Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,158
- 9,168
Zanzibar haiwezi kuwa sawa na bara, Zanzibar ni visiwa vinavyo tegemea soko la biashara import and export, Zanzibar kilimo ni karafuu tu , na uchumi wake mkubwa ni utalii na import tax . Kwa hio huwezi kulinganisha hata chembe.
In short waziri wenu hana mamlaka kuwaamrisha mawaziri wa Zanzibar kwa mambo yasio kuwa ya muungano, kaja kama mgeni anaweza kuwashauri tu.
Bila ya hivyo ni kuongilia mamlaka.
Kama serikali inataka kufanya biashara inaweza hata Zanzibar kwa kuuza bei nafuu, vile vile sulari yetu ya Zanzibar ni more healthy kuliko kutoka nje, matangazo ni business
Mkiwa Zanzibar mnatunisha misuli balaa. Mkiingia Kigamboni na Msasani mnajiita watanzania na hamtaki mguswe. Mkiwa Kariakoo ni watanzania kama watanzania wengine.
Waafrika tuna matatizo mno
