DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,004
- 45,514
Guys, Maisha hasa ya Watumishi wa umma kuishi wanawaza mshahara kila wakati ni mateso Sana.
Baada ya kupata ajira waza sana kuwa na Uhuru Wa pesa yaani financial freedom Kwa kujifunza kuwekeza n.k
Mfano unalipwa 700k baada ya makato yote how comes unashindwa kusave 150k Kila mwezi.
Kama tatizo hauna financial education jitahidi umtafute mentor mzuri akutoe huko katika uhaba na kuwa broke
Umasikini sio mzuri , hata Mungu hapendi sisi tuwe masikini.
Kuwa Mchumi sana and GOD will save you
Baada ya kupata ajira waza sana kuwa na Uhuru Wa pesa yaani financial freedom Kwa kujifunza kuwekeza n.k
Mfano unalipwa 700k baada ya makato yote how comes unashindwa kusave 150k Kila mwezi.
Kama tatizo hauna financial education jitahidi umtafute mentor mzuri akutoe huko katika uhaba na kuwa broke
Umasikini sio mzuri , hata Mungu hapendi sisi tuwe masikini.
Kuwa Mchumi sana and GOD will save you