Maisha katika nchi ya Comoro

Nashukuru mkuu umenipa data muhimu mno
Jamaa amekujibu vizuri mno,,mpaka mimi pia kuna kitu nimepata,, achana na hao wengine waliokupa majibu ya karaha,, wengi wao ni kula kulala,,na kuishia kumtukana Magufuri kuwa kabana,,wakati mambo kama haya ndio ya msingi kujuzana na kutafuta fursa,, me mwenyewe najipanga nataka kwenda abroad. Ntakuja pia kutaka ushauri kwa nchi nnayotaka kwenda kufuata biashara
 
Ubarikiwe mkuu,,hawa wapiga domo wengine kina Shunie Wabakia kumshambuli jamaa badala ya kumsaidia anachouliza,, mwenzao anataka kwenda nje kucheki fursa,,wao wamebakia kumtukana Magufuri tu,wakati fursa nje zipo
 
Kutukana sio tija,tija ni kutafuta ufumbuzi nje.
Ubarikiwe mkuu,,hawa wapiga domo wengine kina Shunie Wabakia kumshambuli jamaa badala ya kumsaidia anachouliza,, mwenzao anataka kwenda nje kucheki fursa,,wao wamebakia kumtukana Magufuri tu,wakati fursa nje zipo
 
Mwalimu wa Madras a unaomba papuchi. Be serious brother acha utoto
Kule Comoro naskia wanawake ni wengi sana na wanaume wachache sasa sheikh hio ni fursa kaongeze wake watatu utapata uraia siku moja tu.
kwenye hicho kiingereza chako cha kuombea papuchi ongeza na hiki would you mind if I give you a kiss na can I be with you tonight nazani kitakusaidia
Jamaa ameuliza suala la msingi anataka kwenda comoro kucheki fursa badala mumjibu vizuri mnamkejeli ,

Mambo kama haya ni mazuri wengine tunapata idea ya kujua iyo nchi husika kuna fursa gani,, nyinyi badala yakumpa majibu mazuri au kama haujui unyamaze. Mnaanza kuingiza mambo ya kipuuzi na chuki za kidini mbwa koko nyinyi,, halafu baadae mnakaa mnaanza kumlaumu magufuri na kumtukana kuwa amebana sana,, sasa kama kabana,, sindio pakuangalia sehemu zingine kwenda kutafuta shilingi. Pumbavu kabisa
 
Kutukana sio tija,tija ni kutafuta ufumbuzi nje.
Nikweli mkuu,,sasa kosa la huyo jamaa nikusema kuwa yeye ni mwalimu wa madrasa,, basi bwana wameanza kumshambulia wameacha na jambo lenyewe la msingi ,nchi ina wendawazimu wengi hii,, halafu baadae wanalalama hali ngumu na kuanza kumshambulia Ngosha kabana, wakati kumbe Comoro hadi magimbi ni dili bwana,mi nilikuwa sijui
 
Biashara comoro zipo mfano mbuzi mayai magodoro ivyo vitu ni dili sana ila tahadhari kubwa ni lazma uwe na mwenyeji Yani mkomoro la sivyo usalama wako ni mdogo sana
 

Mwalimu wa madrasa aombaye papuchi ama kweli watoto wetu wa kike hawapo salama mahala popote
 
Nitafute, nitakupa vionjo vya Comoro
 
Nakumbuka siku moja nilimwambia Demu kwa pozi nikiwa karibu naye "I loved u already" looh! Nilipewa miadi na siku chsche Nikapata raha. Wadada watu wema sana ukifunguka fuluuu.
 
Muulize Kanungila Karim atakua anajua mkuu yupo huko amemuoa mtoto wa Raid

hearly
Madame S
 
1.Kuna meli inaenda mara 2 ikitokea Mtwara, inasemekana ni km 380 ukitokea Mtwara
Kwa tz ukitokea mtwara ndio karibu zaidi

2.Hawa sio wakulima sana wenyewe wako na lifestyle kama za wacongo
Vyakula, mboga na nyama kwa kiasi kikubwa wanaagiza kutoka France na South Africa ingawa miaka ya hivi karibuni Tz imeanza kuwa miongoni mwa suppliers wakubwa

3.Kwa muonekano wacomoro wako kama wa zanzibar, USIHADAIKE KUWAKOPESHA, si walipaji wazuri

Kwa marejeo zaidi soma humu humu JF kuna article aliandika Prof Mark Mwandosya kuhusiana na tour trip ya comoro utafaidi zaidi
 
PAmoja mkuu. Nakutakia kila la kheri hao wenye roho mbaya tukiwafatisha tutamchukia kila mtu
 
Biashara comoro zipo mfano mbuzi mayai magodoro ivyo vitu ni dili sana ila tahadhari kubwa ni lazma uwe na mwenyeji Yani mkomoro la sivyo usalama wako ni mdogo sana
Kwann usalama uwe mdogo mkuu? ISTOSHE SINA FRIEND MCOMORO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…