Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,456
- 21,167
Maisha yanaenda kasi sana eti shishi baby naye ana msanii π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Msanii wake mwenyewe ni mpishi wake wa shishi food πππππ
Sasa cha kuchekechesha ni kwamba eti msanii ataendelea kupika na kutosha vyombo kama kawaida hapo shishi food wakati huo huo atakuwa anaimba πππππ
Aliponiacha hoi Sasa eti yeye hatoi Cha gari, wala hampangii nyumba msanii wake hivyo vyote atavipata kupitia mshahara wake wa upishi na kwenye kuimba.
Msanii wake anaitwa Nice TZ , amemsaini kupitia lebo yake ya Shishi gang π€£π€£π€£π€£na amemtambulisha rasmi usiku wa Leo.
Yote kwa yote nampongeza Shishi beibeeee kwa uthubutu, japo wabongo wanasema eti jamaa atachukua nafasi ya Rommy soon πππ
Ila Shishi bhana ....
Msanii wake mwenyewe ni mpishi wake wa shishi food πππππ
Sasa cha kuchekechesha ni kwamba eti msanii ataendelea kupika na kutosha vyombo kama kawaida hapo shishi food wakati huo huo atakuwa anaimba πππππ
Aliponiacha hoi Sasa eti yeye hatoi Cha gari, wala hampangii nyumba msanii wake hivyo vyote atavipata kupitia mshahara wake wa upishi na kwenye kuimba.
Msanii wake anaitwa Nice TZ , amemsaini kupitia lebo yake ya Shishi gang π€£π€£π€£π€£na amemtambulisha rasmi usiku wa Leo.
Yote kwa yote nampongeza Shishi beibeeee kwa uthubutu, japo wabongo wanasema eti jamaa atachukua nafasi ya Rommy soon πππ
Ila Shishi bhana ....