Kabisa Mkuu,Uzuri huku watu hawauzi sura, wanauza mitazamo na fikra! Kuna anayependwa kwa akili zake na mwingine anapendwa kwa ujinga wake! Wote tunaishi
Mkuu Dawa Yenu, kwa aina ya uwakilishaji wa mada yako, na wala pasipo kutambua umri wako ama elimu yako, una uwezo mkubwa sana akilini mwako. Imebaki kwako kijiendeleza kitaaluma ama kiuweledi, ili ufikie hatua ya juu sana ya uhalisia ya jinsi wewe ambavyo ulivyo.Baada ya kumaliza kidato cha nne nilibahatika kumiliki smartphone yangu ya Kwanza. Nilikuwa so excited kujua Jamiiforums inafananaje hii ilitokana na baba yangu kuwa msomaji Sana wa magazeti ya Raia Mwema na Mwanahalisi na mara nyingi wachambuzi wa magazeti hayo walikuwa wanafanya reference zao kutoka Jamiiforums..
Nimecheka kwa sauti,unaweza mtukana mzazi wako bila kujua.Tuongeze staha,JF ni "Mhimili wa nne"Mkuu, ulikubalije kuunganishwa na MTU JF, mtandao secret kama huu. Me jamiiForum sitaki hata baba angu aijue ID yangu japo anafahamu nami ni member toka kitambo.
Hata mzee nae sijawahi kuifahamu ID yake
Haha..!una namba za Ana
Kweli kiongeza uungwana unahitajika sana humu japo tupo secret namna hiiNimecheka kwa sauti,unaweza mtukana mzazi wako bila kujua.Tuongeze staha,JF ni "Mhimili wa nne"
mungu yupo hayupo?Ulikuwa bogas ujuaji uliopitilza mpaka kufikia stage ya kuona hakuna mungu na kumwambia mwenzake asiombe kwa mungu ni ujinga ulipitiliza sana .
wewe ni mgeni na umekurupuka ili kujionesha .Katika jukwaa la JF kwa experience yang tangu niwe members sijawahi kuona mahali wanampinga God wala kuona hoja ya mockers kwa Mungu
umeona huyo mungu alivotukanwa hapo zipo zaidi ya hio jaribu kufatiliaMkuu, mimi sipendi kubishana kwa vitu vya kipuuzi.
Na kwakuwa nimekwambia uthibitishe uwepo wa huyo mungu, umeshindwa, badala yake unaleta story na mambo ya ajabu,
Kwa ufupi niseme "mungu ni shoga"
Kama yupo basi akasilike na ajibu hilo andiko langu hapo juu, sababu yeye mnasema hashindwi chochote
Nashukuru Sana kwa nasaha zako mkuuMkuu Dawa Yenu, kwa aina ya uwakilishaji wa mada yako, na wala pasipo kutambua umri wako ama elimu yako, una uwezo mkubwa sana akilini mwako. Imebaki kwako kijiendeleza kitaaluma ama kiuweledi, ili ufikie hatua ya juu sana ya uhalisia ya jinsi wewe ambavyo ulivyo.
Huyu jamaa atakuwa mgeni Sana hapa jamvinimungu yupo hayupo?
wewe ni mgeni na umekurupuka ili kujionesha .
soma komenti hio ya member hapo chini ili ujue hujui kitu humu na wewesi mfatiliaji.
umeona huyo mungu alivotukanwa hapo zipo zaidi ya hio jaribu kufatilia