Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,494
- 21,444
Baba na Mama yangu niliwaunganisha mimi,Mkuu, ulikubalije kuunganishwa na MTU JF, mtandao secret kama huu. Me jamiiForum sitaki hata baba angu aijue ID yangu japo anafahamu nami ni member toka kitambo.
Hata mzee nae sijawahi kuifahamu ID yake
Baba yupo jukwaa la siasa namuonaga anamwaga points huko nampa like tu, Mama yupo pote ila hachangii nacheka ikitokea ameona habari fulani ananipigia simu kunihadithia kama vile mimi sipo, (i love u mom),
My sisters and bros wapo na tunajuana ila tumekubaliana kila mtu afanye yake,
Ndugu kibao hunambia wananiona (nipo wazi na picha zangu).
Jf ni forum kubwa sana yenye msaada kwa wengi, kwa hili Kaka Maxence Melo na uongozi mzima wa Jf wanastahili pongezi nyingi, tuendelee kuwasapoti tu.
