Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,112
Habari ,wazima ndugu zangu.
Maisha yanaenda kasi sana hasa pale unapojikuta umri unaenda halafu huna uhakika wa kuishi.
Kila dili unalofanya haliendi kama unavyotarajia.Mda mwingine unaweza hisi kama una nuksi vile, ila mwisho wa siku unaendelea kupambana japo mambo hayanyooki ila sikati tamaa naamini ipo siku nami mambo yatatiki maana ajira hakuna na kuujiajiri mtaji ndio mtihani.
Unabaki kufanya kazi za kutumia nguvu unapatga hela ya kununua mahitaji madogo madogo tu.iInauma sana hasa unapokosa akiba hata ya elfu moja maana ukiipata hela yote inaishia kula tu jamani hatari.
Kama umefanikiwa mshukuru Mungu sana pia tusaidie na sisi kutupa muongozo wa kupita
Maisha yanaenda kasi sana hasa pale unapojikuta umri unaenda halafu huna uhakika wa kuishi.
Kila dili unalofanya haliendi kama unavyotarajia.Mda mwingine unaweza hisi kama una nuksi vile, ila mwisho wa siku unaendelea kupambana japo mambo hayanyooki ila sikati tamaa naamini ipo siku nami mambo yatatiki maana ajira hakuna na kuujiajiri mtaji ndio mtihani.
Unabaki kufanya kazi za kutumia nguvu unapatga hela ya kununua mahitaji madogo madogo tu.iInauma sana hasa unapokosa akiba hata ya elfu moja maana ukiipata hela yote inaishia kula tu jamani hatari.
Kama umefanikiwa mshukuru Mungu sana pia tusaidie na sisi kutupa muongozo wa kupita