sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,168
Diel nyero dan kotoran
Mmeshaanza kupoteza mwelekeo. Mada ipo katika lugha hiyo mnayojibizana nyie wachache?Nachilabha ichimbhemba, nafumile kale mu zambia
Zambia imepakana wap na msumbiji ..????acha chenga [emoji3]
Ni kukumbuka mbali tu mkuu, lkn hatakukusudia kupoteza maada tusamehe bureMmeshaanza kupoteza mwelekeo. Mada ipo katika lugha hiyo mnayojibizana nyie wachache?
Nichabe bwino kayaimwe?Bwino, mwabhombeni?
***Mulishani
nyie wanyakyusa wapuuzi sanaNi kukumbuka mbali tu mkuu, lkn hatakukusudia kupoteza maada tusamehe bure
Mkuu, ukitaka biashara nzuri fanya biashara ya kuuza chakula, fungua restaurant sababu Wazambia hawajui kupika, utapiga pesa mpaka ukimbie mwenyewe , Wazambia na Wamalawi kupika ni zero kabisa,
Nafikiri unachanganya na zambiaWe nenda bwana, maisha kule safi.
Hebu fikiri shillingi laki moja ya Tanzania sawa na kwasha millioni 1.
Nenda usichelewe......
Nafikiri unachanganya na zambia
Nichabe bwino kayaimwe?
Lugha kubwa ni nyanja~chichewaKiingereza japo walioko karibu na Msumbiji wanatupia na Kireno. Pia Zambia wana lugha zao za kikabila but da most spoken language is english
Mkuu, ukitaka biashara nzuri fanya biashara ya kuuza chakula, fungua restaurant sababu Wazambia hawajui kupika, utapiga pesa mpaka ukimbie mwenyewe , Wazambia na Wamalawi kupika ni zero kabisa,
Habari zenu wana JF?
Naam wana JF naitaji kufahamu Mengi kutoka kwenu kuhusu maisha ya zambia jinsi yalivyo.
Naitaji kwenda kuwekeza kwenye biashara, vp hali ya uchumi ikoje huko pamoja na harakati za maisha kwa ujumla. Karibuni sana wana JF katika kutoa hoja zenu.
Habari zenu wana JF?
Naam wana JF naitaji kufahamu Mengi kutoka kwenu kuhusu maisha ya zambia jinsi yalivyo.
Naitaji kwenda kuwekeza kwenye biashara, vp hali ya uchumi ikoje huko pamoja na harakati za maisha kwa ujumla. Karibuni sana wana JF katika kutoa hoja zenu.
Habari zenu wana JF?
Naam wana JF naitaji kufahamu Mengi kutoka kwenu kuhusu maisha ya zambia jinsi yalivyo.
Naitaji kwenda kuwekeza kwenye biashara, vp hali ya uchumi ikoje huko pamoja na harakati za maisha kwa ujumla. Karibuni sana wana JF katika kutoa hoja zenu.
mh kwan huo mtaji wako ukiuwekeza tzania hapa hautatoka auHabari zenu wana JF?
Naam wana JF naitaji kufahamu Mengi kutoka kwenu kuhusu maisha ya zambia jinsi yalivyo.
Naitaji kwenda kuwekeza kwenye biashara, vp hali ya uchumi ikoje huko pamoja na harakati za maisha kwa ujumla. Karibuni sana wana JF katika kutoa hoja zenu.
Iwe ikala fye, tawishibe chilichonse.
Asikudanganye mkuu, Wazambia kwenye mapishi wako vizuri sana kwa Mapishi especially ugali chakula ambacho ndicho kinaliwa sana huko, Wali nikweli hawajui kupika wao hipika wali bokoboko na mara nyingi unakuta wanaweka sukari...!!! Na hii ni kawaida kwao kwasababu chakula hiki hakitumiki sana kwao, si ajabu hata mahotelini huwezi kukuta wali na ukipika unaweza kukudodea tifauti kwa Ugali na Chipsi.
Chakula kinachouza sana ni Ugali nyama na dagaa kwa mbali.. Shida kubwa kwao hawa jamaa wanaweka mafuta mengi sana hata kwenye mbogamboga kitu ambacho wao wamekizoea, ukipika tofauti na mapishi yao huuzi..!!
Uthibitisho ni pale Kitwe kwenye soko la Chisokoni, kunamgahawa spesho kwa Waswahili, huko unakutana na Chapati, Mandazi, Wali mpaka Pilau vitu ambavyo kwa mzambia ni ajabu labda kwa wale wanaokuja Tz kufuta bidhaa. Mgahawa huo unahudumia Watz zaidi na Wazambia kwa Uchache.
Zambia totoz pale ndo zilipoanzia, Hakuna biashara inayouza kama Madada poa wa Zambia.. ni wewe tu kujihadhali, kila mdada utakayekutana naye Mgonjwa...!! Kama siyo ukimwi basi hukosi Kaswende, Gono au Fangasi..!! Ni midada michafu, haijui chochote in da bed zaidi ya kulala kama tikiti..!! Guest huko bwana ni balaa.. ziko juu kishezi guest mbovu ambayo kwa bongo labda waweza lipa 5000 basi huko ni 30000...!!
Kama unataka kufanyabiashara huko, Fanya tour kwanza ya angalau Wiki moja. Nenda Kitwe kaa siku mbili, Nenda Lusaka, kaa siku mbili, Nenda Chingola, kaa siku moja na Mkushi, Mansa pia siku mojamoja, ukiweza pia fika Ndola, Mpika usiende hakuna essue.!!
Nadhani kwa namna fulani nrakuwa nimekusogeza mahala mjr95.
BACK TANGANYIKA