jamani hivi ni kwani watu tulio wengi hatukubali au tunapenda kuishi maisha yasiyo ya kwetu ukitazama maofisini mitaani watu wanapenda kuonekana wao ni watu wakubwa wakati hamna lolote
ukimuona mwenzio kavaa kitu cha thamani lazima uonyeshe na wewe unacho au unataka competition isiyo na lazima hii hasa hasa kwa wadada
wanaume kutuonyesha mambo yako safi na kulaghai laghai watoto wa watu wakati unanuka madeni kila mahali,mwisho wa siku unaishia kwenye aibu zisizo tizamika embu tujaribu kuishi maisha halisi kwa uwezo tulionao ushindani mwingi haujengi unabomoa.
chauro umesema kweli kabisa...wanaume wanamabobish sana.........
chauro umesema kweli kabisa...wanaume wanamabobish sana.........
nyinyi mabobish yenu hamyaoni eeeeh?
kunya anye kuku ila bata akinya kaharisha......................
jamani hivi ni kwani watu tulio wengi hatukubali au tunapenda kuishi maisha yasiyo ya kwetu ukitazama maofisini mitaani watu wanapenda kuonekana wao ni watu wakubwa wakati hamna lolote
ukimuona mwenzio kavaa kitu cha thamani lazima uonyeshe na wewe unacho au unataka competition isiyo na lazima hii hasa hasa kwa wadada
wanaume kutuonyesha mambo yako safi na kulaghai laghai watoto wa watu wakati unanuka madeni kila mahali,mwisho wa siku unaishia kwenye aibu zisizo tizamika embu tujaribu kuishi maisha halisi kwa uwezo tulionao ushindani mwingi haujengi unabomoa.
Pole, lakini jirekebishe...! Aidha, soma signature hii ujue true characters of people...!jamani hivi ni kwani watu tulio wengi hatukubali au tunapenda kuishi maisha yasiyo ya kwetu ukitazama maofisini mitaani watu wanapenda kuonekana wao ni watu wakubwa wakati hamna lolote
ukimuona mwenzio kavaa kitu cha thamani lazima uonyeshe na wewe unacho au unataka competition isiyo na lazima hii hasa hasa kwa wadada
wanaume kutuonyesha mambo yako safi na kulaghai laghai watoto wa watu wakati unanuka madeni kila mahali,mwisho wa siku unaishia kwenye aibu zisizo tizamika embu tujaribu kuishi maisha halisi kwa uwezo tulionao ushindani mwingi haujengi unabomoa.
jamani hivi ni kwani watu tulio wengi hatukubali au tunapenda kuishi maisha yasiyo ya kwetu ukitazama maofisini mitaani watu wanapenda kuonekana wao ni watu wakubwa wakati hamna lolote
ukimuona mwenzio kavaa kitu cha thamani lazima uonyeshe na wewe unacho au unataka competition isiyo na lazima hii hasa hasa kwa wadada
wanaume kutuonyesha mambo yako safi na kulaghai laghai watoto wa watu wakati unanuka madeni kila mahali,mwisho wa siku unaishia kwenye aibu zisizo tizamika embu tujaribu kuishi maisha halisi kwa uwezo tulionao ushindani mwingi haujengi unabomoa.
mwanamke mabobish....mwanaume inahuuu...mwanamke asipojibobish si ndio mnaanza kusema jike dume....aaaaaaaah....hebu tuacheni bana
kuharisha na kunya vyote ni hali ya kusafisha tumbo so wababa na wamama tujirekebishe
kujinyea je?
chauro umesema kweli kabisa...wanaume wanamabobish sana.........