Maisha ya wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro

Maisha ya wilayani Same mkoa wa Kilimanjaro

Kwetu_masite

New Member
Joined
May 10, 2025
Posts
4
Reaction score
4
Wadau nawasalimu

Ndugu zangu mimi nalitumikia taifa kwa kuwahudumia watanzania wenzangu kwenye moja ya kada yenye kugusa maisha ya kila mtu. Kwenye hili jukwaa siyo mgeni sana

Nimepata transfer ya kwenda ktk wilaya ya Same Kilimanjaro. Kwa nature ya kazi yangu eneo la kufanyia kazi itakuwa Same mjini Ninachohitaji kwenu ndugu ni mnipe angalau machache kuhusu hilo eneo kuhusu

1. Upatikanaji wa huduma za kijamii sana sana upatikanaji wa nyumba za kupanga, huduma za chakula na maji

2. Hali ya biashara kiujumla kwa maana ya hali ya mzunguko wa fedha angalau nipate ufahamu kidogo kwa kuwa biashara zinatofautiana

3. Usafiri wa kutoka eneo moja kwenda jingine ndani ya mji huo kama sina usafiri binafsi. Chombo cha usafiri ninacho nataka kukiacha kwa muda huku nilipo.

4. Mahusiano ya wazawa na watu wa kuja yakoje kwenye kushirikiana kijamii zaidi na kibiashara. Nilikaa moja ya wilaya mikoa ya kanda ya ziwa nilihisi kama nipo nyumbani kabisa nyanda za juu.

Mengine nitayaelewa baada ya kufika lakini ukinigusia hata kwa PM nitashukuru
 
Kama hujaoa Ukimkuta Mtoto wa kipare Same oa. Utanishukuru baadae, Vumbi na baridi kali kawaida.

Usiwaze kuhusu kufika dar Gari zote kutoka Nairobi Moshi Arusha zinapita hapo same town..

Mzunguko wa watu ni mdogo wilaya ni ndogo imepooza.. Watu wengi wanaingia na kutoka. Kapige kazi hapo upo mjini sana wikiend utaamua uende Mombasa au Arusha..
 
Karibu same mkuu naweza kukujibu kama ifuatavyo japo mimi nipo same juu hapa machungwani.

1.. Vyumba vipo vya kutosha kwa hapa mjini vinaanzia 25k mpaka 100k hiko cha 50k inamaana ni self kabisa mkuu unakuta kuna maji umeme na nk kabisa..
Chakula kawaida tu hakuna bei ngumu sana

2... Hapa kwetu kazi na biashara Ndio kitovu. Kwa vijana japo eneo la usafirishaji tupo vzr zaidi kuna baskeli ambazo zinaitwa daladala pia kuna boda boda chache sana..
Biashara nyungine nj ya hardware kutokana na mji kuanza kukua kwa kasi ya ajbu..
Pia nguo za mitumba pamoja na biashara ya wadada wa kazi za ndani

3...usafiri mkubwa ni daladala yaani baskeri ila kama una usafir wako binafsi mashalllah huku barabara zipo safi kabisa kwa mjini all the place zime be connected na rami

4..Social interaction inategemea weww umekuja vipi.
Hapa tunapenda sana wageni hasa ukija kwa lengo moja tu la kuishi na sisi vzri..
Usije na tabia za kiswahili. Hivo tu hakuna ubaguzi hakuna mambo ya ushirikina.

Ukishi na wazawa vzri wallah utainjoi sana

Karibu same mkuu...
Nipo michungwani juu hapa jina maarufu ni msofe
 
Kama hujaoa Ukimkuta Mtoto wa kipare Same oa. Utanishukuru baadae, Vumbi na baridi kali kawaida.

Usiwaze kuhusu kufika dar Gari zote kutoka Nairobi Moshi Arusha zinapita hapo same town..

