuMmmmmmmm, We hamnazo kumbe, ndio unahoji kingesengese hivyo. Unatia kichefchef cha roho
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeme kufanyaje? Na unasema "mmeshindwa" wewe ukiwa unajihesabia kundi lipi? Nijuavyo, tunaweza kama watanzania na kushindwa kama watanzania.Mmeshindwa umeme
U are so scared of successOkay mr fckface