Godwin peter
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 360
- 605
Just imangine wewe ni kijana wa miaka chini ya 30, hujaoa na una kazi nzuri tena unafanyia posta Dar es Salaam. Mshahara ni take home kama 2M hivi na unakaa either sinza or kigamboni.
Maisha haya nianayotamani
Maisha haya nianayotamani