Maisha yamenichapa haswa

Maisha yamenichapa haswa

. Bajaj ya mkopo ni bei gani?

. Kwa Nini uuze vitu vyote hivyo ukachue bajaji ya mkopo?

. Najua ndoto yako ni kuendesha/kumiliki bajaji ( labda marafiki/Rafiki yako anayo na wewe unatamani iwe hivyo), ndiyo waweza ukawa upo sahihi kabisa, lakini kuiga biashara ya mtu utapotea)

. Kaka/Mdogo wangu masuala ya mikopo achana nayo, najua kabisa hiyo Bajaj utafanya kazi ya kulipia/kuludisha mkopo wa bajaji ndani ya miaka 3 - 4,, ( hii siyo kabisa)


. Million 8 ÷ 365½ = 21917 kila siku . Kwa hiyo ukikomaa na biashara ndogo ndogo na ukaheshimu hela, kwa mwaka mmoja na nusu hiyo M8, unaipata bila shida. ( hapa utakua ume save mda)

. Siyo lazima uazae na bajaji mpya, Unaweza anza hata bajaji used, ambayo bei ni chee kabisa.....
Hapo sawa broo umenifungua akili...bajaji ya mkopo inaweza nichelewesha kuyafikiamafanikio

Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
 
Dah.... tenga moja la nyanya ni elfu 60 pale mabibo.... na lina nyanya 600.... akigawa mafungu ya nyanya 4 atapata mafungu 150...akauza buku kila fungu atatengeneza laki na nusu...yaani faida ya elfu 90 kila tenga.....na kama akifanikiwa kuuza matenga yote 5 kwa siku hapo unaongelea faida ya laki 4 kwa siku....na ukumbuke kesho atarudi mabibo akiwa na laki 7 mfukoni....akiamua hiyo laki ajipongeze halafu anunue matenga 10....Dah
We ushawah fanya hiyo biashara??
Kwa hiyo faida kwa nn wewe usiifanye??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mitihani ya dunia hiyo mkuu,hii dunia hujawa mwanaume kama hujawahi kukutana na majanga yatayofanya uongee peke ako..cha msingi ONGEA NA MUNGU USIKU WA MANANE SAA TISA,OMBA TOBA,MUELEZEE SHIDA ZAKO.

WATU WAKISHINDWA KUKUSAIDIA,MUNGU ANAANZIA HAPO.
 
Kipindi hiki ndio utajua aina ya watu uliokuwa unawaona wa maana kwako kumbe sio. Huyo aliekuwa mpenzi wako nilikuasa sana ujitahidi umuache maana maumivu ya kuachwa yanaumiza zaidi ukiachwa baada ya kushuka kiuchumi.
Unataka utafutwe? We hela? Jifunze kuishi bila uwepo wa watu wengine ndani ya maisha yako.
Mimi simu nje ya michongo ya biashara inaeza isiite hata mwezi mzima na siwazi.

Nikiwaambia hali niliyokuwa nayo mwaka jana kiuchumi na sasa ilivyo ni changangamoto ila ndio maisha kikubwa usikate tamaa, fight kuboresha maisha yako maana hakuna atakaekuja kufanya hivyo kwa ajili yako.

NB: Ukiwa unajitafuta punguza spending zisizo za msingi na zima switch ya hisia vinginevyo utapiga hatua 8 mbele alafu utarudi 16 nyuma.

POLE SANA
 
Kipindi hiki ndio utajua aina ya watu uliokuwa unawaona wa maana kwako kumbe sio. Huyo aliekuwa mpenzi wako nilikuasa sana ujitahidi umuache maana maumivu ya kuachwa yanaumiza zaidi ukiachwa baada ya kushuka kiuchumi.
Unataka utafutwe? We hela? Jifunze kuishi bila uwepo wa watu wengine ndani ya maisha yako.
Mimi simu nje ya michongo ya biashara inaeza isiite hata mwezi mzima na siwazi.

Nikiwaambia hali niliyokuwa nayo mwaka jana kiuchumi na sasa ilivyo ni changangamoto ila ndio maisha kikubwa usikate tamaa, fight kuboresha maisha yako maana hakuna atakaekuja kufanya hivyo kwa ajili yako.

NB: Ukiwa unajitafuta punguza spending zisizo za msingi na zima switch ya hisia vinginevyo utapiga hatua 8 mbele alafu utarudi 16 nyuma.

POLE SANA
Asante broo

Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
 
Hapo ndio unakuwa mwanaume sasa ndio mtihani wa mwisho upo.
mahali utamjua ni nani rafiki nani snich
mahali uajua nani demu, malaya, ama wife material
yupi ni ndugu yupi ni paka shume kaza buti bado kitambo kidogo.
 
Wakuu, nahisi naongea peke yangu au nacheka peke yangu ila sijapata mtu tu wa kuniambia kwa jinsi life lilivonichapa.

Kazi niliyokuwa nayo sina tena, marafiki niliyokuwa na kunywa nao hawapo tena, simu yangu siku nzima saa 24 hakuna hata missed call.

Nashindwa kupita mtaani, natoka ghetto asubuhi saa 12 narudi usiku sana naogopa vidole mtaani.

Bili ya umeme na maji nimekuwa mdaiwa sugu, bado Kodi ya nyumba.

Yaani mpaka nimesema, mpenzi wangu yule nilikuwa nawaletea visa vyake nae kaniacha kikatili sana.

Mungu atusaidie vijana tunapitia magumu sana!
Mimi wakati sina kazi natoka home naenda kuzurura zurura tunakutana na masela tunapiga story njaa inauma nawaaga naondoka wananicheka, wananiambia wahi home dogo mzee kaja na samaki wasikumalizie, basi sina chakufanya maana najua yale ni maneno

Kumbe pale wakati sina pesa nilikuwa niko darasa la usimamizi wa fedha pindi upatapo. Sasa hivi wanashangaa huyu jamaa mambo mazuri ule ujinga wa matumizi mabaya ya fedha ambao sisi tunao yeye hana,

Ngoja nikupe siri moja. Hivi unajua dunia haijui njaa wala shibe, sina lawa ninacho, kama dunia haijui hili kwanini wewe usitengeneze mindset kuanzia sasa kuwa kila kitu ni perfect kwako ( economic, mentally, healthy ect).. Dunia iko hapa kuumpatia mtu yeyote kitu chochote anachokitaka, kama utajua jinsi yakuiomba dunia mambo hayo..
 
Wakuu, nahisi naongea peke yangu au nacheka peke yangu ila sijapata mtu tu wa kuniambia kwa jinsi life lilivonichapa.

Kazi niliyokuwa nayo sina tena, marafiki niliyokuwa na kunywa nao hawapo tena, simu yangu siku nzima saa 24 hakuna hata missed call.

Nashindwa kupita mtaani, natoka ghetto asubuhi saa 12 narudi usiku sana naogopa vidole mtaani.

Bili ya umeme na maji nimekuwa mdaiwa sugu, bado Kodi ya nyumba.

Yaani mpaka nimesema, mpenzi wangu yule nilikuwa nawaletea visa vyake nae kaniacha kikatili sana.

Mungu atusaidie vijana tunapitia magumu sana!
Seen .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom