Maisha ndani ya Marekani ni sawa na gereza?

Maisha ndani ya Marekani ni sawa na gereza?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
40,801
Reaction score
46,917
Nasikia huko bila dollar 200 hujapata bado..., halafu nasikia matrafiki wa huko hawachukui rushwa kabisa, ukifanya kosa ni faini na inaingia kwenye rekodi.., tena huko hata ukimzaba mkeo kofi unalala ndani.., ukitembea upande usio wako barabarani (wanaita J walking sijui) unalala ndani, mkilala zaidi ya wawili chumba kimoja mnapigwa faini kwa kuzidisha allowed density ya nyumba, na hata kama ni watoto wako unaambiwa umewashindwa so wanaenda kulelewa na welfare/ustawi;

Ukiendesha gari huku umekunywa hata bia tatu tu unalala ndani, ukikutwa ume-install pirated software kwenye laptop yako unalala ndani, ukikutwa unaingizia watu movie kwenye flash unalala ndani, ukikutwa umepanga biashara bila leseni unalala ndani, ukimnyanyapaa au kumsema vibaya shoga au msagaji unalala ndani kisha mahakamani, ukikutwa popote pale bila kitambulisho cha taifa (cha fingerprint) unalala ndani, ukioverspeed mjini unalala ndani, ukichelewesha child support (matunzo ya mtoto) unanyang'anywa driving license kisha unalala ndani halafu mahakamani, mijaji ya kule haili rushwa, hivyo ni jela miezi sita. jamani, si gereza lile??!

Ukikutwa unasikiliza mziki kwa sauti kubwa unalala ndani, ukikutwa mbwa wako amekonda au hajaogeshwa basi unashtakiwa kwa ukatili kwa wanyama na utalala ndani, ukikutwa unachoma nyama kwenye park ya umma bila kibali unalala ndani, ukikutwa umepaki gari sehemu ya wrong parking basi gari lako utalikuta yard na faini yake unaweza kununua gari lingine hapa bongo.., kule bila dollar 3000 hujanunua nguo za kubadilisha hata wiki, hakuna manzese wala karume kule.., kule kama sio milionaire sahau kuhusu kununua au kujenga nyumba, kwanza hujengi hata banda la mbwa kama huna kibali, kama sio milionaire sahau kuhusu kumiliki hata ekari 10 za kulima hata matembele, kule mnaishi kwenye vi-appartment kama vitundu vya ndege ghorofani, na kwa wale wenye vikazi vya kueleweka ndio wanachukua mortgage kwenye nyumba wanazoishi, ambapo unailipia kidogo kidogo hadi inakuwa yako, na ukiishia kati unanyang'anywa na pesa yote inakuwa imeenda, kule bila milioni 300 hujampeleka mtoto chuo level ya degree.., sio huku eti ada milioni 1 na degree nje nje..,kule usipofanya pruning ya majani ya uwani kwako faini ni dollar 50 kwa kila siku yanapokuwa umeyaacha marefu au la unalala ndani,
maisha gani hayo? si jehanam hiyo?!

Mbaya zaidi, ukikutwa umenunua huduma ya mdada kwenye states ambazo biashara hiyo imeharamishwa basi faini yake ni dollar 3000 au jela miezi sita, halafu mipolisi ya kule haichukui rushwa sijui upoje? yaani unasukumwa ndani, kule ukiacha mazingira ya nje ya nyumba yako hovyo kiasi mbu na wadudu wengine wakawa wanazaliana humo unaweza kunyang'anywa nyumba kwa kuendanger public safety na utalala ndani.

Bado sijamaliza, ngoja ninywe maji...;

