Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

Nakupa elimu ndogo kabisa, Ni baba yenu ndie alikuwa anatafuta hela za kuwalipia ada shuleni, nguo, chakula, n.k. mama yenu alikuwa anapewa ila mkimuona anavyowalipia / kuwapa mnadhani ni zake.

Nani kama mama ni misemo ya watoto / vijana ambao bado hawana familia zao kujua mfumo kamili wa jinsi mambo yanavyokwenda
👏
 
SEHEMU YA TANO (5)

Tulipoishia….

Walivyokimbia nikaamka nduki nikaenda nyumbani na nilikua na uoga sana ikabidi nimwambie Aunt kuwa watu flani wamenivamia na kunipiga kisa Jane (nilikua na utoto mwingi). Aunt alichukia na akasema twende kwao Jane ila tupite kwa balozi kwanza kutoa taarifa then tukaenda kwao na Jane.

Tunaendelea….

Kwao na Jane tulimkuta mama yake na wanafahamiana vizuri na aunt.. Sasa aunt sijui hakunielewa au alikua ashasikia tetesi za mahusiano kati yangu ma Jane..

Aunt akasema nisimulie ilivyokua na mimi nikasema kama nilivyomwambia home, asee aunt akaongeza na maneno mengine ikaonekana Jane ndo ana makosa. Mama yake alimpiga sana mbele yangu huku akitamka “Nishakuzuia mambo ya wanaume” mimi na Aunt tuliondoka tukuacha Jane anapurukushana na mama yake.
Tumerudi home napo nilipata nasaha ndefu sana siku hiyo.
Sasa kesho shule mimi na Jane tukawa maadui. Asee Jane alifanya maisha yangu ya darasani yakawa magumu sana. Kuna siku nilikutana nae mtaani akanambia atanionyesha. Sasa wale jamaa wote waliokua wakimfatilia akaanza kupiga nao story. Nilikua naumia sana maana nilikua nampenda bado ila sikuweza kumfuata hata siku moja kumwambia yaishe au samahani, hivyo ni miongoni mwa kitu kilichomchukiza sana ( nilijua baadae). Maisha ya shule yaliendelea na niliamua kufocus na masomo zaidi na wakati huu mwezi wa sita ulikua umefika na tulifanya mtihani vizuri. Matokeo yalitoka na this time nilikua mtu wa 9 kutoka 92 mwezi wa 3. Licha ya matokeo haya Aunt bado alisema ongeza bidii kuna masomo hufanyi vizuri. Dah nilijisemea huyu mama anataka nisome vipi.
Yule rafiki yangu V tuliyehamia wakati mmoja hapo alikua close na mimi na ndoto yetu ya science ilishakufa muda tushakua watu wa Arts na tushazoea mazingira. Ilibidi nimwambie kuhusu Jane na akasema alisikia maneno kuwa nimepigwa na mchumba wa Jane, akanicheka sana. Kumbe story watu wanazo class na wananicheka chini chini.
V aliniahidi ataongea na Jane maana nilikua nammiss sana zile care amd everthing alafu ulizingatia ndo nilikua nimeonja utamu wa tunda mara moja tu.

V alizungumza na Jane lakini Jane alinikazia kabisaaa na wakati huu nilijua mambo mengi kuhusu yeye. Kumbe zile pesa Likua akinipa alizitoa kwa jamaa mmoja alikua anadate nae. Jamaa ni mkazi wa Bukoba ila alikua anafanya kazi Dar. So Jane alinunua simu flani hivi (Kipindi hicho simu za mchina zilikua zinatrend sana Bukoba) mimi sikua hata na simu, nilikua natumia ya sisy Tiva kuwasiliana.
Kwenye desk langu pale class nilikua close na wadada flani na mmoja nakumbuka alikua akinionyesha sign za kunipenda hata wakati niko na Jane. Sasa huyu na wenzake ndo walikua wakinipa umbea namna Jane anaongea huko, anadate na nani na mengineyo.

Maisha yaliendelea japo niliteseka sana na Jane hadi tukaingia form 4…….

Tulifanya mtihani wa Mock miezi miwili kabla ya NECTA na kiukweli matokeo ya Mock nilifeli… Nilipata 4 ya 29. Yule rafiki yangu V alipata 4 ya 28 na rafiki yetu mwingine alipata 4 ya 28.

Matokeo haya hayakumfurahisha kabisa aunt na alitoa kauli ya kunikatia tamaa akasema nijitahidi NECTA nipate hata 4 ya 28 nikasome Ualimu.
Dah nilikua mnyonge sana na sikuelewa hatma ya masomk yangu. Tulikaa kikao mkakati na wale rafiki zangu wawili tukakubaliana kwa muda huo mchache uliobaki tukakae Gheto tuwe tunakesha.
V alikua na gheto aliachiwa na dada yake pale mjini ila halikua na umeme.

Niliwasilisha ombi langu kwa Aunt, na hakukubali moja kwa moja akasema nikamwambie uncle. Baadae nilikubaliwa na mapambano yakaanza.
Nakumbuka ilikua imebaki mwezi na siku kadhaa tufanye NECTA, tulipiga book haswaaa, tulikua tunalala kwenye mkeka. Tuliweka sheria kulala kitandani ni kuanzia saa 10 usiku. Kwakweli nilipigika sana na rafiki zangi wale. Tulichambua past papers, tulifanya Duscussion na mengineyo mengi.
Nilikua naenda home jumatano na ijumaa kubeba misosi. Jumamosi jioni nilikua narudi kulala home ili j2 niende kanisani.

Siku zikakatika hatimaye tukafanya NECTA, mimi nikiwa kwenye bifu zito na Jane ila sikujali tena nilikua nawaza future yangu tu.
Jane hakua vizuri sana class so hakujali matokeo wala nini.

Baada ya kumaliza NECTA nilirudi mtaani na nikaendelea kumsaidia aunt pale ofisini kwake. Alikua akiniamini sana na wakati mwingine akisafiri mimi ndo nashinda ofisini kwake na natunza pesa zote home hadi arudi.

Nilianza kumshinikiza nirudi mwanza lakini hakukubali na Mwanza nilikua na crush wangu wa tangu utotoni sasa nilikua nammiss sana na kila tukiongea kwenye simu alikua anauliza narudi lini
Marafiki pia walikua wakiuliza narudi lini. Wakati huu nilikua na kisimu cha tochi tayari ambacho alinitumia kaka yangu akiwa kule Tabora Boys.

Matokeo ya Necta yaliyoka na siku hiyo nilikua nyumbani, nilipokea simu za watu kadhaa wakisema matokeo yametoka. Sikuwa na uwezo wa kwenda internet Cafe maana nilipatwa na wasiwasi hadi tumbo likaanza kuuma. Nakumbuka nilienda toilet nikamaliza matatizo yangu nikarudi kitandani kulala nikaweka biblia kifuani.

Baada kama ya saa hivi Aunt alinipigia na nilikua naogopa sana kupokea ile simu. Niwarudishe nyuma kidogo, nilisema watoto wengi wa Aunt wamesoma BK SEC, Sasa aunt ana mtoto wa kiume alikua UDSM wakati huo na alisoma BK SEC O-level.
Kipindi hicho matokeo walikua wanaandika majina kama sikosei (mtanirekebisha kama nimekosea) . So yule mtoto wa aunt alikua anajua namba ya shule ya BK SEC, nakumbuka ilikua S.0307/….. ndo namba ya mwanafunzi inafuata.
Nilipokea simu ya aunt na alikua akinipa taarifa za matokeo yangu.


Tunaendelea….

Kama watu wako active nishushe epsode nyingine…
Shusha mkuu tupo active tushatoka mihangaikoni
 
SEHEMU YA NNE (4)

Tulipoishia…

Yale matokeo yakafifisha ndoto zangu za kwenda Science jumla…

Tuendelee Sasa…

Familia ya pale home kwa aunt ilikua poa tu maana hakukua na challenge sana na nisingependa kugusia part hii maana sio muhimu sana.

Baada ya matokeo yale ratiba ilibadilika, ilikua hata nikitoka tuition lazima home nisome usiku, uncle (mume wa aunt) alikua lazima aje usiku kuchungulia room kwetu kama tumeamka kusoma (Kuna mtoto wa mwisho wa aunt mwingine alikua pale ma alikua primary bado ndo tulikua tunapeana kampani kusoma)

Kwa upande mwingine maisha ya kiroho pia yalikua yanakaziwa pale, kila jumapili lazima kwenda kanisani, ilikua ni lazima so nilinyooka na kuwa kijana mzuri tu, sikua na makundi kama Mwanza kule.

Turudi kwa Jane kwanza… Wakati wote ambao niko kwenye mahusiano na Jane sikua nimewahi kufanya chochote. Kuna siku tulipanga kwamba weekend twende mlimani huko ( kulikua na mlima flani una majani na miti miti na hakukuwa na nyumba karibu na maeneo yale) ukipanda huko juu unaiona Bukoba vizuri kabisaaa, mlima uko maeneo ya Buyekera karibu na shule ya msingi Buyekera. Kwa watu walioishi Bukoba mjini wanapafahamu ingawa kwa sasa mlima huo una nyumba kibao tu.
Tuliplan twende kule tukashiriki tendo wakati huo mimi ndo mara ya kwanza na mwenzangu yeye alikua ashapiga show kadhaa huko nyuma.
Maisha yaliendelea na weekend ilifika tukaenda zetu juu huko mi nilibeba maji ya kunywa tu. Tulikutana mahali na tukaanza safari.
Baafa ya muda kama 20 min tulikua kule juu tukajichimbia mahali ma story ziliendelea huku nisijue naanzia wapi.
Kufupisha, tulishiriki tendo na ndo ilikua mara yangu ya kwanza. Siwezi sema nilienjoy sana maana sikua najua mambo mengi na niliishia bao la kwanza wala sikutaka kuendelea.

Sasa baada ya yote Jane alizidi kunipenda na mimi nilikua nampenda sana kwakweli. Kule shuleni walikua wanasema tu mi napata story ila hatukuwahi kuweka wazi mapenzi yetu mbele za watu. Baadhi ya washikaji walikua na chuki na mimi kisa Jane. Jane alikua na mwili mkubwa kidogo kunizidi na alionekana kunizidi kama mwaka hivi (nilijua baadae kuwa ananizidi)
Sasa wakati penzi likikolea Jane alikua na Kaka yake ambaye nilikua tu namwona na kwa kipindi kile jamaa alikua anakula moshi (anavuta Bangi) yule Kaka yake sikuwahi kuwa karibu nae ila nilikua najua anamtaka mtoto wa aunt yule aliyefanya nijuane na Jane.
Siku natoka tuition mida ya saa 12 jioni nilikutana na kaka yake akiwa na kundi lake na wanilisimamisha nilikua naendesha baiskeli kwenda home. Jamaa alinipiga beat na kusema natoka na dada yake, atanitafuta, pale asingeweza kufanya kitu kwani tulikua road.
Asee niliogopa sana nikaenda home straight kwa Dada (yule mtoto wa aunt tumwite Tiva)
Tiva alimind sana akanambia twende, kufika kule alimfokea sana jamaa na jamaa akasema hajasema kitu kibaya kwangu na hawezi kunigusa maana sijamkosea kitu.

Kun siku tuko shuleni, muda wa break Jane alikua ananifata kwenye dawati langu na kuongozana hadi jikoni kupata chai (BUKOBA SEC ilikua na utaratibu wa kugawa maandazi na chai kwa kila mwanafunzi na ilikua buree, utaratibu uliwekwa kwa members yaani wanafunzi mnakua na makundi ya watu 12 na kiongozi ndo anafata maandazi na chai then anawagawia)
Sasa huu utaratibu sikua nimeuzoea sababu kule Mwanza hamna mambo hayo, pili sikua nimezoea sana kuongea na watu, tatu kulikua na vurugu flani hivi. Jane ndo mtu pakee alikua ananichukulia maandazi na kuniletea kwenye Table yetu pale canteen then tunakula. Siku nyingine nilikua siendi kabisa Canteen. Sasa kuna siku nilimwambia siendi yeye akatangulia then baadae akili ikanambia niende nikanunue Karanga za bubu (zilikua maarufu sana na muuzaji alikua bubu). Wakati nanunua karanga nikamwona Jane yuko Posta (Bukoba sec iko karibu na ofisi za posta) anaongea na jamaa hivi ambaye sio mwanafunzi. Wivu ukanijaa na nikachukia sana na aliniona.
Nikarudi class na sikusema kitu, jioni muda wa kutoka akaja kunichua kwa desk yangu tuindoke nikamwambia asinifate tena na asinizoee, nilikua na ujinga mwingi asee.

Jane aliondoka hakutaka kudraw atention yoyote pale maana wengi walikua hawajui kama tunadate.
Jioni alikuja home kuniulizia na akaambiwa niko Tuition. Home hawakua na wasiwasi wanajua tunasoma wote. Usiku akaja tena na nikamkazia nikasema sitaki mahusiano tena. Aliniomba msamaha na kunidanganya yakaisha.
Nakumbuka Jane alikua akiniletea pesa na vijizawadi sana.

Sasa kumbe sakata la yule kaka yake Jane kusema atanitafuta lilikua limetengenezwa na jamaa flani alikua anamtaka sana Jane ila Jane anakaza, jamaa aligundua Jane ana mahusiano na mimi.

Nakumbuka hiyo siku nikua natoka tuition, mida ya saa moja jioni giza tayari limeingia, nikiwa njiani kabisa kufika home, ile sehemu yenye shamba la miwa ambako nilikiss mara ya kwanza na jane. Nilikutana na jamaa wawili wakanisimamisha, wakati nashuka kwenye baiskeli niwasikilize asee nilipigwa ngumi moja ya uso hadi chini… Sikujua napambana nao vipi nikajikuta nimebaki chini pale kama nimezima ili wasiendelee maana wangenipasua.. Jamaa wakakimbia (mmoja alikua yule anayemtaka Jane na nilikua namjua sababu Jane aliwahi nionyesha)

Walivyokimbia nikaamka nduki nikaenda nyumbani na nilikua na uoga sana ikabidi nimwambie Aunt kuwa watu flani wamenivamia na kunipiga kisa Jane (nilikua na utoto mwingi). Aunt alichukia na akasema twende kwao Jane ila tupite kwa balozi kwanza kutoa taarifa then tukaenda kwao na Jane

Itaendelea…
Buhama ndiye alikuwa Headmistress bila shaka zama hizi... nmesoma hapo ila nilimaliza 2009 form Science, alikuwepo mwalimu anaitwa kabyemera alikuwa anaogopwa kinoma lakini hachapi, halafu alikuweppo Soo alikuwa ana nongwa ila anapendwa kinoma.
 
SEHEMU YA TANO (5)

Tulipoishia….

Walivyokimbia nikaamka nduki nikaenda nyumbani na nilikua na uoga sana ikabidi nimwambie Aunt kuwa watu flani wamenivamia na kunipiga kisa Jane (nilikua na utoto mwingi). Aunt alichukia na akasema twende kwao Jane ila tupite kwa balozi kwanza kutoa taarifa then tukaenda kwao na Jane.

Tunaendelea….

Kwao na Jane tulimkuta mama yake na wanafahamiana vizuri na aunt.. Sasa aunt sijui hakunielewa au alikua ashasikia tetesi za mahusiano kati yangu ma Jane..

Aunt akasema nisimulie ilivyokua na mimi nikasema kama nilivyomwambia home, asee aunt akaongeza na maneno mengine ikaonekana Jane ndo ana makosa. Mama yake alimpiga sana mbele yangu huku akitamka “Nishakuzuia mambo ya wanaume” mimi na Aunt tuliondoka tukuacha Jane anapurukushana na mama yake.
Tumerudi home napo nilipata nasaha ndefu sana siku hiyo.
Sasa kesho shule mimi na Jane tukawa maadui. Asee Jane alifanya maisha yangu ya darasani yakawa magumu sana. Kuna siku nilikutana nae mtaani akanambia atanionyesha. Sasa wale jamaa wote waliokua wakimfatilia akaanza kupiga nao story. Nilikua naumia sana maana nilikua nampenda bado ila sikuweza kumfuata hata siku moja kumwambia yaishe au samahani, hivyo ni miongoni mwa kitu kilichomchukiza sana ( nilijua baadae). Maisha ya shule yaliendelea na niliamua kufocus na masomo zaidi na wakati huu mwezi wa sita ulikua umefika na tulifanya mtihani vizuri. Matokeo yalitoka na this time nilikua mtu wa 9 kutoka 92 mwezi wa 3. Licha ya matokeo haya Aunt bado alisema ongeza bidii kuna masomo hufanyi vizuri. Dah nilijisemea huyu mama anataka nisome vipi.
Yule rafiki yangu V tuliyehamia wakati mmoja hapo alikua close na mimi na ndoto yetu ya science ilishakufa muda tushakua watu wa Arts na tushazoea mazingira. Ilibidi nimwambie kuhusu Jane na akasema alisikia maneno kuwa nimepigwa na mchumba wa Jane, akanicheka sana. Kumbe story watu wanazo class na wananicheka chini chini.
V aliniahidi ataongea na Jane maana nilikua nammiss sana zile care amd everthing alafu ulizingatia ndo nilikua nimeonja utamu wa tunda mara moja tu.

