I remember siku ya kwanza natua chuoni from ver strict family ambayo hata mchana dingi anataka akuone home, wiki ya kwanza friends wakasema twende Bills ilipofika saa nne usiku I started feeling guilty as if dingi ataniuliza natoka wapi mida hii, after sometimes nikazoea hanging out hadi morning, kitu ambacho kilinifanya nibaki grounded ni knowing my values as a woman, pia maisha mazuri yanapatikana kwa kufanya kazi na si short cuts,
2nd year nilipangiwa room na mdada matawi ya juu balaa alikuwa na kastarlet kake na mme wa mtu, binti salio kwenye simu those days 2004 laki ! Kibinadamu unawish u were u ila ukiona anapata hussle zipi for that life unaretreat mwenyewe, after finishing nilimkuta mtaani now driving my beautiful car though ya mkopo akiwa anasubiri daladala sikusimamisha gari as zikutaka ajisikie vibaya.
Kitu ambacho wadogo zetu wanamiss nowdays ni kuwa na subira na kuamini katika kujisatisfy financilaly as woman baada ya chuo ni ver ver possible, kuwa designer perfumes n classic clothes u will afford smoothly after getting ur salary so just wait, pia kujitambua thamani yao as women kuwa a man f..ng u for cash haina thamani kama ur diginity.