NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,805
- 636
- Thread starter
- #41
Preta siku hizi simuoni oni humu ndani. Naye keshaenda kuhiji nini? Mnasafiri kwenda wapi kama tayar uko Rombo? Au unaelekea moshi mjini?
Hujaona ile thread ya sisi wana JF tikiongozwa na mwenye nyumba wetu Maxence tunaelekea mbuga za wanyama tarehe 27?