V alizungumza na Jane lakini Jane alinikazia kabisaaa na wakati huu nilijua mambo mengi kuhusu yeye. Kumbe zile pesa Likua akinipa alizitoa kwa jamaa mmoja alikua anadate nae. Jamaa ni mkazi wa Bukoba ila alikua anafanya kazi Dar. So Jane alinunua simu flani hivi (Kipindi hicho simu za mchina zilikua zinatrend sana Bukoba) mimi sikua hata na simu, nilikua natumia ya sisy Tiva kuwasiliana.
Kwenye desk langu pale class nilikua close na wadada flani na mmoja nakumbuka alikua akinionyesha sign za kunipenda hata wakati niko na Jane. Sasa huyu na wenzake ndo walikua wakinipa umbea namna Jane anaongea huko, anadate na nani na mengineyo.

Maisha yaliendelea japo niliteseka sana na Jane hadi tukaingia form 4…….

Tulifanya mtihani wa Mock miezi miwili kabla ya NECTA na kiukweli matokeo ya Mock nilifeli… Nilipata 4 ya 29. Yule rafiki yangu V alipata 4 ya 28 na rafiki yetu mwingine alipata 4 ya 28.

Matokeo haya hayakumfurahisha kabisa aunt na alitoa kauli ya kunikatia tamaa akasema nijitahidi NECTA nipate hata 4 ya 28 nikasome Ualimu.
Dah nilikua mnyonge sana na sikuelewa hatma ya masomk yangu. Tulikaa kikao mkakati na wale rafiki zangu wawili tukakubaliana kwa muda huo mchache uliobaki tukakae Gheto tuwe tunakesha.
V alikua na gheto aliachiwa na dada yake pale mjini ila halikua na umeme.

Niliwasilisha ombi langu kwa Aunt, na hakukubali moja kwa moja akasema nikamwambie uncle. Baadae nilikubaliwa na mapambano yakaanza.
Nakumbuka ilikua imebaki mwezi na siku kadhaa tufanye NECTA, tulipiga book haswaaa, tulikua tunalala kwenye mkeka. Tuliweka sheria kulala kitandani ni kuanzia saa 10 usiku. Kwakweli nilipigika sana na rafiki zangi wale. Tulichambua past papers, tulifanya Duscussion na mengineyo mengi.
Nilikua naenda home jumatano na ijumaa kubeba misosi. Jumamosi jioni nilikua narudi kulala home ili j2 niende kanisani.

Siku zikakatika hatimaye tukafanya NECTA, mimi nikiwa kwenye bifu zito na Jane ila sikujali tena nilikua nawaza future yangu tu.
Jane hakua vizuri sana class so hakujali matokeo wala nini.

Baada ya kumaliza NECTA nilirudi mtaani na nikaendelea kumsaidia aunt pale ofisini kwake. Alikua akiniamini sana na wakati mwingine akisafiri mimi ndo nashinda ofisini kwake na natunza pesa zote home hadi arudi.

Nilianza kumshinikiza nirudi mwanza lakini hakukubali na Mwanza nilikua na crush wangu wa tangu utotoni sasa nilikua nammiss sana na kila tukiongea kwenye simu alikua anauliza narudi lini
Marafiki pia walikua wakiuliza narudi lini. Wakati huu nilikua na kisimu cha tochi tayari ambacho alinitumia kaka yangu akiwa kule Tabora Boys.

Matokeo ya Necta yaliyoka na siku hiyo nilikua nyumbani, nilipokea simu za watu kadhaa wakisema matokeo yametoka. Sikuwa na uwezo wa kwenda internet Cafe maana nilipatwa na wasiwasi hadi tumbo likaanza kuuma. Nakumbuka nilienda toilet nikamaliza matatizo yangu nikarudi kitandani kulala nikaweka biblia kifuani.

Baada kama ya saa hivi Aunt alinipigia na nilikua naogopa sana kupokea ile simu. Niwarudishe nyuma kidogo, nilisema watoto wengi wa Aunt wamesoma BK SEC, Sasa aunt ana mtoto wa kiume alikua UDSM wakati huo na alisoma BK SEC O-level.
Kipindi hicho matokeo walikua wanaandika majina kama sikosei (mtanirekebisha kama nimekosea) . So yule mtoto wa aunt alikua anajua namba ya shule ya BK SEC, nakumbuka ilikua S.0307/….. ndo namba ya mwanafunzi inafuata.
Nilipokea simu ya aunt na alikua akinipa taarifa za matokeo yangu.


