Igulu Bugomola
Member
- Apr 17, 2023
- 47
- 61
I can feel unachopitia. Ww bora hata ghetto unalo, mm nimekuwa homeless nazurura tu sina makazi maalum
Yaani wewe simu yako haiiti 24 hours Mimi simu yangu. Kwa mwaka huu haijawahi kupigwa hata Mara. Moja tangu mwaka huu uanze acha hizo bana Kila mtu maisha yampiga hatusemi tu just move on and never give up broWakuu, nahisi naongea peke yangu au nacheka peke yangu ila sijapata mtu tu wa kuniambia kwa jinsi life lilivonichapa.
Kazi niliyokuwa nayo sina tena, marafiki niliyokuwa na kunywa nao hawapo tena, simu yangu siku nzima saa 24 hakuna hata missed call.
Nashindwa kupita mtaani, natoka ghetto asubuhi saa 12 narudi usiku sana naogopa vidole mtaani.
Bili ya umeme na maji nimekuwa mdaiwa sugu, bado Kodi ya nyumba.
Yaani mpaka nimesema, mpenzi wangu yule nilikuwa nawaletea visa vyake nae kaniacha kikatili sana.
Mungu atusaidie vijana tunapitia magumu sana!

Haya mawazo Kama yametoka Kwamaisha hayajawahi kua fair brother! hebu angalia hii
uko hai mzima wa afya kuna mwengine anapigania uhai wake icu
una pa kulala walau utadaiwa kodi kuna mwenzio hajui usiku ukiingia atalala wapi
una sim umeweza kutype jf kuna mwenzio anaitaman awe nayo hata aspopigiwa yeye awe na simu
unajua nn jifunze kushukuru kwa kidogo ulichonacho usiache kupambana hujui muda wala siku ya kutusua



hehehe eti ehHaya mawazo Kama yametoka Kwa
My wife to be![]()
Upo mkoa gnI can feel unachopitia. Ww bora hata ghetto unalo, mm nimekuwa homeless nazurura tu sina makazi maalum
Dah pole sana bro!Yaani wewe simu yako haiiti 24 hours Mimi simu yangu. Kwa mwaka huu haijawahi kupigwa hata Mara. Moja tangu mwaka huu uanze acha hizo bana Kila mtu maisha yampiga hatusemi tu just move on and never give up bro![]()
Mkuu, pole.Wakuu, nahisi naongea peke yangu au nacheka peke yangu ila sijapata mtu tu wa kuniambia kwa jinsi life lilivonichapa.
Kazi niliyokuwa nayo sina tena, marafiki niliyokuwa na kunywa nao hawapo tena, simu yangu siku nzima saa 24 hakuna hata missed call.
Nashindwa kupita mtaani, natoka ghetto asubuhi saa 12 narudi usiku sana naogopa vidole mtaani.
Bili ya umeme na maji nimekuwa mdaiwa sugu, bado Kodi ya nyumba.
Yaani mpaka nimesema, mpenzi wangu yule nilikuwa nawaletea visa vyake nae kaniacha kikatili sana.
Mungu atusaidie vijana tunapitia magumu sana!
Kuhusu hiyo simu ya laki 3 una mshauri afanye nini?una simu ya laki 3 na hela ya Mb unapata mara kwa mara halafu unalia maisha magumu..
unalia kuachwa na demu wako..
unalia kuachwa na marafiki walevi..
Ila Dar es salaam kuna vimbwanga sana
Akaaaa!Mungu atusaidie vijana tunapitia magumu sana!
Hiyo pesa mkuu ni nyingi sana na vya kufanya vipo vingi.Kuhusu hiyo simu ya laki 3 una mshauri afanye nini?
Mpe muongozo hajuiHiyo pesa mkuu ni nyingi sana na vya kufanya vipo vingi.
Anatafuta kijiwe anatengeneza meza kama zile wanazouzia vipande vya kuku au matunda.Mpe muongozo hajui
Dah.... tenga moja la nyanya ni elfu 60 pale mabibo.... na lina nyanya 600.... akigawa mafungu ya nyanya 4 atapata mafungu 150...akauza buku kila fungu atatengeneza laki na nusu...yaani faida ya elfu 90 kila tenga.....na kama akifanikiwa kuuza matenga yote 5 kwa siku hapo unaongelea faida ya laki 4 kwa siku....na ukumbuke kesho atarudi mabibo akiwa na laki 7 mfukoni....akiamua hiyo laki ajipongeze halafu anunue matenga 10....Dah 🤣 🤣Kuhusu hiyo simu ya laki 3 una mshauri afanye nini?
MkuuDah.... tenga moja la nyanya ni elfu 60 pale mabibo.... na lina nyanya 600.... akigawa mafungu ya nyanya 4 atapata mafungu 150...akauza buku kila fungu atatengeneza laki na nusu...yaani faida ya elfu 90 kila tenga.....na kama akifanikiwa kuuza matenga yote 5 kwa siku hapo unaongelea faida ya laki 4 kwa siku....na ukumbuke kesho atarudi mabibo akiwa na laki 7 mfukoni....akiamua hiyo laki ajipongeze halafu anunue matenga 10....Dah![]()
![]()