Ngopyoro city
Senior Member
- Aug 28, 2020
- 144
- 220
Basi bhana leo nafungua "wasap" yangu nakutana na picha kama kumi hivi za ex wangu mmoja hivi kapigwa balaaa na jamaa anasema saizi Niko single tena hataki mahusiano kabisa
Huyu dada nilikua nae kwenye relation more than 4 years ila tulikubaliana kuachana baada ya mipango ya ndoa kugoma kutokana na itikadi za dini basi kila mtu akaamua afanye maisha yake ila katika miaka hiyo yote pamoja na ugomvi hatujawahi kufikia kupigana yani kumpiga hata kofi sijawahi
Sasa baada ya miaka miwili kuachana ndio leo amenikimbuka na anasema jamaa yake amempa kipigo kizito Sana kachubuka sehemu kubwa ya mwili
Point hapa aisee ni nini kinafanya paka unampiga mwamamke kwetu sis wanaume? Mimi sioni sababu ya kumpiga hata iwe amekukosea nini
Kuna njia nyingi tu za kukwepa kupigana ukiona huyu hafai bas ni kheri mkaachana kwa amani tu
Yes kuna mda wanawake Wana majibu mabaya lakini unaanza vipi kumpiga alafu unampiga mtu ambae kesho utakua nae tena au mnalala wote ni hatari Sana
Tutumie njia nyingine za kusuluhisha hii migogoro ya mahusiano kwa amani sio kipigo mimi siungi mkono vipigo hata kuwe na hasira kiasi gani tuangalie namna ya kutatua migogoro
By the way Ex yuko single tena

Huyu dada nilikua nae kwenye relation more than 4 years ila tulikubaliana kuachana baada ya mipango ya ndoa kugoma kutokana na itikadi za dini basi kila mtu akaamua afanye maisha yake ila katika miaka hiyo yote pamoja na ugomvi hatujawahi kufikia kupigana yani kumpiga hata kofi sijawahi
Sasa baada ya miaka miwili kuachana ndio leo amenikimbuka na anasema jamaa yake amempa kipigo kizito Sana kachubuka sehemu kubwa ya mwili
Point hapa aisee ni nini kinafanya paka unampiga mwamamke kwetu sis wanaume? Mimi sioni sababu ya kumpiga hata iwe amekukosea nini
Kuna njia nyingi tu za kukwepa kupigana ukiona huyu hafai bas ni kheri mkaachana kwa amani tu
Yes kuna mda wanawake Wana majibu mabaya lakini unaanza vipi kumpiga alafu unampiga mtu ambae kesho utakua nae tena au mnalala wote ni hatari Sana
Tutumie njia nyingine za kusuluhisha hii migogoro ya mahusiano kwa amani sio kipigo mimi siungi mkono vipigo hata kuwe na hasira kiasi gani tuangalie namna ya kutatua migogoro
By the way Ex yuko single tena



