Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 540
- 2,226
- Thread starter
- #61
Hapo sawa broo umenifungua akili...bajaji ya mkopo inaweza nichelewesha kuyafikiamafanikio. Bajaj ya mkopo ni bei gani?
. Kwa Nini uuze vitu vyote hivyo ukachue bajaji ya mkopo?
. Najua ndoto yako ni kuendesha/kumiliki bajaji ( labda marafiki/Rafiki yako anayona wewe unatamani iwe hivyo), ndiyo waweza ukawa upo sahihi kabisa, lakini kuiga biashara ya mtu utapotea)
. Kaka/Mdogo wangu masuala ya mikopo achana nayo, najua kabisa hiyo Bajaj utafanya kazi ya kulipia/kuludisha mkopo wa bajaji ndani ya miaka 3 - 4,, ( hii siyo kabisa)
. Million 8 ÷ 365½ = 21917 kila siku . Kwa hiyo ukikomaa na biashara ndogo ndogo na ukaheshimu hela, kwa mwaka mmoja na nusu hiyo M8, unaipata bila shida. ( hapa utakua ume save mda)
. Siyo lazima uazae na bajaji mpya, Unaweza anza hata bajaji used, ambayo bei ni chee kabisa.....
Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
na wewe unatamani iwe hivyo), ndiyo waweza ukawa upo sahihi kabisa, lakini kuiga biashara ya mtu utapotea)
.