Maishà magumu Sana wadau nahitaji msaada

Maishà magumu Sana wadau nahitaji msaada

simba wa dodoma

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
930
Reaction score
1,022
Habari Ndugu zangu naombeni msaada hata ajira, iniweze kunisaidia kiuchumi niongezee kipato, Mimi KIJANA nimeajiliwa sehemu Ilaa mshahara Wangu ni Mdogo Sana na hautoki kwa wakati, inaniliazimwi niingie kwenye madeni Sana, alafu unakuta unategemewa nyumbani Nina watoto bado nauli kwenda ofisini na Kodi kwa huo huo mshahara nimekuja humu, najua humu kuna watu wanakampuni zao wanisaidie kazi hata kwa part time au niingie usiku tu Ili niongezee kipato changu.. maana Hali ngumu nafikilia Hadi KUKATAA Sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom