Maisha ya Zambia

Maisha ya Zambia

Msema ukweli mpenzi wa mungu!Nchi yetu hali ya kiuchumi ngumu na hii hali ya kuongezeka thread nyingi za watu kuuliza ili kwenda kuwekeza nchi jiraji ni ushahidi tosha
 
Zambia imepakana wap na msumbiji ..????acha chenga [emoji3]
Sorry ndg kuna baadhi wanaongea Kireno bila shaka watakuwa na asili ya Msumbiji. Wazambia na watu wa Msumbiji South Africa ni wengi sana na ukiangalia kwa karibu wanasikilizana sana
 
Sorry ndg kuna baadhi wanaongea Kireno bila shaka watakuwa na asili ya Msumbiji. Wazambia na watu wa Msumbiji South Africa ni wengi sana na ukiangalia kwa karibu wanasikilizana sana

Wale weng wanatoka beira port wanaleta cargo Zambia na Lubumbashi..!!!!!
 
Ngoja nikacheki sehemu ya kufungua Dangulo la kuuza mabinti wa kiarabu huko.
 
Dah....Na nyama ya nyani inapendwa sana huko[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Zambia imepakana wap na msumbiji ..????acha chenga [emoji3]
Dah.... maharage ya wapi?[emoji13] [emoji13] haya
1477131536061.jpg
 
Kwa sasa tz ndio sehemu nzuri mara dufu kuwekeza kuliko nchi nyingi sana jirani.

Tatizo wengi tunaangalia changamoto badala ya fursa na tunaangalia sasa badala ya baadaye.

Kama huwezi kutoka hapa hata zambia hutoboi,jitathmini na ujibadilishe kwanza.
 
Kwa sasa tz ndio sehemu nzuri mara dufu kuwekeza kuliko nchi nyingi sana jirani.

Tatizo wengi tunaangalia changamoto badala ya fursa na tunaangalia sasa badala ya baadaye.

Kama huwezi kutoka hapa hata zambia hutoboi,jitathmini na ujibadilishe kwanza.

hizo fursa wamekuachia wewe zitumie tu,
 
Back
Top Bottom