Maisha katika nchi ya Comoro

Maisha katika nchi ya Comoro

Kama unataka kwenda Comoro zingatia yafuatayo:

Kwanza uwe na passport ile kubwa (ya kitabu)
Visa unagonga hapa hapa siku hz (wana ubalozi wao hapa)

Chenji pesa zako kuwa Euro maana ndo wanazotumia kule

Usafiri upo wa aina mbili, ndege ATC go and return ni laki sita n sabini kama sikosei. Alafu kuna meli pale bandarini laki tatu na nusu.

Mji mkuu na wabiashara ni Moroni (ndio usafiri wote unaishia hapo, namaanisha ndege uwanja upo moroni na bandari yao ipo moroni pia.)

Kuhusu nyumba za kupanga kule zipo. Chumba kimoja utakuta Euro 60 kwa mwezi (ambayo ni kama laki na 30 hiv)

Ama unaweza kukutana na watz kule wakakusaidia pakulala (wapo wengi sana hasa wazanzibar)

Biashara unayoweza kupeleka kule;
Kama una mtaji wa kutosha peleka mchele (huu wa mbeya) unga wa sembe, ngano. Vitunguu, viazi mviringo. Au zile product za Azam (yale majuice au mo juice zile zinazouzwa mia tano huku)

Pia unaweza kupeleka magodoro, ng'ombe, korosho pia. Vyakula ndio vinaenda sana kule kuliko nguo.

Nadhani nimekujibu maswali yako mkuu
 
Mimi nina akili mbovu, sawa,
Kisha njoo tena utupe ushahidi wapi tumepotosha tafsiri ya Qur'an,.
Maana nijuavyo mie sisi wote tunakiwa ku rely ktk tafsir za akina Ibn Katheer au kama walivofasiri akina Ibn Abbas,
Sasa tuletee huyo anaharibu.
Ama mie nakunasihi badilika,
Na hata ukafanya uovu kwanini isbakie siri yako na mola wako?
Mkuu lkn uzi huu hauhusiani na maswala ya dini. Ok bas nisameheni naomba radhi
 
Asante sana mkuu nakushukuru sana kwa maelezo yako
Kama unataka kwenda Comoro zingatia yafuatayo:

Kwanza uwe na passport ile kubwa (ya kitabu)
Visa unagonga hapa hapa siku hz (wana ubalozi wao hapa)

Chenji pesa zako kuwa Euro maana ndo wanazotumia kule

Usafiri upo wa aina mbili, ndege ATC go and return ni laki sita n sabini kama sikosei. Alafu kuna meli pale bandarini laki tatu na nusu.

Mji mkuu na wabiashara ni Moroni (ndio usafiri wote unaishia hapo, namaanisha ndege uwanja upo moroni na bandari yao ipo moroni pia.)

Kuhusu nyumba za kupanga kule zipo. Chumba kimoja utakuta Euro 60 kwa mwezi (ambayo ni kama laki na 30 hiv)

Ama unaweza kukutana na watz kule wakakusaidia pakulala (wapo wengi sana hasa wazanzibar)

Biashara unayoweza kupeleka kule;
Kama una mtaji wa kutosha peleka mchele (huu wa mbeya) unga wa sembe, ngano. Vitunguu, viazi mviringo. Au zile product za Azam (yale majuice au mo juice zile zinazouzwa mia tano huku)

Pia unaweza kupeleka magodoro, ng'ombe, korosho pia. Vyakula ndio vinaenda sana kule kuliko nguo.

Nadhani nimekujibu maswali yako mkuu
 
Huu uzi ni wa mda mrefu lkn ngoja niulize,hv Meli kwenda komoro ipo? Na wale walio jaribu na walio fanikiwa watupe mrejesho kdg japo ss waTz ni wagumu kutoa fursa
 
Back
Top Bottom