Ndoa nyingi ndani ya Nyumba kuvunjika chanzo ni mwanamke

Kajeba

JF-Expert Member
Oct 15, 2020
827
1,966
Igweeeee,

Heri ya sikukuu ya sabasaba.

Waswahili husema mwanamke mjinga huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe na sio MWANAUME.

Hawa waswahili walikuwa sahihi kabisa, katika ndoa mwanaume ananafasi yake pia mwanamke ananafasi yake lakini siku hizi hali imebadirika sana. Mwanamke anaitaka nafasi ya mwanaume ndoani kitu ambacho mwanaume anayejitambua hawezi kukubali.

Ndani ya ndoa mwanamke akiwa na mdomo sana kumgombeza mumewe kila mara hapo mume atamchoka. Mwanamke anayenuna pasipo sababu za msingi kwa mume wake huyo hana maisha marefu ndoani.

Mwanamke anayefuatilia mienendo ya mume wake kila akitoka na kurudi huyo hafai kuwa ndoani.

Mwanamke anayemuuliza mume wake kwa ukali kwanini amechelewa kurudi nyumbani huyo ndoa yake haiwezi kudumu, mwanaume apokelewe hata akirudi asubuhi.

Mwanamke anayepanga ratiba ya kunyanduana ahahaha hapo ndio mwendo kaumaliza mwenyewe. Mwanamke anayetaka ndugu zake tu wamtembelee na sio ndugu wa mume hapo ndio mwisho wa ndoa kautengeneza.

Mwanamke anayehudhuria matukio ya shehere kuliko kutekeleza majukumu yake ya ndoa huyo naye hana muda ndoani.


Mwanaume anayetaka kulipiza kuchepuka baada ya kugundua mumewe anachepuka huyo ndio anachimbia kaburi mwenyewe. Kiufupi kila ndoa unayoona imevunjika kwa asilimia 80 mpaka 90 chanzo kikuu ni wanawake kufanya moja ya sababu hizo hapo juu

Kwa upande wangu nitaendelea kuoa na kuacha hata kama dini na sheria za ndoa haziruhusu maana siwezi kubali kuendelea kuishi kwa stress ilhali wanawake wamejaa.

Nawasalimu kwa jina la DP world.
 
.......utandawazi, maendeleo ya tech, elimu na uwezo kifedha kwa wanawake umekuwa sio msaada tena kwa mwanamke katika ndoa na mahusiano, no gender related roles ambazo ndo msingi wa ndoa, lakini ktk hili mwanamke amekuwa na tamaa zaidi ya kutaka nafasi ya mwanaume kuliko mwanaume kutaka nafasi ya mwanamke, hilo linafanya mwanamke kuwa chanzo cha mahusiano kufa, so mtoa mada you are correct.......
 
Igweeeee,

Heri ya sikukuu ya sabasaba.

Waswahili husema mwanamke mjinga huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe na sio MWANAUME.

Hawa waswahili walikuwa sahihi kabisa, katika ndoa mwanaume ananafasi yake pia mwanamke ananafasi yake lakini siku hizi hali imebadirika sana. Mwanamke anaitaka nafasi ya mwanaume ndoani kitu ambacho mwanaume anayejitambua hawezi kukubali.

Ndani ya ndoa mwanamke akiwa na mdomo sana kumgombeza mumewe kila mara hapo mume atamchoka. Mwanamke anayenuna pasipo sababu za msingi kwa mume wake huyo hana maisha marefu ndoani.

Mwanamke anayefuatilia mienendo ya mume wake kila akitoka na kurudi huyo hafai kuwa ndoani.

Mwanamke anayemuuliza mume wake kwa ukali kwanini amechelewa kurudi nyumbani huyo ndoa yake haiwezi kudumu, mwanaume apokelewe hata akirudi asubuhi.

Mwanamke anayepanga ratiba ya kunyanduana ahahaha hapo ndio mwendo kaumaliza mwenyewe. Mwanamke anayetaka ndugu zake tu wamtembelee na sio ndugu wa mume hapo ndio mwisho wa ndoa kautengeneza.

Mwanamke anayehudhuria matukio ya shehere kuliko kutekeleza majukumu yake ya ndoa huyo naye hana muda ndoani.


Mwanaume anayetaka kulipiza kuchepuka baada ya kugundua mumewe anachepuka huyo ndio anachimbia kaburi mwenyewe. Kiufupi kila ndoa unayoona imevunjika kwa asilimia 80 mpaka 90 chanzo kikuu ni wanawake kufanya moja ya sababu hizo hapo juu

Kwa upande wangu nitaendelea kuoa na kuacha hata kama dini na sheria za ndoa haziruhusu maana siwezi kubali kuendelea kuishi

"Waswahili husema mwanamke mjinga huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe na sio MWANAUME"

huu sio usemi wa waswahili, rekebisha contract hiyo
Wanawake wa siku hizi wanataka nao kuonekana wameoa. Ukimsaidia kazi flani siku mbili tatu, utaona siku zinazofuata haifanyi tena hiyo kazi anategemea ndio kazi yako mwanaume.
Mimi kama mwanaume ndie nnae oa mwanamke flani baada ya kuridhika nar ingawa ni ngumu kumjua tabia yake yote kabla hujamuo.
Sasa ukimweka ndani tu anaanza kukupangia masharti yake as if amekuoa
 
Kinachovunja ndoa nyingi siku hizi ni wanawake wamegoma kuchanganywa. Zamani kidume kilikua na wanawake kila kona na bado mke akawa anavumilia ila siku hizi haipo hio, either utavumiliwa huku unachapiwa au mtaachana kwa ugomvi mkubwa
 
Ukinichiti nakuchiti, kwani sh ngapi? Ukichelewa kurudi nalala huko huko🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom