Wakuu nina ndugu yangu kapata hizo scholarship toka wizarani kwenda nchini Algeria. Nilikuwa natafuta necessary information kwa ajili yake kama zinalipa katika soko la ajira Tanzania anasomea mambo ya Computer. Mwenye habari anaweza kunijuza kama ni sahihi kwake au kubaki Udsm Computer Engineering and IT.
Ahsante
Ahsante