Maisha katika nchi ya Comoro

Maisha katika nchi ya Comoro

Hivi kweli kwa akili zako unaweza kwenda kutafutia maisha Comoro au ndo mshadanganywa maisha popote
Ndio ilitakiwa umwambie sasa,,kwani we binti ukisikia mtu anaenda kutafuta maisha sehemu ni kwamba anaenda kuishi huko??anaenda kuangalia kuna fursa gani
 
Ndio ilitakiwa umwambie sasa,,kwani we binti ukisikia mtu anaenda kutafuta maisha sehemu ni kwamba anaenda kuishi huko??anaenda kuangalia kuna fursa gani
Awamu hii vichaa mnapewa shavu kila mahali nasikia mmenunua mpaka tochi za kusakia maisha
 
Kingereza nikijuacho mm ni kile cha kuombea papuch tu yaani ile I love u,I miss u na n.k.
Siwezi kukushangaa Sufi (mfuasi wa Bakwata) kuwa mzinifu, maana hilo la USUFI ni kubwa mno kuliko yote utakayoyafanya.
Kujitangaza kabisa wewe mwalimu wa madrasa lakin mzinifu. Je hao watoto unaowafundisha wanasalimika kiasi gani?
ALLAH akuongoe,na kama hatakuongoza akuondoe maana utafanya uharibifu zaidi.
 
Dini yangu mwanamke kapewa heshma kubwa sana. Mwanamke kapewa Daraja tatu lkn mwanaume daraja moja tu.

Pia Tumefundishwa,pepo ipo chini ya nyayo za kinamama. Kiukweli ukimuudhi mama ukafa haliyakuwa haujapatana nae au yy amekufa haliyakuwa hana radhi na ww,ndugu yangu ww pepo hata harufu yake hutoisikia yaani hata kama ulikuwa unaswali sana had ukatoka sijuda kama pipa la pombe

Akili yako ipo salama kweli?
Unasema wanawake wamepewa daraja ya kubwa huku ukikiri wewe umzinifu!!
Shame on you!
 
Dini yangu mwanamke kapewa heshma kubwa sana. Mwanamke kapewa Daraja tatu lkn mwanaume daraja moja tu.

Pia Tumefundishwa,pepo ipo chini ya nyayo za kinamama. Kiukweli ukimuudhi mama ukafa haliyakuwa haujapatana nae au yy amekufa haliyakuwa hana radhi na ww,ndugu yangu ww pepo hata harufu yake hutoisikia yaani hata kama ulikuwa unaswali sana had ukatoka sijuda kama pipa la pombe

Akili yako ipo salama kweli?
Unasema wanawake wamepewa daraja ya kubwa huku ukikiri wewe umzinifu!!
Shame on you!
 
Siwezi kukushangaa Sufi (mfuasi wa Bakwata) kuwa mzinifu, maana hilo la USUFI ni kubwa mno kuliko yote utakayoyafanya.
Kujitangaza kabisa wewe mwalimu wa madrasa lakin mzinifu. Je hao watoto unaowafundisha wanasalimika kiasi gani?
ALLAH akuongoe,na kama hatakuongoza akuondoe maana utafanya uharibifu zaidi.
Muasherati huyu,
 
Wahabi katika ubora wako. Kumbe ndomaana mnapotosha maandiko ya Quran kama umeshindwa kuelewa nilichoandika ukaamuwa kutafsir vile inavyotaka akili yako mbovu utashindWaje kupotosha maandiko?

Nikisema najua namna wanawake wanavyojifunguwa utanihukumu na mm najifungua kama mwanamke? Hovyo kabisa asee
Siwezi kukushangaa Sufi (mfuasi wa Bakwata) kuwa mzinifu, maana hilo la USUFI ni kubwa mno kuliko yote utakayoyafanya.
Kujitangaza kabisa wewe mwalimu wa madrasa lakin mzinifu. Je hao watoto unaowafundisha wanasalimika kiasi gani?
ALLAH akuongoe,na kama hatakuongoza akuondoe maana utafanya uharibifu zaidi.
 
Akili yako ipo salama kweli?
Unasema wanawake wamepewa daraja ya kubwa huku ukikiri wewe umzinifu!!
Shame on you!
Kama unaona ubahili kutumia akili yako mkuu basi azima hata za kuku wako ili usitie aibu siku nyingine. Wapi nimekiri mm ni mzinifu?
 
Wahabi katika ubora wako. Kumbe ndomaana mnapotosha maandiko ya Quran kama umeshindwa kuelewa nilichoandika ukaamuwa kutafsir vile inavyotaka akili yako mbovu utashindWaje kupotosha maandiko?

Nikisema najua namna wanawake wanavyojifunguwa utanihukumu na mm najifungua kama mwanamke? Hovyo kabisa asee

Akhy badala ya kukiri umefanya kosa,wewe mwalimu wa madrasa kama kweli imani yako ipo madhubuti na una khofu juu ya ALLAH na unayakini yupo Rakeeb na Ateed wanadhibiti kila ulifanyalo,ilikuwaje ukiri uzinifu uliposema
"Maana natumia kiswahili tu! Kingereza nikijuacho mm ni kile cha kuombea papuch tu yaani ile I love u,I miss u na n.k."
tuambie maana Ya PAPUCH kisha mie nikutake msamaha.
Kisha unaniita mie sina akili! Saheeh njoo utuambie
 
Wahabi katika ubora wako. Kumbe ndomaana mnapotosha maandiko ya Quran kama umeshindwa kuelewa nilichoandika ukaamuwa kutafsir vile inavyotaka akili yako mbovu utashindWaje kupotosha maandiko?

Nikisema najua namna wanawake wanavyojifunguwa utanihukumu na mm najifungua kama mwanamke? Hovyo kabisa asee

Mimi nina akili mbovu, sawa,
Kisha njoo tena utupe ushahidi wapi tumepotosha tafsiri ya Qur'an,.
Maana nijuavyo mie sisi wote tunakiwa ku rely ktk tafsir za akina Ibn Katheer au kama walivofasiri akina Ibn Abbas,
Sasa tuletee huyo anaharibu.
Ama mie nakunasihi badilika,
Na hata ukafanya uovu kwanini isbakie siri yako na mola wako?
 
Back
Top Bottom