Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,444
- 62,823
🤓Ukianza kumiliki vya kwako utaanza kuona ugumu.....kila la kheri
Kwamba anakaa kwa shemeji yake?! 🥱Ukianza kumiliki vya kwako utaanza kuona ugumu.....kila la kheri
always mfa maji.....Tangu niamie huku kijijini, sizeeki kihasara hasara
Kweli maisha mema, yanapatikana huku kijijini
- Napata maji safi,
- Hewa safi,
- Kelele nzuri za ndege,
- Hakuna msongo wa mawazo,
- Napata mayai, nyama, maziwa muda wowote ninaotaka,
- Napata vitu vingi bustanini,
- Matumizi ya hela ni madogo sana kutokana na vitu vingi kupatikana shambani na kwenye mifugo,
- Ngozi ya mwili inang'aa haina mabakamabaka,
- Hakuna uchafuzi wa hewa unaosababishwa na msongamano wa watu,
- Na mika 73 lakini naonekana kama kijana wa miaka 20,
- Koti la suti limenikaa vizuri halijanizidi mwili kama wa huko mjini,
View attachment 3659541
Ugumu wa nini tena?Ukianza kumiliki vya kwako utaanza kuona ugumu.....kila la kheri
Ebu fafanua kidogoalways mfa maji.....
Inabidi aje huku shamba avunje mahindi mawili achome aleKwamba anakaa kwa shemeji yake?! 🥱
Vipi tena
unatapa tapa sana mkuu, kesho napo tutasikia umehamia jehanamu.Ebu fafanua kidogo
Mambo yako bhana🙌🏾🥴Vipi tena
Mkoa gani huo mkuu?Inabidi aje huku shamba avunje mahindi mawili achome ale
Acha woga, tokeni kwenye hayo mazingira ya hatua kumi kwa ishirini za miguu, mje huku kijijini, bado kuna nafasi.unatapa tapa sana mkuu, kesho napo tutasikia umehamia jehanamu.
Hii mikoa yenye ardhi yenye rutubaMkoa gani huo mkuu?
Tofauti ya shamba na kijiji ni nini?Tunaita shambani, sio kijijini uwe na adabu