Morg
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 1,299
- 1,802
Ulikuwa bogas ujuaji uliopitilza mpaka kufikia stage ya kuona hakuna mungu na kumwambia mwenzake asiombe kwa mungu ni ujinga ulipitiliza sana .
Nashindwa kuelewa ulikuwa unasomea cozi gani ambayo ikitokea mada ya kuchangia wewe unakuwa opposite na ukweli na still bado unashinda kwa hoja nina walakini.
Katika jukwaa la JF kwa experience yang tangu niwe members sijawahi kuona mahali wanampinga God wala kuona hoja ya mockers kwa Mungu sasa nashindwa kuelewa wewe huu ujinga ulijazwa JF kivip lkn kimsingi ukitaka kuwa master mind lkn ulikuwa kwenye levo ya utoto tazama ulivyokuwa sasa mtu mzima na kuwa naakili ya kiutuuzima na kuona yale ulikuwa unadhani ni ya kijinga sana.
Lkn yote tisa kumi hongera kwa kuwa mtu mzima Sasa
Nashindwa kuelewa ulikuwa unasomea cozi gani ambayo ikitokea mada ya kuchangia wewe unakuwa opposite na ukweli na still bado unashinda kwa hoja nina walakini.
Katika jukwaa la JF kwa experience yang tangu niwe members sijawahi kuona mahali wanampinga God wala kuona hoja ya mockers kwa Mungu sasa nashindwa kuelewa wewe huu ujinga ulijazwa JF kivip lkn kimsingi ukitaka kuwa master mind lkn ulikuwa kwenye levo ya utoto tazama ulivyokuwa sasa mtu mzima na kuwa naakili ya kiutuuzima na kuona yale ulikuwa unadhani ni ya kijinga sana.
Lkn yote tisa kumi hongera kwa kuwa mtu mzima Sasa