ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
Nilikuwa ctak kucheka lkn imenbd .
I like it!
Gonga like bathi.
MAPROSOO.
Nilikuwa ctak kucheka lkn imenbd .
I like it!
ningekusaidia lakini kwa kusema unataka kumtoa out preta..nakunyima,yani nina wivu,huyo preta mi mwenyewe namtamani..nakuombea upate hela za mambo yote hayo uliyomention ila ukose ya kumtoa out preta tu..
Lakin wenye nyumba wengine c waelewa.
Kwel cna cha kukushaur bt elimu muhimu msaidie dogo badae atakusaidia bana.
Mtoe kwanza preta out hayo mengine utayafanya taratibu.