Maisha katika nchi ya Comoro

Maisha katika nchi ya Comoro

1.Kuna meli inaenda mara 2 ikitokea Mtwara, inasemekana ni km 380 ukitokea Mtwara
Kwa tz ukitokea mtwara ndio karibu zaidi

2.Hawa sio wakulima sana wenyewe wako na lifestyle kama za wacongo
Vyakula, mboga na nyama kwa kiasi kikubwa wanaagiza kutoka France na South Africa ingawa miaka ya hivi karibuni Tz imeanza kuwa miongoni mwa suppliers wakubwa

3.Kwa muonekano wacomoro wako kama wa zanzibar, USIHADAIKE KUWAKOPESHA, si walipaji wazuri

Kwa marejeo zaidi soma humu humu JF kuna article aliandika Prof Mark Mwandosya kuhusiana na tour trip ya comoro utafaidi zaidi
Mkuu ukiniletea link ya mwandosya kuhusu hilo nitakushukuru kwa aina zote za vishukurio
 
Inasikitisha sana kuona watu tunakimbia nchi yetu kutokana na uongozi mbovu.

Mimi nilishayaona haya yanakuja miaka karibu 20 iliyopita.

Nikapiga kura kwa miguu yangu.
 
Sera
Inasikitisha sana kuona watu tunakimbia nchi yetu kutokana na uongozi mbovu.

Mimi nilishayaona haya yanakuja miaka karibu 20 iliyopita.

Nikapiga kura kwa miguu yangu.
Sera za watawala hazijalenga kutusaidia balizimelenga kukusanya kodi kutoka kwetu kwa hali yoyote ile hata kama ni kutoa misingi yetu. Si umesikia wafanyabiashara watanzania walokuwa na maduka mpakani tunduma wamehamishia maduka yao Zambia baada ya kupangiwa kodi zilizovuka had mitaji yao na TRA?
 
Kwahyo na ww ni Geat thinker? Aisee mbona unaonekana huna sifa hyo? Badala ya kujikita kwenye logic unahangaika na tafsiri khaa!
Dunia imekwisha....madrasa teacher anajua kiinglish cha kuombea papuchi khaaaa..
 
Nashukuru sana mkuu
1.Kuna meli inaenda mara 2 ikitokea Mtwara, inasemekana ni km 380 ukitokea Mtwara
Kwa tz ukitokea mtwara ndio karibu zaidi

2.Hawa sio wakulima sana wenyewe wako na lifestyle kama za wacongo
Vyakula, mboga na nyama kwa kiasi kikubwa wanaagiza kutoka France na South Africa ingawa miaka ya hivi karibuni Tz imeanza kuwa miongoni mwa suppliers wakubwa

3.Kwa muonekano wacomoro wako kama wa zanzibar, USIHADAIKE KUWAKOPESHA, si walipaji wazuri

Kwa marejeo zaidi soma humu humu JF kuna article aliandika Prof Mark Mwandosya kuhusiana na tour trip ya comoro utafaidi zaidi
 
SeraSera za watawala hazijalenga kutusaidia balizimelenga kukusanya kodi kutoka kwetu kwa hali yoyote ile hata kama ni kutoa misingi yetu. Si umesikia wafanyabiashara watanzania walokuwa na maduka mpakani tunduma wamehamishia maduka yao Zambia baada ya kupangiwa kodi zilizovuka had mitaji yao na TRA?
Halafu kibaya zaidi, badala ya serikali kujirudi na kuona inapokosea, Makamu wa Rais akawabeza na kuwaambia, kimsingi, kwamba hatuwahitaji, wakitaka kwenda Zambia na waende.

Ilikuwa ni kauli ya kiburi, isiyo na busara wala kiasi, iliyonifanya nione kwamba kumbe anayevumakwa ubabe ni Magufuli, lakiniubabe huu unaonekana kuwa si tabia ya mtu mmoja tu, ni kama sera ya kuongoza nchi sasa.

Kwa mfumo huu, tutapata maafa makubwa ya kiuchumi polepole, mpaka tunapostukia, tutakuwa tushafikahatua mbaya sana.
 
Hapana mkuu ila kwamujibu wa mafundisho ya dini yangu ya kiislam,wanawake ndo mnastahili kuheshimiwa zaid kuliko wanaume. Mungu amekupeni heshma kwa daraja tatu lkn wanaume wamepewa daraja moja tu
Unamaanisha mfugale 3?
 
Tiririkeni mnaojua tupate kamwanga kidogo
 
Mkuu Kiranga Hakika Hali Ni Mbaya Huku Home Leo Binafsi Hapa Dodoma Nimekaa Sehemu Baada Ya Shughuli Mada Zilizopo Ni Watu Kujilipua Nchi Za Au Jirani.
Binafsi Nilikuwa Sifahamu Mambo Ya Greencard Lkn Nimeshafuatilia Na Npo Mbioni Ku'apply Kabla Ya Deadline
 
Mkuu Kiranga Hakika Hali Ni Mbaya Huku Home Leo Binafsi Hapa Dodoma Nimekaa Sehemu Baada Ya Shughuli Mada Zilizopo Ni Watu Kujilipua Nchi Za Au Jirani.
Binafsi Nilikuwa Sifahamu Mambo Ya Greencard Lkn Nimeshafuatilia Na Npo Mbioni Ku'apply Kabla Ya Deadline
Kuna mchizi wangu katua wiki iliyopita anaanza maisha mapya, kachukua green card.

Tunampa mpa line, mchongo michongo, apate urahisi aepuke matatizo tuliyopitia kaka zake miaka ya awali, ajue document gani za muhimu afuatilie wapi, ajue kazi gani za maana na zipi zinapoteza muda, ajue kufanya profesional networking ya watu wa profesion yake na si kwenda kufanya unskilled labor etc.

Na kwa mwendo wa Trump siwezikushangaa kama hizi green card za lotto na familia nyingi atazifunga.

Mimi sijilaumu kabisa kukipa miaka ile, kwa mambo yanavyoenda sasa naona nilifanya maamuzi sahihi.

Mazee kuna watu hawajawahi kunipiga mizingamiaka yote hii, lakini mwaka huu wananiita kusaidia bendi.

Kitaa kichaa usawa huu.
 
Kwann usalama uwe mdogo mkuu? ISTOSHE SINA FRIEND MCOMORO

Shida ipo ivi wao wanauza vitu kwa bei mbaya bila kujali mzunguko wa pesa na kutaka Faidha kubwa sasa ukienda mgeni umeshajichukulia vitu kwa bei rahisi huku unataka uuze fasta urudi home kuchukua mzigo mwingine wenzio hawaelewi hilo jambo
 
Jamaa ameuliza suala la msingi anataka kwenda comoro kucheki fursa badala mumjibu vizuri mnamkejeli ,

Mambo kama haya ni mazuri wengine tunapata idea ya kujua iyo nchi husika kuna fursa gani,, nyinyi badala yakumpa majibu mazuri au kama haujui unyamaze. Mnaanza kuingiza mambo ya kipuuzi na chuki za kidini mbwa koko nyinyi,, halafu baadae mnakaa mnaanza kumlaumu magufuri na kumtukana kuwa amebana sana,, sasa kama kabana,, sindio pakuangalia sehemu zingine kwenda kutafuta shilingi. Pumbavu kabisa
Hivi kweli kwa akili zako unaweza kwenda kutafutia maisha Comoro au ndo mshadanganywa maisha popote
 
Habari zenu wakuu? Kinadada shkamooni wanaume wenzangu hamjambo?

Kwa heshima na taadhima najitokeza kwenu kuomba uzoefu wenu kuhusu maisha ya kibiashara katika nchi ya comoro.

Mm kwasasa naishi Tanzania katika mkoa wa Dar. Ni mfanyabiashara wa mazao ya kilimo na pia ni mwalimu wa madrasa na namiliki kituo cha kulelea watoto (Day Care Centre).
Kutokana na sera za nchi yetu kutokuwa rafiki na wafanyabiashara na kutokana na ugumu wa biashara hapa nchini,nimeonelea nibadili mazingira na nimeichagua nchi ya comoro katika harakat zangu za kuhamisha makazi.

Naomba mnisaidie taarifa kuhusu nchi hii katika nyanja ya

1/Biashara gan nikienda kuifanya huko itaninyanyua?

2/Gharama za nauli had kufika huko

3/Gharama za kupanga chumba au nyumba

4/Je nalazimika kuwa na pasport na viza au nasafir tu kama naenda zanzbar?

5/Ni mji gani ambao nikienda sitopata shida ya mawasiliano? Maana natumia kiswahili tu! Kingereza nikijuacho mm ni kile cha kuombea papuch tu yaani ile I love u,I miss u na n.k.

Naomba mawazo yenu wakuu
Mwalimu wa madrasa na papuch kweli!
Watoto wa watu wanapata shiiida sana.
 
Pambana kwanza na mchongo uliotoka jana wa 1 Bn maisha uyachange mpya na kupanua madrasa yako, inshallah
 
Back
Top Bottom