Maisha ya ujana ya akina Ulimwengu, Shivji..

Mwanakijiji umeanza kulewa sifa za wafuasi wako? Naona like a Patron/Godfather unaanza kuwalinda na kuwatetea. Haya we. Utakumbuka ushauri wangu. Yalimkuta Mwenzako Mwalimu Nyerere mpaka akawaandikia waraka wa 'Uongozi wetu na Hatma ya Tanzania' wafuasi wake ambao walilewa sana 'zidumu fikra za Mwenyeketi wa Chama' mpaka wakawa viongozi waoga wa kutimiza wajibu wao wa Kikatiba wa kutetea hoja zao dhidi ya eti 'wabunge waliogeuka 'wakali kama mbogo' Bungeni. Endelea tu kulewa Amen za waumini wako. Majuto ni mjukuu. Alamsiki.

Je ni kupinge kwa sababu sitaki kukubaliana na wewe ili nionekane niwe huru kweli. Nikupinge hata kama najua unachosema ni kweli? Nikupinge alimradi tu nisije kuonekana mfuasi wako? Nikupinge ili tu na mimi niwe nakupinga? nikupinge ili niridhishe genge na kujionesha kuwa sisemi "amen" za bure tu? Au ni kupinge kwa sababu kweli sikubalini na wewe na wakati mwingine kama nakubaliana na wewe nisiogope kukuunga mkono?

Kwa sababu hadi sasa inaonekana tatizo lako haliko katika watu kunipinga ni kuwa wanakubaliana na mimi na hilo hulielewi. Ungependa watu wanaokubaliana na mimi wanipinge alimradi tu hata kama hawana sababu, unachopendekeza kufanya ni kuwa dhaifu.

Watu wengi wanaokubaliana na mimi nawaamini kwa uhuru wao wa mawazo kuliko wale wanaopingana na mimi. Ndiyo maana binafsi sioni kazi kukubaliana na watu kama kina FMES, Mtanzania, Rev. Kishoka Zakumi au mtu mwingine yoyote ambaye hoja yake ninaikubali. Jaribu kunishawishi uonie kama sitokubaliana na wewe.

Ukija kwa Mwalimu na hoja ambayo hujaijenga vizuri usishangae akakuonesha upuuzi wa hoja hiyo na ukabakia kulalamika "haambiliki". Leo hii ninaelewa sana kwanini ilikuwa vigumu kumshawishi Nyerere, maana watoa hoja wa wakati ule ndio hawa wanatoa hoja leo na tunavyozivunja vunja hapa wakati mwingine ni burudani tosha.
 
NI ngumu na ni ndoto kwa hao viongozi kwenda chuoni sasa, hali iliyopo sasa ni mbaya na inasikitisha, wanafunzi sasa ni yatima wa kila kitu, sidhani iwapo watakuwa na mtazamo mzuri na viongozi wao, wanaishi kwa tabu sana na mawazo hayo yameshakufa, kila mmoja anaomba amalize shahada yake akahangaike na maisha yake kwingine. ujamaa au mapinduzi ya kifkra hayapo tena, pesa za harakaharaka ndo wazo lao la msingi, mengine sasa ni porojo au ndoto tu!
 
Jasusi and Maarifa the era of Philosopher Kings as African leaders seems to be over. The last time we had one was when Mbeki was President I guess. Of course Museveni was one but I guess he has metamorphosed to something else. Maybe the new Ghanaian President will take on the mantle.

What we have now are leaders who are middlemen/merchants - they have specialized in marketing our countries using business/marketing models. So their main audience now are investors and donors. With them they can talk business. But with students they can only talk about the need to look for opportunities. Anyway, I commend the leader who visited Udom and had a chat with them there as he was inspecting the ongoing construction. Its about time now that I our leaders engage the intellect!
 
Wataenda Univeristies kuhubiri faida ya kuuza mashirika yoote ya uma kwa bei ya kutupwa......na sasa wanajuta....
 
Mambo haya time yake imeshapita. We are in a different world now mambo ya vijisenti na mapapa/manyangumi nk.
 
Jasusi and Maarifa the era of Philosopher Kings as African leaders seems to be over. The last time we had one was when Mbeki was President I guess. Of course Museveni was one but I guess he has metamorphosed to something else. Maybe the new Ghanaian President will take on the mantle.

What we have now are leaders who are middlemen/merchants - they have specialized in marketing our countries using business/marketing models. So their main audience now are investors and donors. With them they can talk business. But with students they can only talk about the need to look for opportunities. Anyway, I commend the leader who visited Udom and had a chat with them there as he was inspecting the ongoing construction. Its about time now that I our leaders engage the intellect!


This is your classic observation. You equate first generation of african university graduates and philosophers. Nyerere, Mbeki, Nkrumah and the likes were a bunch of political activists.
 
Companero,
Hivi viongozi wa leo wakienda chuo kikuu wataenda kusema nini?

Ngoja nimsaidie. ila sijajua unasemea kivipi, ila wanafunzi wa leo chuo kikuu ni wa bongo fleva tu. kujua kuvaa, kuwa na simu nzuri, kuringishiana wapenzi, kujirusha kwa sana na mwisho wa siku kutafuta madesa ili kujibia mitihani-hawasomi!! mambo yakiwazidia wanaanzisha migomo. so mwanasiasa mwerevu anawachota tu!! nawaona kila leo.
 
..wanafunzi wa Engineering, Science, na Hisabati, nani alikuwa anawatembelea?

..makala hii inaonyesha jinsi gani tulivyokuwa tukitukuza siasa na wanasiasa, na leo hii tunavuna tulichopanda.

..tumejenga jamii inayomthamini mwanasiasa kuliko mwalimu, daktari,bwana shamba, bwana mifugo, muuguzi,mhandisi etc etc.

