Maisha katika nchi ya Comoro

Nashukuru mkuu umenipa data muhimu mno
Jamaa amekujibu vizuri mno,,mpaka mimi pia kuna kitu nimepata,, achana na hao wengine waliokupa majibu ya karaha,, wengi wao ni kula kulala,,na kuishia kumtukana Magufuri kuwa kabana,,wakati mambo kama haya ndio ya msingi kujuzana na kutafuta fursa,, me mwenyewe najipanga nataka kwenda abroad. Ntakuja pia kutaka ushauri kwa nchi nnayotaka kwenda kufuata biashara
 
Kile hawatumii kiingereza wanatumia kingazija,na hawatumii dola wanatumia euro,Lkn ni nchi masikini walitegemea chakula toka kwetu kila kitu kuanzia unga,ng'ombe, nk,zamani kulilipa kabla ya giza kutanda,jaribu kwenda kilwa bandarini kule unaweza pata mawili matatu ya kina kuhusu kule, kiswahili wanatumia Lkn kina lahaja ya kingazija.Dini kuu ni uislam hivo kama unajua Arabic nadhani mtakwenda sawa,kiutamaduni ni sawa na sie wa pwani hawana haraka na maisha,wala Shari na mtu, hawana uhuni na ujanja kama wa Kenya, wawezajaribu kuingia kupitia masuala ya dini,fikia hata msikitini kule then utawapata ndugu wa kukuhifadhi huku wakikuonyesha njia,usiende fanya mambo ya uhuni tu.Ukisimama vizuri sogea kisiwa kingine cha Mayotte kule wako chini ya ufaransa uchumi si haba kulinganisha na Comoro isipokuwa mambo ya dini na maadili Comoro wako vizuri kuliko Mayotte. Kila la heri sie wacha tuendelee kusoma no,nchi yetu kwa shida na Raha,tulioishi enzi za MWALIMU
Ubarikiwe mkuu,,hawa wapiga domo wengine kina Shunie Wabakia kumshambuli jamaa badala ya kumsaidia anachouliza,, mwenzao anataka kwenda nje kucheki fursa,,wao wamebakia kumtukana Magufuri tu,wakati fursa nje zipo
 
Kutukana sio tija,tija ni kutafuta ufumbuzi nje.
Ubarikiwe mkuu,,hawa wapiga domo wengine kina Shunie Wabakia kumshambuli jamaa badala ya kumsaidia anachouliza,, mwenzao anataka kwenda nje kucheki fursa,,wao wamebakia kumtukana Magufuri tu,wakati fursa nje zipo
 
Mwalimu wa Madras a unaomba papuchi. Be serious brother acha utoto
Kule Comoro naskia wanawake ni wengi sana na wanaume wachache sasa sheikh hio ni fursa kaongeze wake watatu utapata uraia siku moja tu.
kwenye hicho kiingereza chako cha kuombea papuchi ongeza na hiki would you mind if I give you a kiss na can I be with you tonight nazani kitakusaidia
Jamaa ameuliza suala la msingi anataka kwenda comoro kucheki fursa badala mumjibu vizuri mnamkejeli ,

Mambo kama haya ni mazuri wengine tunapata idea ya kujua iyo nchi husika kuna fursa gani,, nyinyi badala yakumpa majibu mazuri au kama haujui unyamaze. Mnaanza kuingiza mambo ya kipuuzi na chuki za kidini mbwa koko nyinyi,, halafu baadae mnakaa mnaanza kumlaumu magufuri na kumtukana kuwa amebana sana,, sasa kama kabana,, sindio pakuangalia sehemu zingine kwenda kutafuta shilingi. Pumbavu kabisa
 
Kutukana sio tija,tija ni kutafuta ufumbuzi nje.
Nikweli mkuu,,sasa kosa la huyo jamaa nikusema kuwa yeye ni mwalimu wa madrasa,, basi bwana wameanza kumshambulia wameacha na jambo lenyewe la msingi ,nchi ina wendawazimu wengi hii,, halafu baadae wanalalama hali ngumu na kuanza kumshambulia Ngosha kabana, wakati kumbe Comoro hadi magimbi ni dili bwana,mi nilikuwa sijui
 
Biashara comoro zipo mfano mbuzi mayai magodoro ivyo vitu ni dili sana ila tahadhari kubwa ni lazma uwe na mwenyeji Yani mkomoro la sivyo usalama wako ni mdogo sana
 
Habari zenu wakuu? Kinadada shkamooni wanaume wenzangu hamjambo?

