Maisha ya Norway yapoje?

Maisha ya Norway yapoje?

Muda niliokaa huko haukuwa rafiki kwa yote hayo, ila kwa tabia ya wale hawapapatikii kabisa wakuja. Oslo ndio sehemu unaweza kukuta mwanamme wa rangi tofauti ana mahusiano na demu wa kiNorway, sehemu nyingine ni vigumu sana. Mdau GREGO anaweza kutupa update kwa sasa.

Kweli kabisa mkuu hawana shobo afu wale wa kule wanawezana wao kwa wao labda upate jimama (38+) lililochoka ila videm vidogo vidogo (18 - 30) ni issue.

In short wanapendana wao kwa wao
 
Kwani huko jela za Norway wanatoa papuchi na mitulinga

Maana kwangu mimi vitu hivyo viwili ndio vinanifanya nijione huru na mwenye raha hapa duniani
Hahahaha huko kuna siku wanapewa muda unaenda kuktana na mke wako au mchepuko mkuu
 
Labda bongo itakuja kufikia maisha ya Norway na Europe kwa ujumla siku ya kiama. hivi bongo si mpaka leo hii bungeni na nchi kwa ujumla wanajadiliana kuhusu upungufu wa sukari na mafuta ya kupikia?? europe vitu kama hivyo wameshavisahau kabisa katika maisha yao yaani ni vitu vipo sanaa havisumbui ubongo wao na hata maji ya kunywa na kuoga na umeme .. Wewe huna hata sababu ya uende Norway au sijui nini , hio ni fursa ichangamkie wenzenu wanazama kila siku ili wafike tu nchi za ahadi.
 
Ni nchi ya democrasia, polisi haisaidii ćhama, uchaguzi ni huru, uchumi unamgusa kila mtu. Hakuna vyeti feki
 
Muda niliokaa huko haukuwa rafiki kwa yote hayo, ila kwa tabia ya wale hawapapatikii kabisa wakuja. Oslo ndio sehemu unaweza kukuta mwanamme wa rangi tofauti ana mahusiano na demu wa kiNorway, sehemu nyingine ni vigumu sana. Mdau GREGO anaweza kutupa update kwa sasa.
dah wwgumu kumbe
 
Muda niliokaa huko haukuwa rafiki kwa yote hayo, ila kwa tabia ya wale hawapapatikii kabisa wakuja. Oslo ndio sehemu unaweza kukuta mwanamme wa rangi tofauti ana mahusiano na demu wa kiNorway, sehemu nyingine ni vigumu sana. Mdau GREGO anaweza kutupa update kwa sasa.
dah wwgumu kumbe
 
Kweli kabisa mkuu hawana shobo afu wale wa kule wanawezana wao kwa wao labda upate jimama (38+) lililochoka ila videm vidogo vidogo (18 - 30) ni issue.

In short wanapendana wao kwa wao

Tru dat. Binafsi niliamua kuacha shobo na wasichana wa kizungu kule. Kutomba hadi nije livu Bongo. Halafu anakuja mtu anasema upäte makaratasi kwa kuoa Mnorway ndani ya miezi 3.
 
Back
Top Bottom