Maisha mema yanapatikana kijijini

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,444
Reaction score
62,823
Tangu niamie huku kijijini, sizeeki kihasara hasara
  • Napata maji safi,
  • Hewa safi,
  • Kelele nzuri za ndege,
  • Hakuna msongo wa mawazo,
  • Napata mayai, nyama, maziwa muda wowote ninaotaka,
  • Napata vitu vingi bustanini,
  • Matumizi ya hela ni madogo sana kutokana na vitu vingi kupatikana shambani na kwenye mifugo,
  • Ngozi ya mwili inang'aa haina mabakamabaka,
  • Hakuna uchafuzi wa hewa unaosababishwa na msongamano wa watu,
  • Na mika 73 lakini naonekana kama kijana wa miaka 20,
  • Koti la suti limenikaa vizuri halijanizidi mwili kama wa huko mjini,
Kweli maisha mema, yanapatikana huku kijijini

 
always mfa maji.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…