King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,731
- 68,746
Jamaa kakwapua, katia mabilioni kibindoni na yuko huru.
Hapo anatia tia huruma ili vichwa maji wamuonee huruma.
Ila wabongo ni watu peace sana.
Huyu mbuzi katesa sana watu lakini sasa hivi anazurula kwa amani tu wanamuacha tu.
Kiukweli wabongo ni watu wa dini sana.
Umeongea ukweli huyo Bashite ni Bilionea wa kutisha ,huyo inatakiwa akaungane na SABAYA.