ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,574
- 56,795
Enzi za awamu ya tano mambo yalikuwa mchakamchaka kila siku unapata sababu ya kuishi ila siku hizi kumepoa sana hakuna wa kuchangamsha maisha, hakuna ziara za kushtukiza wala kutumbua majipu ni kama tunajilazimisha kuishi tu siku ziende.Mpaka topic za kuanzisha thread mtu unakosa.
Nikiingia mtandaoni nakosa cha kufanya x zinaboa,udaku unaboa,bongo fleva inaboa,wanasiasa wanaka,viongozi wa dini wanaboa...najikuta namaliza bando langu kaangalie Netflix movies na wildlife photographer,bambo na Mtanga,interview za zamani za kina noorah,old music ndo kidogo inanipotezea muda.
Nikiingia mtandaoni nakosa cha kufanya x zinaboa,udaku unaboa,bongo fleva inaboa,wanasiasa wanaka,viongozi wa dini wanaboa...najikuta namaliza bando langu kaangalie Netflix movies na wildlife photographer,bambo na Mtanga,interview za zamani za kina noorah,old music ndo kidogo inanipotezea muda.