Kule ukikamatwa umemchapa mtoto kwa fimbo au chochote kile unashtakiwa kwa ukatili kwa watoto, utanyang'anywa hao watoto na utalala ndani, kule watoto kisheria wanafundishwa LGBT rights na wanakuwa promoted kutowabagua na kutoogopa kuwa mashoga, na ukimzuia mtoto kuwa shoga unasukumwa ndani, na ukimzuia mtoto kushiriki tamasha la ngono la kutoana bikra linaolandaliwa mashuleni kila mwaka, wanaita PROM NIGHT basi utalala ndani, unachoweza kufanya ni kumpa condom tu basi, ila kutoana bikra ni haki ya kilazima..
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Sinema gani umeangalia mkuu, au kuna jamaa ulikuwa unamgongea akuvute akaamua kukunyamazisha kabisa. Huku life ni smooth provided unajua unachokifanya. 17 yrs so far sijawahi simamishwa hata na mgambo. USA ni nchi ya ndoto, una uwezo wa kuwa chochote unachotaka na sio lazima umjue diwani au mbunge ndio mambo yaende. Kingine kuna openings za kazi nyingi kuliko watu wanaotafuta kazi so ni ww tuu unaamua lifestyle yako. Mfano mimi na wife we work from home na maisha yetu very comfortable, tunapata muda wa kuwa na familia na kufanya mambo mengi tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
massaiboi, Challenges za kimaisha zipo popote pale ila Wamarekani nawasifu kitu kimoja: kuwa na mifumo wazi ya kijamii. Ukitaka pasipoti kama una makaratasi wanayotaka unaweza kufanya mwenyewe kwenye kompyuta yako. Kazi ukiomba kama unakidhi vigezo na mengineyo mengi. Huna haja ya kujuana na mtu; na hata kama unajuana naye anaweza asikusaidie kwa sababu ikija kujulikana huyo nduguyo atafukuzwa kazi mara moja. Hakuna mambo ya kufuatiliana fuatiliana na shobo zisizo na maana.

Chalenji kubwa yangu nikiwa Tanzania ni hii ya kujuana na watu ndiyo mambo yako yaende salama. Polisi lazima uwe na mtu wako. Uhamiaji uwe na mtu wako. Ukitaka kazi lazima uwe na mtu wako au uhonge. Mpaka hospitali za umma lazima uwe na mtu wako ndiyo upate huduma za kueleweka. Ona sakata la NIDA mpaka uwe na mtu wako. Yaani tunapoteza muda mwingi kwa mambo ya kijinga tu na kuoneana kusiko na sababu. Hapa nilipo natakiwa kubadili pasipoti nipate hizi mpya za kielektroniki lakini nikifikiria karaha za pale Uhamiaji Kurasini yaani nakosa nguvu kabisa.

Tunaendesha mambo kihovyo hovyo sana na kwa hili wenzetu wametuzidi. Mpaka huwa najiuliza; hawa waliwezaje kuwa hivi? Mbona sisi hatuwezi?
 
Nasikia huko bila dollar 200 hujapata bado..., halafu nasikia matrafiki wa huko hawachukui rushwa kabisa, ukifanya kosa ni faini na inaingia kwenye rekodi.., tena huko hata ukimzaba mkeo kofi unalala ndani.., ukitembea upande usio wako barabarani (wanaita J walking sijui) unalala ndani, mkilala zaidi ya wawili chumba kimoja mnapigwa faini kwa kuzidisha allowed density ya nyumba, na hata kama ni watoto wako unaambiwa umewashindwa so wanaenda kulelewa na welfare/ustawi;
Ukiendesha gari huku umekunywa hata bia tatu tu unalala ndani, ukikutwa ume-install pirated software kwenye laptop yako unalala ndani, ukikutwa unaingizia watu movie kwenye flash unalala ndani, ukikutwa umepanga biashara bila leseni unalala ndani, ukimnyanyapaa au kumsema vibaya shoga au msagaji unalala ndani kisha mahakamani, ukikutwa popote pale bila kitambulisho cha taifa (cha fingerprint) unalala ndani, ukioverspeed mjini unalala ndani, ukichelewesha child support (matunzo ya mtoto) unanyang'anywa driving license kisha unalala ndani halafu mahakamani, mijaji ya kule haili rushwa, hivyo ni jela miezi sita. jamani, si gereza lile??!
Ukikutwa unasikiliza mziki kwa sauti kubwa unalala ndani, ukikutwa mbwa wako amekonda au hajaogeshwa basi unashtakiwa kwa ukatili kwa wanyama na utalala ndani, ukikutwa unachoma nyama kwenye park ya umma bila kibali unalala ndani, ukikutwa umepaki gari sehemu ya wrong parking basi gari lako utalikuta yard na faini yake unaweza kununua gari lingine hapa bongo.., kule bila dollar 3000 hujanunua nguo za kubadilisha hata wiki, hakuna manzese wala karume kule.., kule kama sio milionaire sahau kuhusu kununua au kujenga nyumba, kwanza hujengi hata banda la mbwa kama huna kibali, kama sio milionaire sahau kuhusu kumiliki hata ekari 10 za kulima hata matembele, kule mnaishi kwenye vi-appartment kama vitundu vya ndege ghorofani, na kwa wale wenye vikazi vya kueleweka ndio wanachukua mortgage kwenye nyumba wanazoishi, ambapo unailipia kidogo kidogo hadi inakuwa yako, na ukiishia kati unanyang'anywa na pesa yote inakuwa imeenda, kule bila milioni 300 hujampeleka mtoto chuo level ya degree.., sio huku eti ada milioni 1 na degree nje nje..,kule usipofanya pruning ya majani ya uwani kwako faini ni dollar 50 kwa kila siku yanapokuwa umeyaacha marefu au la unalala ndani,
maisha gani hayo? si jehanam hiyo..???!
Mbaya zaidi, ukikutwa umenunua huduma ya mdada kwenye states ambazo biashara hiyo imeharamishwa basi faini yake ni dollar 3000 au jela miezi sita, halafu mipolisi ya kule haichukui rushwa sijui upoje? yaani unasukumwa ndani, kule ukiacha mazingira ya nje ya nyumba yako hovyo kiasi mbu na wadudu wengine wakawa wanazaliana humo unaweza kunyang'anywa nyumba kwa kuendanger public safety na utalala ndani.
bado sijamaliza, ngoja ninywe maji...;

Kule ukikamatwa umemchapa mtoto kwa fimbo au chochote kile unashtakiwa kwa ukatili kwa watoto, utanyang'anywa hao watoto na utalala ndani, kule watoto kisheria wanafundishwa LGBT rights na wanakuwa promoted kutowabagua na kutoogopa kuwa mashoga, na ukimzuia mtoto kuwa shoga unasukumwa ndani, na ukimzuia mtoto kushiriki tamasha la ngono la kutoana bikra linaolandaliwa mashuleni kila mwaka, wanaita PROM NIGHT basi utalala ndani, unachoweza kufanya ni kumpa condom tu basi, ila kutoana bikra ni haki ya kilazima..
Nimeisha Dallas na Texas huu mwaka wa nne lakini sjakutana na matakataka uliyoyaandika.
 
Nimeisha Dallas na Texas huu mwaka wa nne lakini sjakutana na matakataka uliyoyaandika.
Rudi nyumbani nikakukatie walau eka 20 pale msata ufanye ujasiriamali, 😂😂😂😂...., nakupa na wake watatu kabisa, maana huku mahari ni mbuzi tu..😂😂😂😅, au laa endelea kubeba maboksi na kuogesha wastaafu..😂😂😂😂😂, natania tu mkuu, usinijibu.
 
Bora tubaki buza
Buza kuzuri sana [emoji16][emoji16][emoji16]
2.23435304392573594E18.jpeg
 
Nasikia huko bila dollar 200 hujapata bado..., halafu nasikia matrafiki wa huko hawachukui rushwa kabisa, ukifanya kosa ni faini na inaingia kwenye rekodi.., tena huko hata ukimzaba mkeo kofi unalala ndani.., ukitembea upande usio wako barabarani (wanaita J walking sijui) unalala ndani, mkilala zaidi ya wawili chumba kimoja mnapigwa faini kwa kuzidisha allowed density ya nyumba, na hata kama ni watoto wako unaambiwa umewashindwa so wanaenda kulelewa na welfare/ustawi;
Ukiendesha gari huku umekunywa hata bia tatu tu unalala ndani, ukikutwa ume-install pirated software kwenye laptop yako unalala ndani, ukikutwa unaingizia watu movie kwenye flash unalala ndani, ukikutwa umepanga biashara bila leseni unalala ndani, ukimnyanyapaa au kumsema vibaya shoga au msagaji unalala ndani kisha mahakamani, ukikutwa popote pale bila kitambulisho cha taifa (cha fingerprint) unalala ndani, ukioverspeed mjini unalala ndani, ukichelewesha child support (matunzo ya mtoto) unanyang'anywa driving license kisha unalala ndani halafu mahakamani, mijaji ya kule haili rushwa, hivyo ni jela miezi sita. jamani, si gereza lile??!
Ukikutwa unasikiliza mziki kwa sauti kubwa unalala ndani, ukikutwa mbwa wako amekonda au hajaogeshwa basi unashtakiwa kwa ukatili kwa wanyama na utalala ndani, ukikutwa unachoma nyama kwenye park ya umma bila kibali unalala ndani, ukikutwa umepaki gari sehemu ya wrong parking basi gari lako utalikuta yard na faini yake unaweza kununua gari lingine hapa bongo.., kule bila dollar 3000 hujanunua nguo za kubadilisha hata wiki, hakuna manzese wala karume kule.., kule kama sio milionaire sahau kuhusu kununua au kujenga nyumba, kwanza hujengi hata banda la mbwa kama huna kibali, kama sio milionaire sahau kuhusu kumiliki hata ekari 10 za kulima hata matembele, kule mnaishi kwenye vi-appartment kama vitundu vya ndege ghorofani, na kwa wale wenye vikazi vya kueleweka ndio wanachukua mortgage kwenye nyumba wanazoishi, ambapo unailipia kidogo kidogo hadi inakuwa yako, na ukiishia kati unanyang'anywa na pesa yote inakuwa imeenda, kule bila milioni 300 hujampeleka mtoto chuo level ya degree.., sio huku eti ada milioni 1 na degree nje nje..,kule usipofanya pruning ya majani ya uwani kwako faini ni dollar 50 kwa kila siku yanapokuwa umeyaacha marefu au la unalala ndani,
maisha gani hayo? si jehanam hiyo..???!
Mbaya zaidi, ukikutwa umenunua huduma ya mdada kwenye states ambazo biashara hiyo imeharamishwa basi faini yake ni dollar 3000 au jela miezi sita, halafu mipolisi ya kule haichukui rushwa sijui upoje? yaani unasukumwa ndani, kule ukiacha mazingira ya nje ya nyumba yako hovyo kiasi mbu na wadudu wengine wakawa wanazaliana humo unaweza kunyang'anywa nyumba kwa kuendanger public safety na utalala ndani.
bado sijamaliza, ngoja ninywe maji...;

