Majaji na Mahakimu Tanzania Wametupwa Hadhi, Wamegeuzwa Vibarua wa Watawala

Majaji na Mahakimu Tanzania Wametupwa Hadhi, Wamegeuzwa Vibarua wa Watawala

Hamatan

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2020
Posts
6,512
Reaction score
15,096
Neno Jaji, lina heshima kubwa sana Duniani. Na watu wakisikia mtu ni jaji, wanatarajia utakatifu ndani ya huyu mtu. Huyu siyo mtu wa kusukumwa sukumwa tu au kuamrishwa na watawala.

Kuna nchi, jaji mkuu na jopo lake wanao uwezo hata wa kumsimamisha kazi Rais, na kisha kusubiria hatua nyingine.

Hawa wa kwetu:
1. Wanateuliwa na Rais, hata kama huyo Rais hajui chochote. Mkiwa na Rais asiyejua chochote au anaendeshwa na wahuni, mnatarajia atateua jaji mkuu wa namna gani, majaji wa namna gani?

2. Hawa wa kwetu, kama inavyofahamika na ilivyohibitishwa na aliyekuwa miongoni mwa viongozi wakuu wa CCM, bwana Rostam, ili kutoa hukumu, wanasubiria kuambiwa na serikali waseme nini; hivi hao kweli wanatakiwa kuitwa majaji? Jaji huwa ni mtu mwenye maamzi, hawa wa kwetu hawana maamuzi. Kiuhalisia hawa walitakiwa kuitwa vibarua wa watawala mahakamani, maana kibarua huwa hafanyi maamuzi yoyote bila ya kuambiwa na mwajiri wake.

3. Kwa kesi zote zinazohusu uovu wa watawala au serikali kwa ujumla, sote tumeshuhudia, hata wale ambao hawana hata elimu ndogo kabisa ya masuala ya sheria, jinsi hawa vibarua wa watawala mahakamani wanachofanya mahakamani. Wao wenyewe hujionesha wazi kuwa ni inferior kabisa mbele ya wale wanaoitwa mawakili wa serikali ambao ndio huwa wamepewa maelekezo ya moja kwa moja na watawala, jinsi hukumu inavyotakiwa kuwa kwa siku hiyo.

4. Kwenye kesi iliyotengenezwa na watawala dhidi ya Lisu, hawa vibarua wa watawala mahakamani, ndiyo wamedhihirisha kwa kila mtu jinsi wasivyo na mamlaka yoyote yale, isipokuwa kusubiria maelekezo ya mawakili wa serikali. Hata bila ya sababu ya msingi, mawakili wa serikali waliposema hakimu aahirishe kesi, hakimu alikuwa hana cha kufanya, zaidi ya kutii.

NB:
Siku nchi ikiwa huru kutoka kwenye mikono ya wahuni, taasisi ya kwanza inayotakiwa kufutwa na kuundwa upya, ni MAHAKAMA. Tasisi hii ambayo ni muhimu sana kwa ustawi wa haki wa Taifa, imechafuliwa mno, na sasa haina maana yoyote, na inatumika na wahuni kama chombo cha kubariki udhulumaji wa haki.
Taasisi ya pili itakayotakiwa kuundwa upya ni Jeshi la Polisi, ambalo sasa linatumika kama jumuia ya Chama Cha Mapinduzi.

Na taasisi ya tatu inayotakiwa kuundwa upya, ni TISS, ambayo kwa sasa inafanya kazi kama genge la wahuni.

Taasisi hizi ni muhimu sana katika ustawi wa haki na amani ya Taifa, lazima hizi taasisi tatu zifutwe na kuundwa upya ili ziutumikie umma badala ya kufanya kazi kama magenge ya wahalifu dhidi ya umma.
 
Duh!!!
Neno Jaji, lina heshima kubwa sana Duniani. Na watu wakisikia mtu ni jaji, wanatarajia utakatifu ndani ya huyu mtu. Huyu siyo mtu wa kusukumwa sukumwa tu au kuamrishwa na watawala.

Kuna nchi, jaji mkuu na jopo lake wanao uwezo hata wa kumsimamisha kazi Rais, na kisha kusubiria hatua nyingine.

Hawa wa kwetu:
1. Wanateuliwa na Rais, hata kama huyo Rais hajui chochote. Mkiwa na Rais asiyejua chochote au anaendeshwa na wahuni, mnatarajia atateua jaji mkuu wa namna gani, majaji wa namna gani?

2. Hawa wa kwetu, kama inavyofahamika na ilivyohibitishwa na aliyekuwa miongoni mwa viongozi wakuu wa CCM, bwana Rostam, ili kutoa hukumu, wanasubiria kuambiwa na serikali waseme nini; hivi hao kweli wanatakiwa kuitwa majaji? Jaji huwa ni mtu mwenye maamzi, hawa wa kwetu hawana maamuzi. Kiuhalisia hawa walitakiwa kuitwa vibarua wa watawala mahakamani, maana kibarua huwa hafanyi maamuzi yoyote bila ya kuambiwa na mwajiri wake.

3. Kwa kesi zote zinazohusu uovu wa watawala au serikali kwa ujumla, sote tumeshuhudia, hata wale ambao hawana hata elimu ndogo kabisa ya masuala ya sheria, jinsi hawa vibarua wa watawala mahakamani wanachofanya mahakamani. Wao wenyewe hujionesha wazi kuwa ni inferior kabisa mbele ya wale wanaoitwa mawakili wa serikali ambao ndio huwa wamepewa maelekezo ya moja kwa moja na watawala, jinsi hukumu inavyotakiwa kuwa kwa siku hiyo.

4. Kwenye kesi iliyotengenezwa na watawala dhidi ya Lisu, hawa vibarua wa watawala mahakamani, ndiyo wamedhihirisha kwa kila mtu jinsi wasivyo na mamlaka yoyote yale, isipokuwa kusubiria maelekezo ya mawakili wa serikali. Hata bila ya sababu ya msingi, mawakili wa serikali waliposema hakimu aahirishe kesi, hakimu alikuwa hana cha kufanya, zaidi ya kutii.

NB:
Siku nchi ikiwa huru kutoka kwenye mikono ya wahuni, taasisi ya kwanza inayotakiwa kufutwa na kuundwa upya, ni MAHAKAMA. Tasisi hii ambayo ni muhimu sana kwa ustawi wa haki wa Taifa, imechafuliwa mno, na sasa haina maana yoyote, na inatumika na wahuni kama chombo cha kubariki udhulumaji wa haki.
Taasisi ya pili itakayotakiwa kuundwa upya ni Jeshi la Polisi, ambalo sasa linatumika kama jumuia ya Chama Cha Mapinduzi.

Na taasisi ya tatu inayotakiwa kuundwa upya, ni TISS, ambayo kwa sasa inafanya kazi kama genge la wahuni.

Taasisi hizi ni mujimu sana katika ustawi wa haki na amani ya Taifa, lazima hizi taasisi tatu zifutwe na kuundwa upya ili ziutumikie umma badala ya kufanya kazi kama magenge ya wahalifu dhidi ya umma.
Duu!!,
 
Neno Jaji, lina heshima kubwa sana Duniani. Na watu wakisikia mtu ni jaji, wanatarajia utakatifu ndani ya huyu mtu. Huyu siyo mtu wa kusukumwa sukumwa tu au kuamrishwa na watawala.

Kuna nchi, jaji mkuu na jopo lake wanao uwezo hata wa kumsimamisha kazi Rais, na kisha kusubiria hatua nyingine.

Hawa wa kwetu:
1. Wanateuliwa na Rais, hata kama huyo Rais hajui chochote. Mkiwa na Rais asiyejua chochote au anaendeshwa na wahuni, mnatarajia atateua jaji mkuu wa namna gani, majaji wa namna gani?

2. Hawa wa kwetu, kama inavyofahamika na ilivyohibitishwa na aliyekuwa miongoni mwa viongozi wakuu wa CCM, bwana Rostam, ili kutoa hukumu, wanasubiria kuambiwa na serikali waseme nini; hivi hao kweli wanatakiwa kuitwa majaji? Jaji huwa ni mtu mwenye maamzi, hawa wa kwetu hawana maamuzi. Kiuhalisia hawa walitakiwa kuitwa vibarua wa watawala mahakamani, maana kibarua huwa hafanyi maamuzi yoyote bila ya kuambiwa na mwajiri wake.

3. Kwa kesi zote zinazohusu uovu wa watawala au serikali kwa ujumla, sote tumeshuhudia, hata wale ambao hawana hata elimu ndogo kabisa ya masuala ya sheria, jinsi hawa vibarua wa watawala mahakamani wanachofanya mahakamani. Wao wenyewe hujionesha wazi kuwa ni inferior kabisa mbele ya wale wanaoitwa mawakili wa serikali ambao ndio huwa wamepewa maelekezo ya moja kwa moja na watawala, jinsi hukumu inavyotakiwa kuwa kwa siku hiyo.

4. Kwenye kesi iliyotengenezwa na watawala dhidi ya Lisu, hawa vibarua wa watawala mahakamani, ndiyo wamedhihirisha kwa kila mtu jinsi wasivyo na mamlaka yoyote yale, isipokuwa kusubiria maelekezo ya mawakili wa serikali. Hata bila ya sababu ya msingi, mawakili wa serikali waliposema hakimu aahirishe kesi, hakimu alikuwa hana cha kufanya, zaidi ya kutii.

NB:
Siku nchi ikiwa huru kutoka kwenye mikono ya wahuni, taasisi ya kwanza inayotakiwa kufutwa na kuundwa upya, ni MAHAKAMA. Tasisi hii ambayo ni muhimu sana kwa ustawi wa haki wa Taifa, imechafuliwa mno, na sasa haina maana yoyote, na inatumika na wahuni kama chombo cha kubariki udhulumaji wa haki.
Taasisi ya pili itakayotakiwa kuundwa upya ni Jeshi la Polisi, ambalo sasa linatumika kama jumuia ya Chama Cha Mapinduzi.

Na taasisi ya tatu inayotakiwa kuundwa upya, ni TISS, ambayo kwa sasa inafanya kazi kama genge la wahuni.

Taasisi hizi ni mujimu sana katika ustawi wa haki na amani ya Taifa, lazima hizi taasisi tatu zifutwe na kuundwa upya ili ziutumikie umma badala ya kufanya kazi kama magenge ya wahalifu dhidi ya umma.
Nasikia maamuzi katika hizi case huwa yanatumika kama case study Kwa wanafunzi wa vyuo vikuu sasa kama hali ndio hii vizazi vijavyo vitawadharau sana Hawa majaji.
 
Hata kesi ya Mbowe ya Ugaidi ilikuwa na uchafu mwingi sana kutoka kwenye hizi mahakama zetu.

Kuna rafiki yangu ameniambia kwenye kesi ya LISSU ...Hakimu Franco Kiswaga na Wakili wa serikali Nassoro Katuga walikuwa wanakaa meza Moja kujadiliana cha kufanya.
 
Mahakama pumbavu majaji pumbavu polisi pumbavu na usalama pumbavu.
 
Hii nchi imeshajifia.

Ukiona Mhimili wa Mahakama umetekwa na watawala madhalimu ujue tu nchi ndo imeshajifia hiyo.

Wahuni wameshajitekea mifumo yote ya hii nchi na sasa Mahakama imeshakuwa compromised.

Suluhisho la hili ni tukubali tu tupoteze yote na kuanza upya.
 
Hata kesi ya Mbowe ya Ugaidi ilikuwa na uchafu mwingi sana kutoka kwenye hizi mahakama zetu.

Kuna rafiki yangu ameniambia kwenye kesi ya LISSU ...Hakimu Franco Kiswaga na Wakili wa serikali Nassoro Katuga walikuwa wanakaa meza Moja kujadiliana cha kufanya.
Nilikuwa nahisi kwamba jamaa wanajadiliana behind the scene, kwaiyo kuhisi kwangu nilikuwa 💯%
 
Hata kesi ya Mbowe ya Ugaidi ilikuwa na uchafu mwingi sana kutoka kwenye hizi mahakama zetu.

Kuna rafiki yangu ameniambia kwenye kesi ya LISSU ...Hakimu Franco Kiswaga na Wakili wa serikali Nassoro Katuga walikuwa wanakaa meza Moja kujadiliana cha kufanya.
Hata wanapokuwa mahakamani wanaonekana wana script wanaisoma. Ni kweli kabisa
 
Neno Jaji, lina heshima kubwa sana Duniani. Na watu wakisikia mtu ni jaji, wanatarajia utakatifu ndani ya huyu mtu. Huyu siyo mtu wa kusukumwa sukumwa tu au kuamrishwa na watawala.

Kuna nchi, jaji mkuu na jopo lake wanao uwezo hata wa kumsimamisha kazi Rais, na kisha kusubiria hatua nyingine.

Hawa wa kwetu:
1. Wanateuliwa na Rais, hata kama huyo Rais hajui chochote. Mkiwa na Rais asiyejua chochote au anaendeshwa na wahuni, mnatarajia atateua jaji mkuu wa namna gani, majaji wa namna gani?

2. Hawa wa kwetu, kama inavyofahamika na ilivyohibitishwa na aliyekuwa miongoni mwa viongozi wakuu wa CCM, bwana Rostam, ili kutoa hukumu, wanasubiria kuambiwa na serikali waseme nini; hivi hao kweli wanatakiwa kuitwa majaji? Jaji huwa ni mtu mwenye maamzi, hawa wa kwetu hawana maamuzi. Kiuhalisia hawa walitakiwa kuitwa vibarua wa watawala mahakamani, maana kibarua huwa hafanyi maamuzi yoyote bila ya kuambiwa na mwajiri wake.

3. Kwa kesi zote zinazohusu uovu wa watawala au serikali kwa ujumla, sote tumeshuhudia, hata wale ambao hawana hata elimu ndogo kabisa ya masuala ya sheria, jinsi hawa vibarua wa watawala mahakamani wanachofanya mahakamani. Wao wenyewe hujionesha wazi kuwa ni inferior kabisa mbele ya wale wanaoitwa mawakili wa serikali ambao ndio huwa wamepewa maelekezo ya moja kwa moja na watawala, jinsi hukumu inavyotakiwa kuwa kwa siku hiyo.

4. Kwenye kesi iliyotengenezwa na watawala dhidi ya Lisu, hawa vibarua wa watawala mahakamani, ndiyo wamedhihirisha kwa kila mtu jinsi wasivyo na mamlaka yoyote yale, isipokuwa kusubiria maelekezo ya mawakili wa serikali. Hata bila ya sababu ya msingi, mawakili wa serikali waliposema hakimu aahirishe kesi, hakimu alikuwa hana cha kufanya, zaidi ya kutii.

NB:
Siku nchi ikiwa huru kutoka kwenye mikono ya wahuni, taasisi ya kwanza inayotakiwa kufutwa na kuundwa upya, ni MAHAKAMA. Tasisi hii ambayo ni muhimu sana kwa ustawi wa haki wa Taifa, imechafuliwa mno, na sasa haina maana yoyote, na inatumika na wahuni kama chombo cha kubariki udhulumaji wa haki.
Taasisi ya pili itakayotakiwa kuundwa upya ni Jeshi la Polisi, ambalo sasa linatumika kama jumuia ya Chama Cha Mapinduzi.

Na taasisi ya tatu inayotakiwa kuundwa upya, ni TISS, ambayo kwa sasa inafanya kazi kama genge la wahuni.

Taasisi hizi ni muhimu sana katika ustawi wa haki na amani ya Taifa, lazima hizi taasisi tatu zifutwe na kuundwa upya ili ziutumikie umma badala ya kufanya kazi kama magenge ya wahalifu dhidi ya umma.
Hao ni majaji dhalimu
 
Neno Jaji, lina heshima kubwa sana Duniani. Na watu wakisikia mtu ni jaji, wanatarajia utakatifu ndani ya huyu mtu. Huyu siyo mtu wa kusukumwa sukumwa tu au kuamrishwa na watawala.

Kuna nchi, jaji mkuu na jopo lake wanao uwezo hata wa kumsimamisha kazi Rais, na kisha kusubiria hatua nyingine.

Hawa wa kwetu:
1. Wanateuliwa na Rais, hata kama huyo Rais hajui chochote. Mkiwa na Rais asiyejua chochote au anaendeshwa na wahuni, mnatarajia atateua jaji mkuu wa namna gani, majaji wa namna gani?

