Ina wezekana
Member
- Sep 2, 2017
- 74
- 170
- Thread starter
- #61
Asante kwa wazo zuri mkuu. Nilijaribu kiwanda cha sabuni pale mbuyuni dsm. Sometimes hua naenda hapo sema nafasi pale ni chache na wahitaji ni wengi so kila siku wana limited number kulingana na kazi zilizopo siku hiyo. Kama una connection za viwanda vingine naomba maelekezo niendeKatafute kazi viwandani ili uweze kujikimu huku akiangalia mambo ya ajira. Huko kwenu kijijini hakuna mashamba ukalime angalau upate mtaji?
Pole sana dogo one day yes.
