Uko sahihi mkuu jmaa wana akili unaweza kukuta mtu anajichetua lkn katika uchetukaji wake kuna ujumbe pia ndani yakeJamaa hawawezi kubadilika, ni sikio la kufa! Ukiondoa makandokando hayo jamaa Wana akili sana
Halafu mvumilivu Sana! Alikuwa mwanamaombi, dini Sana halafu akakutana na Mimi "filosofa" namwambia aache ujinga kusali Haina logic! Alitumia muda mwingi kunisikiliza na kunielewa Kisha tukakubaliana kila mtu awe msikivu kwa mwenzake!Anna alipiga kazi ya ziada
SahihiNa ndio hapo JF inapotufundisha utulivu na umakini katika kusoma andiko lolote!
Kama unatosha basi mtoa mada ana lakeAbee mkuu.
Kwani mimi sitoshi kuwasaidia?
DadekiUzuri huku watu hawauzi sura, wanauza mitazamo na fikra! Kuna anayependwa kwa akili zake na mwingine anapendwa kwa ujinga wake! Wote tunaishi
Mkuu Maxence Melo kuna haja sasa ya kuanzisha jukwaa la watoto. Take it serious watoto nao wana haki ya kucheza kikatibaDah mimi binafsi najivunia kua member wa jamiiforums ...
Mimi binafsi nilikua napenda sana kusoma habari kupitia blog za bongo hizi za akin millard ayo, Samisago ila sasa nilikua niki ingia opera min kwa chini nakuta news basi nilikua nazipitia pitia maana napenda sana kusoma habari...
Mkuu unanichongeaMkuu Maxence Melo kuna haja sasa ya kuanzisha jukwaa la watoto. Take it serious watoto nao wana haki ya kucheza kikatiba
Vizuri... Ila usisahau kuwa endapo utachukua muda mrefu kusoma tu bila kutafakari mashiko ya ulichokisoma utaishia kwenye tabia mbaya ya kupenda kutafuniwa! Mwenzako niliiepuka hiyo tabia japo kwa kuchelewa ila niliiepukaDah mimi binafsi najivunia kua member wa jamiiforums ...
Mimi binafsi nilikua napenda sana kusoma habari kupitia blog za bongo hizi za akin millard ayo, Samisago ila sasa nilikua niki ingia opera min kwa chini nakuta news basi nilikua nazipitia pitia maana napenda sana kusoma habari...
Kwa mtu aliyekamilika vizuri mahusiano ya kimapenzi ni zaidi ya ridhiko la kingono pekee! Nyeto utajiridhisha kingono tu ila faida ya mwanamke kwa mwanaume ni zaidi ya ngono! Nyeto isingeweza kunifanya nione mahusiano sio lazima, na sizungumzii mahusiano ya kingono pekee bali socialization kwa ujumla wakeJf ndo ilikufanya uone mademu hawana maana yoyote au nyeto ndo ilikufanya uamini hivyo?
Tuvumiliane tu, tusipimane kwa umri bali michango ya kifikraMkuu Maxence Melo kuna haja sasa ya kuanzisha jukwaa la watoto. Take it serious watoto nao wana haki ya kucheza kikatiba
Story, tamu..Endelea kuandika OP.
Sijui ni kwanini lakini ulichoandika sikutamani kiishe.