2. Hawa wa kwetu, kama inavyofahamika na ilivyohibitishwa na aliyekuwa miongoni mwa viongozi wakuu wa CCM, bwana Rostam, ili kutoa hukumu, wanasubiria kuambiwa na serikali waseme nini; hivi hao kweli wanatakiwa kuitwa majaji? Jaji huwa ni mtu mwenye maamzi, hawa wa kwetu hawana maamuzi. Kiuhalisia hawa walitakiwa kuitwa vibarua wa watawala mahakamani, maana kibarua huwa hafanyi maamuzi yoyote bila ya kuambiwa na mwajiri wake.

3. Kwa kesi zote zinazohusu uovu wa watawala au serikali kwa ujumla, sote tumeshuhudia, hata wale ambao hawana hata elimu ndogo kabisa ya masuala ya sheria, jinsi hawa vibarua wa watawala mahakamani wanachofanya mahakamani. Wao wenyewe hujionesha wazi kuwa ni inferior kabisa mbele ya wale wanaoitwa mawakili wa serikali ambao ndio huwa wamepewa maelekezo ya moja kwa moja na watawala, jinsi hukumu inavyotakiwa kuwa kwa siku hiyo.

4. Kwenye kesi iliyotengenezwa na watawala dhidi ya Lisu, hawa vibarua wa watawala mahakamani, ndiyo wamedhihirisha kwa kila mtu jinsi wasivyo na mamlaka yoyote yale, isipokuwa kusubiria maelekezo ya mawakili wa serikali. Hata bila ya sababu ya msingi, mawakili wa serikali waliposema hakimu aahirishe kesi, hakimu alikuwa hana cha kufanya, zaidi ya kutii.

NB:
Siku nchi ikiwa huru kutoka kwenye mikono ya wahuni, taasisi ya kwanza inayotakiwa kufutwa na kuundwa upya, ni MAHAKAMA. Tasisi hii ambayo ni muhimu sana kwa ustawi wa haki wa Taifa, imechafuliwa mno, na sasa haina maana yoyote, na inatumika na wahuni kama chombo cha kubariki udhulumaji wa haki.
Taasisi ya pili itakayotakiwa kuundwa upya ni Jeshi la Polisi, ambalo sasa linatumika kama jumuia ya Chama Cha Mapinduzi.

Na taasisi ya tatu inayotakiwa kuundwa upya, ni TISS, ambayo kwa sasa inafanya kazi kama genge la wahuni.

Taasisi hizi ni muhimu sana katika ustawi wa haki na amani ya Taifa, lazima hizi taasisi tatu zifutwe na kuundwa upya ili ziutumikie umma badala ya kufanya kazi kama magenge ya wahalifu dhidi ya umma.
Taasisi hizi ni muhimu sana katika ustawi wa haki na amani ya Taifa, lazima hizi taasisi tatu zifutwe na kuundwa upya ili ziutumikie umma badala ya kufanya kazi kama magenge ya wahalifu dhidi ya umma.📌🔨✌🏿
 
Hata kesi ya Mbowe ya Ugaidi ilikuwa na uchafu mwingi sana kutoka kwenye hizi mahakama zetu.

Kuna rafiki yangu ameniambia kwenye kesi ya LISSU ...Hakimu Franco Kiswaga na Wakili wa serikali Nassoro Katuga walikuwa wanakaa meza Moja kujadiliana cha kufanya.


Hiyo ni kweli. Watu walio karibu nao, wameeleza kabusa kuwa mara kadhaa hakimu Kiswaga na Katuga, wamekuwa wakikutana huku Kiswaga akiwa mtu wa kupewa maelekezo na Katuga. Na mara kadhaa, Katuga amekutana na wakuu wa CCM kwaajili ya mipango ya kurefusha kesi.
 
Tangu Tundu Lissu aliposema kauli ya "wanasema tunataka kufanya uasi, ndiyo tutafanya uasi na tutazuia uchaguzi mkuu" hadi leo mimi na familia yangu tunaishi bila amani kwa kuhofia maisha yetu .

Kauli yake ya atafanya uasi imenifanya mimi na familia yangu tuwe na mashaka makubwa , naomba mahakama itende haki Lissu asipopewa haki yake na akaachiwa bila adhabu mimi na familia yangu watu tusio na hatia tutaishi kama wakimbizi ndani ya nchi yetu.
 
Back
Top Bottom