NB:

..i am suprised that Prof.Shivji is not praised for his Legal Scholarly/contribution, but his commentary on political issues.
 
This is your classic observation. You equate first generation of african university graduates and philosophers. Nyerere, Mbeki, Nkrumah and the likes were a bunch of political activists.

Is politics and philosophy mutual exclusive? Was Mills or Hegel the philosopher apolitical? What about Plato or Aristotle?

Nkrumah and Nyerere have entered the canon of Philosophy. Their texts on Consciecism and Ujamaa respectively are discussed as philosophical treatise by both African Philosophers and Wester Liberal Philosophers. You may not agree or respect that but at least give credit where its due - and even if you can't give that credit then at least accept the fact that they were Philosopher Kings, that is, Political Philosophers!
 
..wanafunzi wa Engineering, Science, na Hisabati, nani alikuwa anawatembelea?

..makala hii inaonyesha jinsi gani tulivyokuwa tukitukuza siasa na wanasiasa, na leo hii tunavuna tulichopanda.

..tumejenga jamii inayomthamini mwanasiasa kuliko mwalimu, daktari,bwana shamba, bwana mifugo, muuguzi,mhandisi etc etc.

NB:

..i am suprised that Prof.Shivji is not praised for his Legal Scholarly/contribution, but his commentary on political issues.

I thought this argument of yours had been laid to rest. Anyway, let me re-chip in. You can't separate politics - or political analysis for that matter - from any field or discplines. All great scientists - from Newton to Einstein or even to Hawkins and Gates - knew/know that. Professor Shivji you are talking about is by professional a Constitutional Lawyer. Now how on earth can such a lawyer analyse legality without analysing the polity?

Everything - be it Science or Art - is political even if it is so with a small p!
 
I thought this argument of yours had been laid to rest. Anyway, let me re-chip in. You can't separate politics - or political analysis for that matter - from any field or discplines. All great scientists - from Newton to Einstein or even to Hawkins and Gates - knew/know that. Professor Shivji you are talking about is by professional a Constitutional Lawyer. Now how on earth can such a lawyer analyse legality without analysing the polity?

Everything - be it Science or Art - is political even if it is so with a small p!

Puhlease.....your argument is very weak
 
Is politics and philosophy mutual exclusive? Was Mills or Hegel the philosopher apolitical? What about Plato or Aristotle?

Nkrumah and Nyerere have entered the canon of Philosophy. Their texts on Consciecism and Ujamaa respectively are discussed as philosophical treatise by both African Philosophers and Wester Liberal Philosophers. You may not agree or respect that but at least give credit where its due - and even if you can't give that credit then at least accept the fact that they were Philosopher Kings, that is, Political Philosophers!

I have read many of your posts, and it seems to me that you are craving for home grown Philosophers or a least afro-centric philosophers. However, in this category Nyerere falls very short. The guy doesn’t have any original work. Apart from Ujamaa which is a commentary about primitive life style, what else can say about the guy? Education for Self-Reliance or Rabbit where are you going?
 
Zakumi what is Philosophy to you? Is originality the basis of a Philosophy? What standards are you using to measure Philosophy? African Philosophy, as defined by Paulin Hountondji in his book 'African Philosophy: Myth and Reality', renders Julius Nyerere an African Philosopher. His humanistic synthesis of the new man put him at par with great liberal philosophers of his generation and even those classical ones. He thus appears in the 'Dictionary of Continental Philosophy' published by Edinburgh University and its other version published by Yale University as one of the great philosophers of his time. I have a copy of that Dictionary just in case you need to grasp his enormous contribution to the philosophical corpus. If he belongs to the canon of the great philosophers of the 20th Century who are you to question that he is a philosopher? You better question his philosophy - especially that of Ujamaa as a philosophical basis of African Socialism - but not his status as a philosopher!
 
Last edited:
Zakumi what is Philosophy to you? Is originality the basis of a Philosophy? What standards are you using to measure Philosophy? African Philosophy, as defined by Paulin Hountondji in his book 'African Philosophy: Myth and Reality', renders Julius Nyerere an African Philosopher. His humanistic synthesis of the new man put him at par with great liberal philosophers of his generation and even those classical ones. He thus appears in the 'Dictionary of Continental Philosophy' published by Edinburgh University and its other version published by Yale University as one of the great philosophers of his time. I have a copy of that Dictionary just in case you need to grasp his enormous contribution to the philosophical corpus. If he belongs to the canon of the great philosophers of the 20th Century who are you to question that he is a philosopher? You better question his philosophy - especially that of Ujamaa as a philosophical basis of African Socialism - but not his status as a philosopher!

I'll stick to my guns on this issue. As I said before, liberal and people like you are craving for home grown philosophers or at least afro-centric philosophers. I might be wrong on my stance, but I firmly convinced that philosophical work is a life time quest. So far the traits of Nyerere’s work don’t reveal that he was looking for something. Besides, the bulk of his work is small and complete.
 
I'll stick to my guns on this issue. As I said before, liberal and people like you are craving for home grown philosophers or at least afro-centric philosophers. I might be wrong on my stance, but I firmly convinced that philosophical work is a life time quest. So far the traits of Nyerere’s work don’t reveal that he was looking for something. Besides, the bulk of his work is small and complete.

I can't argue against your firm conviction. Its a matter of faith. In that case one need to be a philosopher of religion to make sense of your belief.
 
I can't argue against your firm conviction. Its a matter of faith. In that case one need to be a philosopher of religion to make sense of your belief.

OK, OK cool down now. I was testing your feelings. Yes he was a philosopher and a schoolar.

In the grand scheme of things, nisingejenga conclusions zangu bila kusoma, kujifunza au kwa kipind fulani kuamini ideas zake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom