Kile hawatumii kiingereza wanatumia kingazija,na hawatumii dola wanatumia euro,Lkn ni nchi masikini walitegemea chakula toka kwetu kila kitu kuanzia unga,ng'ombe, nk,zamani kulilipa kabla ya giza kutanda,jaribu kwenda kilwa bandarini kule unaweza pata mawili matatu ya kina kuhusu kule, kiswahili wanatumia Lkn kina lahaja ya kingazija.Dini kuu ni uislam hivo kama unajua Arabic nadhani mtakwenda sawa,kiutamaduni ni sawa na sie wa pwani hawana haraka na maisha,wala Shari na mtu, hawana uhuni na ujanja kama wa Kenya, wawezajaribu kuingia kupitia masuala ya dini,fikia hata msikitini kule then utawapata ndugu wa kukuhifadhi huku wakikuonyesha njia,usiende fanya mambo ya uhuni tu.Ukisimama vizuri sogea kisiwa kingine cha Mayotte kule wako chini ya ufaransa uchumi si haba kulinganisha na Comoro isipokuwa mambo ya dini na maadili Comoro wako vizuri kuliko Mayotte. Kila la heri sie wacha tuendelee kusoma no,nchi yetu kwa shida na Raha,tulioishi enzi za MWALIMU