Nakfa
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,979
- 14,400
I just can’t get over the Drug lmao!U take things way too serious Mr man
I just can’t get over the Drug lmao!U take things way too serious Mr man
Hao wenye mamlaka ni viongozi mapambo tuHao mnaodhani kua wana mamlaka mbona wamekaa kimya tu kama mburukenge inamaana hawaoni hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
My offer for a cup of coffee still standsI just can’t get over the Drug lmao!
Wakufanya kazi hiyo wapo na ni taaluma kabisa.Then acha kujidanganya, utavichimbua, wewe na nani? Kachimbue mifereji ya maji machafu kijijini kwenu kwanza!
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Zanzibar sio nchi, Zanzibar ni kaeneo tulikokapa utawala wa kiini macho tu.Nje ya muungano (pamoja na mambo yasiyo ya muungano) Zanzibar ni nchi si ndio mnavyosema?! Sijasema mimi.
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Offer some of your bedfellowsMy offer for a cup of coffee still stands
I chose u instead so that we can get an atmosphere to make peace dwagOffer some of your bedfellows
Whoa! Whoa! Whoa! You're going too far just quit it before i get back my madnessI chose u instead so that we can get an atmosphere to make peace dwag
Save your madness for someone else before u get destructedWhoa! Whoa! Whoa! You're going too far just quit it before i get back my madness
Hivyo vyombo vilivyotajwa hapo vinafanya kazi kwa mujibu wa katiba. JMT na SMZ zinafanya kazi kwa kuzingatia katiba. Soma First Schedule ya katiba ya JMT utaona mambo ambayo ni ya muungano (Union matters) na kwa sababu waziri mkuu ni wa JMT haya mambo ana mamlaka ya kusimamia. Moja ya masuala yanayohusu Muungano ni Bandari, usafiri wa anga,posta ma mawasiliano. Sasa waziri mkuu anatoa agizo msiruhusu kuingiza sukari ili hicho kiwanda cha huko Znz kipate soko. Maanake sukari toka nje zisiruhusiwe kupita katika bandari za Zanzibar.View attachment 1330188na ibara hii usisahau kuisoma kwa umakini
Masuala yanayohusu muungano unayafahamu?
PASCAL, REALLY ??Majaliwa ni Waziri Mkuu wa JMT, Zanzibar ni sehemu ya JMT, hivyo ana mamlaka yote kuhusu Zanzibar kwa jambo lolote hata la Zanzibar as far as JMT itahusika.
Biashara sio jambo la muungano, lakini biashara ya sukari ya Zanzibar imekuwa na siasa ambazo serikali ya JMT inahusika direct, hivyo Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa yulo very right kuingilia kati.
Zanzibar inakiwanda cha sukari kinazalisha sukari ya kutosheleza soko la Zanzibar, huku wafanyabiashara ya uagizaji sukari, wakiagiza sukari kutoka nje at cheaper prices kuliko hiyo sukari ya Zanzibar na matokeo yake ni sukari ya Zanzibar imedodea kiwandani wakataka kuiingiza bara, tukawagomea!.
P![]()
Kwanini Viongozi Bara hawaitaki Sukari kutoka Zanzibar?
Mawaziri wa bara na zanzibar wa biashara na viwanda wameshindwa kuafikiana kuhusu kununua sukari ya zanzibar. Wamekubaliana swala lipelekwe mamlaka za juu. Bidhaa nyingine zote zitasafirishwa isipokuwa sukari tu. Charles Mwijage amesema hawajasitisha bali taratibu sheria na viwango lazima...www.jamiiforums.com
Hivyo vyombo vilivyotajwa hapo vinafanya kazi kwa mujibu wa katiba. JMT na SMZ zinafanya kazi kwa kuzingatia katiba. Soma First Schedule ya katiba ya JMT utaona mambo ambayo ni ya muungano (Union matters) na kwa sababu waziri mkuu ni wa JMT haya mambo ana mamlaka ya kusimamia. Moja ya masuala yanayohusu Muungano ni Bandari, usafiri wa anga,posta ma mawasiliano. Sasa waziri mkuu anatoa agizo msiruhusu kuingiza sukari ili hicho kiwanda cha huko Znz kipate soko. Maanake sukari toka nje zisiruhusiwe kupita katika bandari za Zanzibar.
Suala lingine ambalo ni la muungano ni Service in the United republic.kama waziri mkuu ambaye ndie msimamizi mkuu wa shughuli za serikali ya JMT anayo mamlaka ya kuhoji watumishi wote ambao wapo ndani ya JMT.
Kwa hiyo kuhoji barabara ni chafu
wakati watumishi wapo ni jambo la kawaida tu.
Usichanganye mambo ukadhani amekurupuka.
Hiyo ni baadhi ya mifano tu. Wala hajaingilia kazi za watu
Anaweza zuia imports maana swala la mipaka ni la JMT. Zanzibar haina mipaka.Atulie kimya, Zanzibar uchumi wake ni kodi import na export tulitegemea sukari kuuza tanganyika mkaizuiya sukari huko huko, Maajaaliwa ataka awalaximishe wazanzibari wanunue , impossible
Hana mamlaka kuingilia mambo yasio kuwa ya muungano hata rais wa muungano vile vile kwa mujibu wa katiba .
Hatuna mkataba wa muungano (hatuna muungano wa nkataba #Maalim seif) Ongelea hati ya muungano.We hufahamu? Suala la viwanda na biashara haliko kwenye Union , hivyo PM alitakiwa kumshauri waziri wa viwanda wa Zanzibar,
Sikatai hata mimi kusimamia mambo ya muungano,Bandari sio suala muungano mkuu, na nikukumbushe tu mkataba wa muungano ni mambo 11 tu .
likiazishwa la somali hapo dar patakalikaTutabomoa hivyo visiwa mkose pakukaa ohooo!
Hopeless ( unadandia mambo ambayo unadhani unayajadili kwenye vijwe vya kahawa)We hufahamu? Suala la viwanda na biashara haliko kwenye Union , hivyo PM alitakiwa kumshauri waziri wa viwanda wa Zanzibar,
Sikatai hata mimi kusimamia mambo ya muungano,Bandari sio suala muungano mkuu, na nikukumbushe tu mkataba wa muungano ni mambo 11 tu .