Wee tajiri bwana tumkopeshe jamaa milion mbili hapo apate mtajiDuuuh hali imekaza kwelikweli asee
Ngoja niwe nafikiria cha kukusaidia
Wee tajiri bwana tumkopeshe jamaa milion mbili hapo apate mtajiDuuuh hali imekaza kwelikweli asee
Ngoja niwe nafikiria cha kukusaidia
Ivi mtu akiwa na ardhi ndo anatoboa vipi kwa hali kama yake yani kuuza ardhi au kilimo?Maisha yana mambo mengi sana, haupo peke yako katika hali hiyo ni wengi.
Mimi nakushauri Kama nyumbani Kuna ardhi rudi huko kajipange upya, jipe imani kwamba haijalishi umepitia mangapi lakini ipo nafasi ya kufanya comeback muda ujao, na hakika utaipata kesho iliyo bora zaidi.
Toeni hela, Mungu atawabarikiWee tajiri bwana tumkopeshe jamaa milion mbili hapo apate mtaji
Usijali mzeya ngoja bwana National Anthem atupe mchango wakeToeni hela, Mungu atawabariki
🙄🙄🙄 Mwanawane.. nipo nyumbani napata dishi la bureSafi...mie najitolea mil 3. Ndugu yangu National Anthem utachangia ngapi
Kwa mbususu huwa hakuna kujiulizaUsijali mzeya ngoja bwana National Anthem atupe mchango wake
Ni kweli au ndo zile za kamishine yaani hadi mtu akope ndo upate pesa yakoNimeona Asa Microfinance wametoa nasafi za kazi watafuta loan officers around 100 hebu jaribu huko
Tza sio USA huku bongo watoto sio kikwazo cha kutoboaApo kupatq mtoto nakulaumu sana mtu unajua hali yako afu unaingia kwenye ndoa ujinga ntakuchek pm tuyajenge