Mzunguko wa watu ni mdogo wilaya ni ndogo imepooza.. Watu wengi wanaingia na kutoka. Kapige kazi hapo upo mjini sana wikiend utaamua uende Mombasa au Arusha..
Moshi ndio karibu kutoka hapo
 
Weka mtandao wa internet nyumbani,sehemu km hizo tafuta online courses piga,jifunze trading kwakua utakua huna vitu vingi baada ya Kazi,ukiwa na internet ya ttcl utajifunza mambo mengi sana yatakayokuamsha na kwenda hata wekeza sehemu nyingine. Au kununua/kukodi mashamba Lima then safirisha mazao
 
Wadau nawasalimu

Ndugu zangu mimi nalitumikia taifa kwa kuwahudumia watanzania wenzangu kwenye moja ya kada yenye kugusa maisha ya kila mtu. Kwenye hili jukwaa siyo mgeni sana

Nimepata transfer ya kwenda ktk wilaya ya Same Kilimanjaro. Kwa nature ya kazi yangu eneo la kufanyia kazi itakuwa Same mjini Ninachohitaji kwenu ndugu ni mnipe angalau machache kuhusu hilo eneo kuhusu

1. Upatikanaji wa huduma za kijamii sana sana upatikanaji wa nyumba za kupanga, huduma za chakula na maji

2. Hali ya biashara kiujumla kwa maana ya hali ya mzunguko wa fedha angalau nipate ufahamu kidogo kwa kuwa biashara zinatofautiana

3. Usafiri wa kutoka eneo moja kwenda jingine ndani ya mji huo kama sina usafiri binafsi. Chombo cha usafiri ninacho nataka kukiacha kwa muda huku nilipo.

4. Mahusiano ya wazawa na watu wa kuja yakoje kwenye kushirikiana kijamii zaidi na kibiashara. Nilikaa moja ya wilaya mikoa ya kanda ya ziwa nilihisi kama nipo nyumbani kabisa nyanda za juu.

Mengine nitayaelewa baada ya kufika lakini ukinigusia hata kwa PM nitashukuru
Kibiashara! Kazi yako inahusiana na uuzaji wa bidhaa za mwajiri wako?
Mahusiano Wapare ni watulivu, kabla ya kumaliza kushusha mizigo yako utakuwa umekwisha mpata wa kukufariji kwa safari ndefu.
 
Wadau nawasalimu

Ndugu zangu mimi nalitumikia taifa kwa kuwahudumia watanzania wenzangu kwenye moja ya kada yenye kugusa maisha ya kila mtu. Kwenye hili jukwaa siyo mgeni sana

Nimepata transfer ya kwenda ktk wilaya ya Same Kilimanjaro. Kwa nature ya kazi yangu eneo la kufanyia kazi itakuwa Same mjini Ninachohitaji kwenu ndugu ni mnipe angalau machache kuhusu hilo eneo kuhusu

1. Upatikanaji wa huduma za kijamii sana sana upatikanaji wa nyumba za kupanga, huduma za chakula na maji

2. Hali ya biashara kiujumla kwa maana ya hali ya mzunguko wa fedha angalau nipate ufahamu kidogo kwa kuwa biashara zinatofautiana

3. Usafiri wa kutoka eneo moja kwenda jingine ndani ya mji huo kama sina usafiri binafsi. Chombo cha usafiri ninacho nataka kukiacha kwa muda huku nilipo.

4. Mahusiano ya wazawa na watu wa kuja yakoje kwenye kushirikiana kijamii zaidi na kibiashara. Nilikaa moja ya wilaya mikoa ya kanda ya ziwa nilihisi kama nipo nyumbani kabisa nyanda za juu.

Mengine nitayaelewa baada ya kufika lakini ukinigusia hata kwa PM nitashukuru


Great place, usafiri safi, maji kiwe kipaumbele unapopanga, acha ngono, wanapenda ngono sana
 
Tafuta chumba kilichopo karibu na nyumba za Ibada karibu na msikitini au kanisani kiuhalisia kwa Tanzania hapa hii hata haitegemei na Imani yako.
 
Hii ikoje mkuu...
Wadda wa kazi i mean kupata wadada wa kazi huku changamoto wazaza hawataki kufanya kazi kama hzi ndo mana nikasema kama kuna mtu anajua ana uhakika wa kuleta au kufanya connection wadada wakafuka huku basi ni poa sana
 
Wadada wana ndumba thaoo kabithaa....ukigusa umenasaaa
 
Back
Top Bottom