Kule ukikamatwa umemchapa mtoto kwa fimbo au chochote kile unashtakiwa kwa ukatili kwa watoto, utanyang'anywa hao watoto na utalala ndani, kule watoto kisheria wanafundishwa LGBT rights na wanakuwa promoted kutowabagua na kutoogopa kuwa mashoga, na ukimzuia mtoto kuwa shoga unasukumwa ndani, na ukimzuia mtoto kushiriki tamasha la ngono la kutoana bikra linaolandaliwa mashuleni kila mwaka, wanaita PROM NIGHT basi utalala ndani, unachoweza kufanya ni kumpa condom tu basi, ila kutoana bikra ni haki ya kilazima..
Mkuu nimependa hii ila mbona wabongo wakienda huko pamoja na haya yote uliosema awatamani kurudi nyumbani inawezekana pamoja na taratibu zote izo ila bado wanalipwa urija mzuri kulingana na mtu anafanya so ata ikitokea mtu akapigwa fain ya dollar 3000 bado uwezo wa kuilipa unakuepo na maisha yanaenda kama kawa
 
Mkuu nimependa hii ila mbona wabongo wakienda huko pamoja na haya yote uliosema awatamani kurudi nyumbani inawezekana pamoja na taratibu zote izo ila bado wanalipwa urija mzuri kulingana na mtu anafanya so ata ikitokea mtu akapigwa fain ya dollar 3000 bado uwezo wa kuilipa unakuepo na maisha yanaenda kama kawa
hamna lolote, ukweli usiosemwa na wengi wanaoenda huko ni ile chance ya kugonga mademu wa kizungu, i guess the experience is worth the pain ya kuogesha wastaafu ma kuosha vyombo migahawani, u never know. Amini usiamini, kila mtu mweusi anapoenda kule anachowaza ni jinsi atakavyokuwa akipiga pipe mademu weupe na kuwasugua vilivyo, wala hawawazi pesa sana, maana kama ni pesa hata huku ipo tena nyingi sana, ardhi ipo ya kutosha sana, tatizo ni papuchi za kizungu ndio zinawatia wazimu, nani atarudi baada ya kuionja? ila maisha ni magumu sana kule...
 
hamna lolote, ukweli usiosemwa na wengi wanaoenda huko ni ile chance ya kugonga mademu wa kizungu, i guess the experience is worth the pain ya kuogesha wastaafu ma kuosha vyombo migahawani, u never know. Amini usiamini, kila mtu mweusi anapoenda kule anachowaza ni jinsi atakavyokuwa akipiga pipe mademu weupe na kuwasugua vilivyo, wala hawawazi pesa sana, maana kama ni pesa hata huku ipo tena nyingi sana, ardhi ipo ya kutosha sana, tatizo ni papuchi za kizungu ndio zinawatia wazimu, nani atarudi baada ya kuionja? ila maisha ni magumu sana kule...
Da Mkuu nilichangia kwa fika maana USA naisikia tu na kuisoma kwenye ramani ngoja tuache nyie wazoefu mtifuane nashukuru kwa kunipa elimu kidogo Tafadhali na wenye uzoefu waje jamani tuyajue ya USA
 
Back
Top Bottom