Kwa heshima na taadhima najitokeza kwenu kuomba uzoefu wenu kuhusu maisha ya kibiashara katika nchi ya comoro.

Mm kwasasa naishi Tanzania katika mkoa wa Dar. Ni mfanyabiashara wa mazao ya kilimo na pia ni mwalimu wa madrasa na namiliki kituo cha kulelea watoto (Day Care Centre).
Kutokana na sera za nchi yetu kutokuwa rafiki na wafanyabiashara na kutokana na ugumu wa biashara hapa nchini,nimeonelea nibadili mazingira na nimeichagua nchi ya comoro katika harakat zangu za kuhamisha makazi.

Naomba mnisaidie taarifa kuhusu nchi hii katika nyanja ya

1/Biashara gan nikienda kuifanya huko itaninyanyua?

2/Gharama za nauli had kufika huko

3/Gharama za kupanga chumba au nyumba

4/Je nalazimika kuwa na pasport na viza au nasafir tu kama naenda zanzbar?

5/Ni mji gani ambao nikienda sitopata shida ya mawasiliano? Maana natumia kiswahili tu! Kingereza nikijuacho mm ni kile cha kuombea papuch tu yaani ile I love u,I miss u na n.k.

Naomba mawazo yenu wakuu

Mwalimu wa madrasa aombaye papuchi ama kweli watoto wetu wa kike hawapo salama mahala popote
 
Habari zenu wakuu? Kinadada shkamooni wanaume wenzangu hamjambo?

Kwa heshima na taadhima najitokeza kwenu kuomba uzoefu wenu kuhusu maisha ya kibiashara katika nchi ya comoro.

Mm kwasasa naishi Tanzania katika mkoa wa Dar. Ni mfanyabiashara wa mazao ya kilimo na pia ni mwalimu wa madrasa na namiliki kituo cha kulelea watoto (Day Care Centre).
Kutokana na sera za nchi yetu kutokuwa rafiki na wafanyabiashara na kutokana na ugumu wa biashara hapa nchini,nimeonelea nibadili mazingira na nimeichagua nchi ya comoro katika harakat zangu za kuhamisha makazi.

Naomba mnisaidie taarifa kuhusu nchi hii katika nyanja ya

1/Biashara gan nikienda kuifanya huko itaninyanyua?

2/Gharama za nauli had kufika huko

3/Gharama za kupanga chumba au nyumba

4/Je nalazimika kuwa na pasport na viza au nasafir tu kama naenda zanzbar?

5/Ni mji gani ambao nikienda sitopata shida ya mawasiliano? Maana natumia kiswahili tu! Kingereza nikijuacho mm ni kile cha kuombea papuch tu yaani ile I love u,I miss u na n.k.

Naomba mawazo yenu wakuu
Nitafute, nitakupa vionjo vya Comoro
 
Nakumbuka siku moja nilimwambia Demu kwa pozi nikiwa karibu naye "I loved u already" looh! Nilipewa miadi na siku chsche Nikapata raha. Wadada watu wema sana ukifunguka fuluuu.
 
Habari zenu wakuu? Kinadada shkamooni wanaume wenzangu hamjambo?

Kwa heshima na taadhima najitokeza kwenu kuomba uzoefu wenu kuhusu maisha ya kibiashara katika nchi ya comoro.

Mm kwasasa naishi Tanzania katika mkoa wa Dar. Ni mfanyabiashara wa mazao ya kilimo na pia ni mwalimu wa madrasa na namiliki kituo cha kulelea watoto (Day Care Centre).
Kutokana na sera za nchi yetu kutokuwa rafiki na wafanyabiashara na kutokana na ugumu wa biashara hapa nchini,nimeonelea nibadili mazingira na nimeichagua nchi ya comoro katika harakat zangu za kuhamisha makazi.