Tunaendelea….

Kama watu wako active nishushe epsode nyingine…
Shusha Mkuu maana watu tupo Lindo apa
 
Buhama ndiye alikuwa Headmistress bila shaka zama hizi... nmesoma hapo ila nilimaliza 2009 form Science, alikuwepo mwalimu anaitwa kabyemera alikuwa anaogopwa kinoma lakini hachapi, halafu alikuweppo Soo alikuwa ana nongwa ila anapendwa kinoma.
Very true bro, mkuu wa shule alikua mama Buhama, Kama kuna kitu nimesahau kuhusu BK SEC utanikumbusha hapa
 
Nakupa elimu ndogo kabisa, Ni baba yenu ndie alikuwa anatafuta hela za kuwalipia ada shuleni, nguo, chakula, n.k. mama yenu alikuwa anapewa ila mkimuona anavyowalipia / kuwapa mnadhani ni zake.

Nani kama mama ni misemo ya watoto / vijana ambao bado hawana familia zao kujua mfumo kamili wa jinsi mambo yanavyokwenda
Kwamba huyu jamaa ana miaka 30 na hajui haya ?
 
SEHEMU YA SITA (6)

Tulipoishia…

Kipindi hicho matokeo walikua wanaandika majina kama sikosei (mtanirekebisha kama nimekosea) . So yule mtoto wa aunt alikua anajua namba ya shule ya BK SEC, nakumbuka ilikua S.0307/….. ndo namba ya mwanafunzi inafuata.
Nilipokea simu ya aunt na alikua akinipa taarifa za matokeo yangu

Tunaendelea…

Aunt alianza kwa kunisalimia “Hujambo” Mimi: Sijambo shikamoo aunt
Aunt: Nasikia matokeo yametoka
Mimi: (Kwa unyonge sana)ndio nimesikia
Aunt: Hongera mwanangu umefaulu

Baada ya hii kauli nilinyanyuka kitandani kwanza nikaweka bible pembeni,
Mimi: Umejuaje na nimepataje aunt
Aunt: una three (3) ya 24
Mimi: Asante Mungu…
Maongezi mengine yaliendelea pale na aunt na baada ya kunipongeza nilikata simu nikatoka nje speed kwenda kwa rafiki yangu.
Chaaap hao internet cafe… V alipata 3 ya 24 kama mimi na yule rafiki yetu mwimgine alipata 4 ya 26 ila combination zilibalance

Nilipokea simu kadhaa za hongera kutoka kwa Aunt wa Dar, Baba, Bro na wengineo wengi maana tayari hawakua na imani na mimi. Kwa upande wa marafiki zangu Mwanza kule hakuna hata mmoja aliyepata Div 1-3. Wengi walipata 4 wengine walipiga zero.
Nilimshukuru Mungu sana na nikakumbuka kauli ya V kuwa tukaze humu humu Arts.

Wakati nasubiri selection za shule, aunt alinipeleka kijijini kuna shule inaitwa KADEA, nilienda kufanya interview ya kujiunga na kidato cha 5. Na baada ya kuona matokeo yangu walisema nimechaguliwa kujiunga na shule hiyo.

Kwakweli sikutaka kabisa kusoma Bukoba tena, nilikua sijui naonaje mbaya zaidi nikasome bush… Noooh, nilijiambia mwenyewe.

Aunt bado hakunipa ruhusa kurudi Mwanza hivyo niliendelea kukaa pale pale kwake na maisha yaliendelea.

Selection zilitoka na nilipangiwa shule moja iko Mbeya Tukuyu huko ndani ndani (Sitoitaja jina). Sasa changamoto ikawa ni kumshawishi aunt niende Mbeya na sio Bukoba hapo.
Niliwasiliana na bro wa tabora boys, then yule bro mtoto wa aunt wa UDSM. Nikawapanga kabisaa wamwambie aunt faida za kusoma advance shule za serikali.
Maelezo yangu yalijificha kwenye sababu ya mikopo ya chuo. Kwamba nikisoma private chuo sitopata mkopo. Pia tulifuatilia ufaulu wa shule ya mbeya na hiyo KADEA ikaonekana ile shule ya Mbeya wanafaulu sana.

Baada ya siku kadhaa aunt alikubali na mchakato ukaanza. Form 5 nilichaguliwa mchepuo wa HGK.

Wakati wote niliokaa bukoba, nilikua nikipata nafasi naenda kijijini pale kwenye kaburi la Mama kumsalimia🙏🏾. Hata kabla ya kuondoka Bukoba nilienda tena pale alipolala mama.

Kipindi nimemaliza form 4 Aunt alinipa hela nikafungue Acc bank. Hivyo acc yangu ya kwanza ya Bank nilianza kuitumi 2010, ilikua CRDB.

Aunt wa Dar alinipigia na kuniuliza nini nahitaji ili viniwezeshe shuleni, Nilimwambia vitabu.

Niliondoka Bukoba kwenda Dar lakini aunt safari hii aliniruhusu nipite Mwanza kumsalimia Baba na alinipa siku 2 tu then niende Dar

Ilikua 2011 tayari na nilirudi Mwanza kwa mbwembwe sana, safari nzima nawaza namna ntamwona Crush wangu wa tangu utotoni.

Niliwasili Mwanza mapema tu na shughuli kubwa ilikua ni kutembelea marafiki zangu. Jioni yake nilionana na Crush wangu ( Clara tumwite hivyo) na tulikubalina siku nnayoondoka nikalale Lodge pale Nyegezi na yeye angetoka kwao ili tulale wote. Nami nilikubali ukizingatia nilikua na visent kwenye Acc yangu.

Mzee alifurahi sana na hakuna mkali tena hadi leo hii. Kesho mchana nilinunua simu mpya ya mchina nakumbuka niliweka ringtone nyimbo ya 20%.
Jioni nilijiandaa vyema na safari kwenda Nyegezi ikaanza, tulipanga kukutana na Clara maeneo ya Ghana then tuondoke wote na ilikua hivyo.

Nilimpend Clara ila Jane alikua mzuri sana. Basi tulipata Lodge pale Nyegezi na tukaenda kununua vyakula tukarudi ndani.
Clara alikua Bikra kabisaaa na hiyo siku ndo nilitoa usichana wake.
Alimia sana ila hatukua na namna maana alikua tayari kwa kile kilichokua kinaendelea.

Asubuhi niliondoka na Clara alisubiri hadi bus liondoke ndo akaondoka ila alikua na maumivu makali mno na hata tembea yake haikua kawaida.
Wakati niko njiani tulikua tukichat na alinijulisha kuwa anaumwa sana, amepata hadi homa. Nilimpa pole nyingi na kumwambia ajikaze home wasijue.

Kwa upande wa Jane baada ya kumaliza form 4 alienda Dar kwa mpenzi wake baadae akaenda mwanza kwa dada yake (niliambiwa na mwenzake) lakini taarifa niliyokuwa nayo wakati naenda Advance ni kuwa Jane tayari ana mimba kubwa tu.


TUTAENDELEA…..

Kama bado tuko active niandike epsode moja ya mwisho kwa leo

NB: This is my true story, sijacopy mahali… Nimeileta hapa maana huko mbeleni nahitaji ushauri wenu muhimu
 
Kwanini baba asiwape mwenyewe hivyo vitu kama nguo au aseme nitampa mama yenu atawapa? Mambo hayo ndio wababa hua mnakosea halafu baadae watoto wakilipa fadhila kwa mama mnaumia.
Tukishatimiza wajibu inatosha. Kazi ya baba ni Ku provide for the family. Ni wajibu. Hata kama familia inakuona kauzu, mke kakuchoka, watoto hawakuelewi. You have to provide. By the way mafanikio mojawapo ya mwanaume ni kuchagua mama bora kwa ajili ya watoto , kuna shida gani watoto kumpenda mama yao ambaye mimi niliwachahulia ? Mimi sioni shida kwenye hilo.
 
Tukishatimiza wajibu inatosha. Kazi ya baba ni Ku provide for the family. Ni wajibu. Hata kama familia inakuona kauzu, mke kakuchoka, watoto hawakuelewi. You have to provide. By the way mafanikio mojawapo ya mwanaume ni kuchagua mama bora kwa ajili ya watoto , kuna shida gani watoto kumpenda mama yao ambaye mimi niliwachahulia ? Mimi sioni shida kwenye hilo.
Umenena vyema sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom