Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,389
- 1,337
Huu umri sitakaa niusahau, kiukweli ni umri mdogo ila nimepitia mambo makubwa ambayo sitataka wanangu waje kuyapitia na naamini haitakuja kutokea.
Katika umri wa miaka hiyo ilikua kati ya 2006-2012, nmepitia mambo magumu, sitagusia upande wa wazazi wangu, ila kiukweli mzazi atabaki kua mzazi.
Nikiwa na umri wa miaka 8, nmechunga ng'ombe, nmevua samaki, nmelala majini mimi nmehama visiwa na kisiwa, nmefanya uvuv wa kila aina, ata ambao ni haramu, nmeuza maembe, machungwa, nmeuza karanga za mia mia, nmeuza mahindi ya kupasuka yale, nmeuza kuni.
Juzi nakuja kumuuliza mwanamke mmmja mtoto wako ana miaka mingapi akasema mtoto wangu bado mdogo, nkamuuliza mdog ana miaka mingapi, akajibu miaka 9 nilishtuka sana, hiyo miaka 9 mimi nilkua naenda shule na nkirudi napika.
Mungu si athmani sahivi nakula nachokitaka, sitachoka kushukuru, watu tunatembea ila mioyoni tuna siri nzito, nmehama wilaya baada ya kuchagukiwa form 1 wilaya nyingine, kupanda gari kwangu ilikua ndoto, mambo ni mengi, ila wazazi na watoto, maisha kila hatua ni magumu.
Naamini Mungu ndiye ajuaye hatina ya mtu, kikubwa ni kufanya kazi kwa bidii bila kujali unapitia magumu gani, kama unavua vua haswa, kama unauza maembe uza kweli kweli, kama unasoma shika kalamu usiiachie, no one knows tomorrow.
Kama kuna mtu alipitia wakati mgumu akiwa na umri mdogo share na sisi tujue
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika umri wa miaka hiyo ilikua kati ya 2006-2012, nmepitia mambo magumu, sitagusia upande wa wazazi wangu, ila kiukweli mzazi atabaki kua mzazi.
Nikiwa na umri wa miaka 8, nmechunga ng'ombe, nmevua samaki, nmelala majini mimi nmehama visiwa na kisiwa, nmefanya uvuv wa kila aina, ata ambao ni haramu, nmeuza maembe, machungwa, nmeuza karanga za mia mia, nmeuza mahindi ya kupasuka yale, nmeuza kuni.
Juzi nakuja kumuuliza mwanamke mmmja mtoto wako ana miaka mingapi akasema mtoto wangu bado mdogo, nkamuuliza mdog ana miaka mingapi, akajibu miaka 9 nilishtuka sana, hiyo miaka 9 mimi nilkua naenda shule na nkirudi napika.
Mungu si athmani sahivi nakula nachokitaka, sitachoka kushukuru, watu tunatembea ila mioyoni tuna siri nzito, nmehama wilaya baada ya kuchagukiwa form 1 wilaya nyingine, kupanda gari kwangu ilikua ndoto, mambo ni mengi, ila wazazi na watoto, maisha kila hatua ni magumu.
Naamini Mungu ndiye ajuaye hatina ya mtu, kikubwa ni kufanya kazi kwa bidii bila kujali unapitia magumu gani, kama unavua vua haswa, kama unauza maembe uza kweli kweli, kama unasoma shika kalamu usiiachie, no one knows tomorrow.
Kama kuna mtu alipitia wakati mgumu akiwa na umri mdogo share na sisi tujue
Sent using Jamii Forums mobile app