Naomba mnisaidie taarifa kuhusu nchi hii katika nyanja ya

1/Biashara gan nikienda kuifanya huko itaninyanyua?

2/Gharama za nauli had kufika huko

3/Gharama za kupanga chumba au nyumba

4/Je nalazimika kuwa na pasport na viza au nasafir tu kama naenda zanzbar?

5/Ni mji gani ambao nikienda sitopata shida ya mawasiliano? Maana natumia kiswahili tu! Kingereza nikijuacho mm ni kile cha kuombea papuch tu yaani ile I love u,I miss u na n.k.

Naomba mawazo yenu wakuu
Muulize Kanungila Karim atakua anajua mkuu yupo huko amemuoa mtoto wa Raid

hearly
Madame S
 
Habari zenu wakuu? Kinadada shkamooni wanaume wenzangu hamjambo?

Kwa heshima na taadhima najitokeza kwenu kuomba uzoefu wenu kuhusu maisha ya kibiashara katika nchi ya comoro.

Mm kwasasa naishi Tanzania katika mkoa wa Dar. Ni mfanyabiashara wa mazao ya kilimo na pia ni mwalimu wa madrasa na namiliki kituo cha kulelea watoto (Day Care Centre).
Kutokana na sera za nchi yetu kutokuwa rafiki na wafanyabiashara na kutokana na ugumu wa biashara hapa nchini,nimeonelea nibadili mazingira na nimeichagua nchi ya comoro katika harakat zangu za kuhamisha makazi.

Naomba mnisaidie taarifa kuhusu nchi hii katika nyanja ya

1/Biashara gan nikienda kuifanya huko itaninyanyua?

2/Gharama za nauli had kufika huko

3/Gharama za kupanga chumba au nyumba

4/Je nalazimika kuwa na pasport na viza au nasafir tu kama naenda zanzbar?

5/Ni mji gani ambao nikienda sitopata shida ya mawasiliano? Maana natumia kiswahili tu! Kingereza nikijuacho mm ni kile cha kuombea papuch tu yaani ile I love u,I miss u na n.k.

Naomba mawazo yenu wakuu
1.Kuna meli inaenda mara 2 ikitokea Mtwara, inasemekana ni km 380 ukitokea Mtwara
Kwa tz ukitokea mtwara ndio karibu zaidi

2.Hawa sio wakulima sana wenyewe wako na lifestyle kama za wacongo
Vyakula, mboga na nyama kwa kiasi kikubwa wanaagiza kutoka France na South Africa ingawa miaka ya hivi karibuni Tz imeanza kuwa miongoni mwa suppliers wakubwa

3.Kwa muonekano wacomoro wako kama wa zanzibar, USIHADAIKE KUWAKOPESHA, si walipaji wazuri

Kwa marejeo zaidi soma humu humu JF kuna article aliandika Prof Mark Mwandosya kuhusiana na tour trip ya comoro utafaidi zaidi
 
Jamaa amekujibu vizuri mno,,mpaka mimi pia kuna kitu nimepata,, achana na hao wengine waliokupa majibu ya karaha,, wengi wao ni kula kulala,,na kuishia kumtukana Magufuri kuwa kabana,,wakati mambo kama haya ndio ya msingi kujuzana na kutafuta fursa,, me mwenyewe najipanga nataka kwenda abroad. Ntakuja pia kutaka ushauri kwa nchi nnayotaka kwenda kufuata biashara
PAmoja mkuu. Nakutakia kila la kheri hao wenye roho mbaya tukiwafatisha tutamchukia kila mtu
 
Biashara comoro zipo mfano mbuzi mayai magodoro ivyo vitu ni dili sana ila tahadhari kubwa ni lazma uwe na mwenyeji Yani mkomoro la sivyo usalama wako ni mdogo sana
Kwann usalama uwe mdogo mkuu? ISTOSHE SINA FRIEND MCOMORO
 
Back
Top Bottom