Kabla ya kutoa hukumu source ya picha hiyo na nan alihoji kuwa huyo bint wapo nae maana mitandao now days unaweza pigwa picha mtu akatengeneza content na wala hausikiHiyo ni Moja ya picha inayotrend sana mtandaoni,
Mama mmoja akiwa hotelin na familia yake lakin wakionekana kumtenga aliyedaiwa ni mfanyakazi wa ndani Tena kwa kumwambia ageuke upande mwengine ili watu wasije kutambua kwamba wapo pamoja
Je huu ni unyanyasaji, roho mbaya au ni uchoyo?
Nipe jibu kweny comment 🫣View attachment 3289936
Wala hawezi fikia hatua hiyo, mpk inafikia unyanyasaji wa wazi hivyo mgahawani ni dhahiri huko nyumbani hakuna rangi hajaacha kuona, wanakuwa wametokea familia duni so option yake ni kuvumilia tu.Roho yangu imeniuma.
Lakini ni kutojitambua,huyo akiamua mfe,ni sekunde.
Mtu anawapikia,anawafulia nguo,lakini kwenye kula mnamtenga.God forbid(siku akichoka....)
Huwa inasikitisha kumuonea huruma mtu asiejihurumia.. Lakini muda mwingine unakuta mabinti wametokea familia maskini kwa hiyo wanakomaa tuMimi nina dada yangu ana roho mbaya mpaka sisi familia tumenyoosha mikono juu🙌🏻ila ana Mfanyakazi wake huu mwaka wa 5 ukifika pale mpaka unajiuliza huyu binti hana wazazi aondoke mahali hapa maana si kwa kazi zile bila kupumzika.
Mie sio single mother.Njoo tulee hao watoto
Okay, sawa mkuu.Sio maamuzi yangu madame... it's all about life
Hawa wasio na ndoa wanafeli wapiMie sio single mother.
Nina ndoa yangu ya tatu hii.
Hii tabia wanayo sana kina Mama wa Kichagga na KipareHiyo ni Moja ya picha inayotrend sana mtandaoni,
Mama mmoja akiwa hotelin na familia yake lakin wakionekana kumtenga aliyedaiwa ni mfanyakazi wa ndani Tena kwa kumwambia ageuke upande mwengine ili watu wasije kutambua kwamba wapo pamoja
Je huu ni unyanyasaji, roho mbaya au ni uchoyo?
Nipe jibu kweny comment 🫣View attachment 3289936
Wapumzishwe kivipi wakati ni tabia za dada zako, si ni asili yao hii?Mhm.. Kaskazini tena! Wapumzisheni kidogo