Maisha hayako fair kabisa

Maisha hayako fair kabisa

Kuna uzi humu niliwahi kupinga kumpiga mwanamke.. Aisee nilikosea sana, wanawake hawa waacheni. Sio rahisi kuinua mkono kumpiga mwanamke unaempenda, ila kuna vitu vinatokea unaweza kuua mtu.
 
Kuna uzi humu niliwahi kupinga kumpiga mwanamke.. Aisee nilikosea sana, wanawake hawa waacheni. Sio rahisi kuinua mkono kumpiga mwanamke unaempenda, ila kuna vitu vinatokea unaweza kuua mtu.
Mtu akikukwaza kiasi unaona utampiga umuumize ni vema ukakaa mbali nae hadi hasira zitakapopoa kuepusha matatizo
 
Mtu akikukwaza kiasi unaona utampiga umuumize ni vema ukakaa mbali nae hadi hasira zitakapopoa kuepusha matatizo
Alikua mke, huo mchezo wa kuondoka hasira ziishe haukusaidia kitu! Yani ni kama nilikua nampa motisha ya kufanya ujinga wake kila siku mapya. Najisikia vibaya kwamba nilimpiga yule mtu, sikuwahi kujua kwamba nina hasira kiasi hiki na imenifanya niogope kukaa na mtu tena nisije sababisha na kupata matatizo makubwa zaidi.
 
Alikua mke, huo mchezo wa kuondoka hasira ziishe haukusaidia kitu! Yani ni kama nilikua nampa motisha ya kufanya ujinga wake kila siku mapya. Najisikia vibaya kwamba nilimpiga yule mtu, sikuwahi kujua kwamba nina hasira kiasi hiki na imenifanya niogope kukaa na mtu tena nisije sababisha na kupata matatizo makubwa zaidi.
Pole sana, kwa case ya mke/mume hapo inabidi kutumia busara zaidi.
Ila kuna watu wanakwaza mno tena sana
 
Pole sana, kwa case ya mke/mume hapo inabidi kutumia busara zaidi.
Ila kuna watu wanakwaza mno tena sana
Kuna makwazo yanavumilika ila hamna kero kama ya mwanamke mwenye mdomo mchafu anayejifanya much know na hana adabu. Ni kumpa kipigo cha mbwa kachoka tu.

Maana utaanza kumkwepa kwepa kumbe lenyewe linaona sifa siku linakuja kukupiga na singi kabisa.
 
Umevunja amri ya Mabaharia kua hakuna mawasiliano na ma X

Hivi hua mnaendelea kuwasiliana na maX ili iweje? X ni unamsahau kabisa kisha unaangalia mbele,ona sasa unaletewa kesi zisizokuhusu mpaka unakuja kuanzisha Thd hapa! Jaribu kua busy na upunguze kufuatilia yasiyokuhusu.
 
Kuna makwazo yanavumilika ila hamna kero kama ya mwanamke mwenye mdomo mchafu anayejifanya much know na hana adabu. Ni kumpa kipigo cha mbwa kachoka tu.

Maana utaanza kumkwepa kwepa kumbe lenyewe linaona sifa siku linakuja kukupiga na singi kabisa.
Kipigo cha nini 😂😂

Kweli lakini kuna watu wanajua kukwaza aisee, half anafanya makusudi na akikuona mpole basi ndio anatake advantage visa kila siku haviishi ndani
 
Mwanamke asiyekuheshimu muonyeshe mlango wakutokea,mtu mzima hafundishwi heshima uzeeni it is too late,Ukiona mwanamke mkorofi mchunguze Mama yake utakuta tabia ndio hizo hizo tu,huyo anakua ameathiriwa na malezi ya hovyo katika makuzi yake,haiwezekani kwenye Nyumba wenye sharubu wawe wawili.
 
Noana unataka kurudi kwa ex kwa kisingizio Cha kipigo kutoka kwa ex wake..😂😂
 
Back
Top Bottom