Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,612
Kama hauna aibu kama mimi au sio bishoo. Uza simu hiyo ingia sokoni asubuhi ununue tenga la nyanya utembeze na baiskeli hapo mjini daslam lazima utapata hata 5000 ya kula kila siku.
Regret haitakutatulia matatizo. Tushapitia hizo shida na sisi. Nilianza kuuza simu ili nipate hela ya kula, nikanunua kitochi. Hela ilivyokata nikauza jiko la gesi. Ahahahhahaaa
Jamani maisha magumu yasikieni kwa watu tu mkihadithiwa... maana unaishi kwa stress hatari, ukiwa na buku kumi mfukoni unaogopa hata kuichenchi maana unakuwa unawaza ikiisha sijui ndo utakufa...
Ila itabidi upambane mkuu hamna namna, ukishindwa kabisa rudi kijijini ukaanza moja kabisa, maana haina maana upo mjini halafu unaishi maisha ya digidigi... ikiwa ngumu sana usifosi, rudi kijijini hata ukalime.
Regret haitakutatulia matatizo. Tushapitia hizo shida na sisi. Nilianza kuuza simu ili nipate hela ya kula, nikanunua kitochi. Hela ilivyokata nikauza jiko la gesi. Ahahahhahaaa
Jamani maisha magumu yasikieni kwa watu tu mkihadithiwa... maana unaishi kwa stress hatari, ukiwa na buku kumi mfukoni unaogopa hata kuichenchi maana unakuwa unawaza ikiisha sijui ndo utakufa...
Ila itabidi upambane mkuu hamna namna, ukishindwa kabisa rudi kijijini ukaanza moja kabisa, maana haina maana upo mjini halafu unaishi maisha ya digidigi... ikiwa ngumu sana usifosi, rudi kijijini hata ukalime.