Maisha ya Norway yapoje?

Maisha ya Norway yapoje?

Nadhani tunatofautiana nini hasa kila mmoja analenga!

HUENDA watu wengi duniani wanapenda kuishi US kuliko Norway kutokana na umaarufu mkubwa wa US!

Bila shaka wengi wanatamani kufika Los Angeles au New York bila kuisahau DC kuliko wanavyoitamani Oslo au Bergen!

Hata hivyo, ninachosema mimi sio watu kupenda bali nazungumzia general welfare kati ya US na Norway!!

Man, Norway ipo juu! Na kama nilivyosema, Norway inabebwa sana na idadi ndogo ya watu huku wakiwa na utajiri mkubwa!!

Kinachoisumbua US ni kama China!

Pamoja na utajiri mkubwa wa US, lakini ku-manage a welfare of more than 300M si kazi ndogo!! Miongoni mwao lazima utakuwa na malaki ya makapi wenye umaskini mkubwa; jambo ambalo ni very minimal kwa nchi kama Norway!

Same to China!! Pamoja na kwamba wanakuja sana kasi lakini China kufikia US welfare labda miaka 30 ijayo manake na wenyewe ku-manage a welfare of more than 1B population, sio jambo la kitoto!
Okay, yaishe. Nipo off leo nilikuwa natafuta ubishi.
 
2000 nilikwenda Denmark, nilipokuwa transit nilikuwa a na vijana kama 25 wa Kihindi. Tulipanda ndege moja, kumbe kulikuwa na recruitment kubwa sana kwenye IT industry.

Hao watu wamepiga hatua sana kwenye mambo ya IT, tupo nao kampuni moja utawala unafanya kutubadilishia tu ladha ya harufu ya Spices zao.
Wahindi wana harufu special, kujaza Spices kwenye vyakula vyao kumewafanya na miili yao ikubali harufu ya spices, ila kwenye mambo ya IT salute nyingi kwao.
 
Hizo Scandinavian countries ziko mbali sana mkuu.
.
.
.
Ninatamani ningekuwa nafanya kazi huko. Hakuna rushwa, wananchi wanashiriki kwenye maamuzi ya taasisi zote, vitu vinafanyika kwa uwazi, wanajivunia kupanua huduma za/kwa jamii (serikali haifanyi kama vile ni hisani kuwa na elimu bure kwa mfano).

Ila naamini siku moja Tanzania itafika hapa. Hata kama sitaiona mimi, mwanangu ataiishi. Ndiyo maana siondoki bongo.
Bila kuandamana....hata yesu atarudi hatujafika huko unakokufikiria...jiwe na wenzake ndani ya chama jiwe hawana mawazo hayo.
 
Hizo Scandinavian countries ziko mbali sana mkuu.
.
.
.
Ninatamani ningekuwa nafanya kazi huko. Hakuna rushwa, wananchi wanashiriki kwenye maamuzi ya taasisi zote, vitu vinafanyika kwa uwazi, wanajivunia kupanua huduma za/kwa jamii (serikali haifanyi kama vile ni hisani kuwa na elimu bure kwa mfano).

Ila naamini siku moja Tanzania itafika hapa. Hata kama sitaiona mimi, mwanangu ataiishi. Ndiyo maana siondoki bongo.
Malizia malizia ndoto yako nakuja kukuamsha sasa hivi..
 
Kwa hili nakubaliana nalo.
Ila kusema Norway ni Qatar ya ulaya ... well, who wants to live in Qatar? Tutofautishe wasomali na mahousegirl na watu wanaotafuta competitive wages in competitive jobs.
Who want to live in Qatar?!

Tell me you're not serious!!

Ni expat wa aina gani ambae asingependa kuishi na kufanya kazi nchi ambayo hata kodi haina huku mishahara yake ikiwa inashindana na nchi za magharibi zenye mikodi kibao?!
 
Hizo Scandinavian countries ziko mbali sana mkuu.
.
.
.
Ninatamani ningekuwa nafanya kazi huko. Hakuna rushwa, wananchi wanashiriki kwenye maamuzi ya taasisi zote, vitu vinafanyika kwa uwazi, wanajivunia kupanua huduma za/kwa jamii (serikali haifanyi kama vile ni hisani kuwa na elimu bure kwa mfano).

Ila naamini siku moja Tanzania itafika hapa. Hata kama sitaiona mimi, mwanangu ataiishi. Ndiyo maana siondoki bongo.

Imani yako inahamisha Milima
 
2000 nilikwenda Denmark, nilipokuwa transit nilikutana a na vijana kama 25 wa Kihindi. Tulipanda ndege moja, kumbe kulikuwa na recruitment kubwa sana kwenye IT industry.
Ulibahatika kwenda Sehemu moja Inaitwa christiania hapo copenhagen

Ova
 
Norway maisha kwa Mgeni ni ghali....

Ova
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Wengi humu unaelezea prison systems za Norway kuwa ni nzuri, kwa msaada tu mnaweza gusia uzuri huo ni upi ukilinganisha na hapa USA
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Who want to live in Qatar?!

Tell me you're not serious!!

Ni expat wa aina gani ambae asingependa kuishi na kufanya kazi nchi ambayo hata kodi haina huku mishahara yake ikiwa inashindana na nchi za magharibi zenye mikodi kibao?!

Mkuu serious, unazungumzia kazi Qatar? ulishawahi kufanya kazi Qatar au Dubai pale ukaona mishahara yao ? nazungumzia proffessional career... hili naomba nikupinge Qatar au Dubai si sehemu nzuri kuajiriwa utegemee kulipwa vizuri inawezekana wapo wageni wanaolipwa vizuri ila ni wachache sana..labda ungeniambia kuwait kidogo tena kwenye Oil and Gas industry.. Qatar kwa wafanyakazi kuanzia level ya kati na chini namaanisha wageni mishahara ni changamoto mkuu..
 
npo jamaa mmoja hapa ananipa story za Norway ameniambia ukiwa mfungwa tu wa gerezani hautamani tamani kurudi bongo ukweli sijaamini hata kidogo mwenye kujua kuhusu hii kitu plZ
Ni kweli kabisa magereza yao yako vizuri kama 4/5 star hotel.
Ila kama ujuavyo jela zote duniani zina nyapara/viranja wake na wafungwa wababe,hivyo wengi wao hupoteza marinda wakiwa jela,maana kule misosi yake ni ya mafuta mafuta,kwa hiyo huleta ashki/genye sana.!
Ila kama ni mtoaji wa mtandao pendwa jela za Norway ni sehemu salama kuishi kuliko nchi ya viwanda vya vyerehani!!
 
Back
Top Bottom